Mr.Junior
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 12,984
- 11,794
Ukosefu wa ajira unasababisha watu tunakuwa na hasira sana.
Wachaga ndivyo walivyo wanaile kitu kusaidiana wao kwa wao ndio maana utakuta kuna baadhi ya maeneo kuna maduka ya Wachaga tu na sio Kilimanjaro hadi panaitwa ''Mtaa wa Wachaga'' kwa hiyo hicho kinachotokea Crdb sio kitu cha ajabu kwani hakijaanza leo.
Wachaga ndivyo walivyo wanaile kitu kusaidiana wao kwa wao ndio maana utakuta kuna baadhi ya maeneo kuna maduka ya Wachaga tu na sio Kilimanjaro hadi panaitwa ''Mtaa wa Wachaga'' kwa hiyo hicho kinachotokea Crdb sio kitu cha ajabu kwani hakijaanza leo.