CRDB Bank

CRDB Bank

CRDB huwa wanaprogram yao ya kuchukua interns kutoka UDSM kupitia UDEC kila mwaka, na huwa wanaajiri mwezi wa pili, sasa wakati wa kuajiri huwa wanawatangazia hahao interns...na ndio maana huwa hawazitangazi kwa public.

umedanganya umma, niambie ni mwaka gani crdb wamefanya ivo na walichukuliwa akna nani???
 
Ha ha ha !!!! Nimeoa, sijasema kuwa nimeolewa ila nimesema kwa kifupi sijutii kuoa mchaga, na kwa maendeleo yetu hata ndugu wangu wengine na marafiki walikimbilia uchagani!!! Wote hatujafa!!!Kwani unataka uoe ili ukatese kwa mali au vingevyo.??

hongera mshukuru mungu na wengine tumeoa kwingine na mambo yetu yanakwenda safi sana kwhiyo suala la maisha ni majaliwa na sio ujanja au kabila la mtu boss!
 
Jamani mwenzeni nimeenda CRDB Bank Azikiwe Leo, kuna jamaa yangu kaniambia kuna watu wanafanya usaili, nikauliza lini walitangaza hizo chance?
Akaniambia CRDB hawatangazi nafasi za kazi bali huambiana tu kimchongo zaidi.

Sasa huyu Charles Kimei au Charles Kimeo???
Tangazeni watu tukabishane kwa hoja!!!
Acha kumtakana mzee wa watu bure, mi mwenyewe sikuona tangazo ila nilituma barua tu ya kuomba ka internship nikaambatanisha na vyeti, MUNGU si athumani nikaitwa kwenye usaili... watu wengi tu walifanya hivyo, ungejaribu na wewe mkuu na sio kuanza kulaumu
 
Hayo mambo ya CRDB benki ya wachaga sijui mnayatoa wapo. Hivi kama ikitokea tu watu wa sehemu fulani wakawa wamesoma inakua ni tatizo? Ukweli ni kwamba wachaga wengi na wasomi na wanathamini sana elimu na huo ndo ukweli. Kama we unadhani CRDB ni benki ya wachaga basi hata zile auditing firm big four kpmg, e&y, pwc na deloitte nazo pia ni za wachaga maana roughly more than 30% waliopo huko ni chaggas. Sasa na hapo utasemaje? By the way hata wewe unaehubiri ukabila, hata na wewe ungependa mtu wa kabila lako apate mafanikio. Ukabila upo popote duniani sio Tanzania tu. Kibaya zaidi kwa Tanzania hao unaodai wana ukabila wamejaaliwa na uwezo pia wa elimu, tena sana. So kwanini wasipewe nafasi? "UNLESS YOU THINK CRITICALLY, YOU WILL END UP HATING CHAGGAS"
 
Hapo najua hujaoa bali umeolewa angalia sana wanawake wa huko wengi ni wajane kk ukionekana kuwa na msimamo kdg juu ya mali lazima utangulie mbele ya haki!

subiri upate mali ndio utawajua wachaga vizuri
 
Hayo mambo ya CRDB benki ya wachaga sijui mnayatoa wapo. Hivi kama ikitokea tu watu wa sehemu fulani wakawa wamesoma inakua ni tatizo? Ukweli ni kwamba wachaga wengi na wasomi na wanathamini sana elimu na huo ndo ukweli. Kama we unadhani CRDB ni benki ya wachaga basi hata zile auditing firm big four kpmg, e&y, pwc na deloitte nazo pia ni za wachaga maana roughly more than 30% waliopo huko ni chaggas. Sasa na hapo utasemaje? By the way hata wewe unaehubiri ukabila, hata na wewe ungependa mtu wa kabila lako apate mafanikio. Ukabila upo popote duniani sio Tanzania tu. Kibaya zaidi kwa Tanzania hao unaodai wana ukabila wamejaaliwa na uwezo pia wa elimu, tena sana. So kwanini wasipewe nafasi? "UNLESS YOU THINK CRITICALLY, YOU WILL END UP HATING CHAGGAS"

.na majambazi yote yanatokea huko huko kwa wachaga
 
Ha ha ha !!!! Nimeoa, sijasema kuwa nimeolewa ila nimesema kwa kifupi sijutii kuoa mchaga, na kwa maendeleo yetu hata ndugu wangu wengine na marafiki walikimbilia uchagani!!! Wote hatujafa!!!Kwani unataka uoe ili ukatese kwa mali au vingevyo.??

ukipata mali za kutosha imekula kwako
 
Coz mimi walinipigia tu simu na kuniambia tutumie vyeti vyako. Copies I mean.
So baada ya kuapply ndio nilisikia waliyimia vigezo hivyol

Kipi kiliwafanya wakupigie cimu?? Maana walopeleka CV ni wengi,sasa sielewi kwa nini wewe
 
Kipi kiliwafanya wakupigie cimu?? Maana walopeleka CV ni wengi,sasa sielewi kwa nini wewe

Duh!! Hivi kwani mabenki yako mangapi bongo? Au mlioteshwa kuwa mtakuja kupata crdb peke yake? Tuacheni lawama ambazo hazitatufikisha kokote.
Ongezeni qualifications na muombe kazi kwingine pia.
Hii tabia ndio huwa inatuchelewesha kutoka.
 
Coz mimi walinipigia tu simu na kuniambia tutumie vyeti vyako. Copies I mean.
So baada ya kuapply ndio nilisikia waliyimia vigezo hivyol

Mkuu sizan kama cv yako ina mvuto saana kuzidi walioomba hiyo chance!!
Nimeenda mwenyewe kwa miguu yangu miwili CRDB Azikiwe!!!
Jamaa yangu kaniambia hv,hua hawatangazi nafasi za kazi wanaitana kimya kimya
Na mwezi wa sita wanatoa chance tena!!!
 
Duh!! Hivi kwani mabenki yako mangapi bongo? Au mlioteshwa kuwa mtakuja kupata crdb peke yake? Tuacheni lawama ambazo hazitatufikisha kokote.
Ongezeni qualifications na muombe kazi kwingine pia.
Hii tabia ndio huwa inatuchelewesha kutoka.

Kaka umeelewa topic kweli au umekurupuka tu huko na kujibu??
Watangaze nafasi tuende wote tukafanye usaili!!!
Sijapangiwa kufanya kazi crdb na sijui ntapata wapi!! But watangaze!!!
 
Siku zote chakula huwekwa mezan,ili kila mtu ale na kushiba!! Lakin tutazidiana kwenye kula,kuna atakaye kula Sana,kuna atakayekula kidogo
But ukiona mpishi kaita watu jikon kimya kimya jua kabisa huo ni uchoyo
Na ndo kinachofanyika crdb
 
Siku zote chakula huwekwa mezan,ili kila mtu ale na kushiba!! Lakin tutazidiana kwenye kula,kuna atakaye kula Sana,kuna atakayekula kidogo
But ukiona mpishi kaita watu jikon kimya kimya jua kabisa huo ni uchoyo
Na ndo kinachofanyika crdb

Unahisi unaweza ukabadilisha hilo? Ulivyoenda Azikiwe uliwashauri haya?
Tafuta experience sehemu nyingine kama hapo umeshaona ni pagumu.
Mada yako imekaa kilawama lawama. Mara nyingi lawama huwa hazijengi lolote.
Sawa unaweza kutoa complaints ila sio mpaka uanze kuchambua cv za wenzio na kuhisi zilikuwa hazina qualifications zaidi yako.
 
Unahisi unaweza ukabadilisha hilo? Ulivyoenda Azikiwe uliwashauri haya?
Tafuta experience sehemu nyingine kama hapo umeshaona ni pagumu.
Mada yako imekaa kilawama lawama. Mara nyingi lawama huwa hazijengi lolote.
Sawa unaweza kutoa complaints ila sio mpaka uanze kuchambua cv za wenzio na kuhisi zilikuwa hazina qualifications zaidi yako.

Sijasema cv yako haina qualifications!! Unajua tuwe na akili za kiutu uzima tu
Juzi pccb walitangaza nafasi za kazi umeona madudu waliyofanya??
Wameita kwenye usaili hata watu ambao hawakuomba chance
Secondly kuna mtu anaitwa Mburahati Primary School??
Unajua kwa nini wamefanya madudu haya?
Poa usiku mwema but elewa sio mpango kabisa hapo crdb
 
Sijasema cv yako haina qualifications!! Unajua tuwe na akili za kiutu uzima tu
Juzi pccb walitangaza nafasi za kazi umeona madudu waliyofanya??
Wameita kwenye usaili hata watu ambao hawakuomba chance
Secondly kuna mtu anaitwa Mburahati Primary School??
Unajua kwa nini wamefanya madudu haya?
Poa usiku mwema but elewa sio mpango kabisa hapo crdb

Usiku mwema na kwako pia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom