Don Mangi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,199
- 855
Hakuna watu wanaendekeza undugunaization nchi hii kama wachaga, wapare na wahaya......but CRDB wamezidi bhana.
Board of directors tu ni tatizo kina mushi, kileo wamejazana bado haujaja chini huku.....mameneja na vitengo vingine, na kwa soko la ajira saiv lilivyokua gumu kama sio mchaga usahau kukamata kitengo CRDB.
Kbabake we si ulikua umelala wakati Mungu anagawa makabila??? sasa unakuja kumlaumu nani huku jamvini...mutuacheeee sawa eeh??