Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,604
- 6,610
Natanguliza salamu kwenu wakuu
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nimekuja kwenu wakubwa zangu kuomba ushauri na muongozo wenu juu ya hiyo course ya Bachelor of business Administration
Nilimaliza kidato cha sita mwaka Jana na kupata Division 1.9 lakini sikwenda chuo kwa sababu binafsi ila natarajia kwenda mwaka huu.
Nina passion ya biashara na familia yetu yote ni wafanya biashara hivo natamani kusomea mambo ya biashara ili hapo baadae niweze kusimamia biashara ya familia na hata kuendeleza biashara zangu nyingine huko mbeleni na nimeona course nzuri ya kusoma ni Business administration
Nahitaji kujua uzuri na ubaya wa hiyo course ukizingatia nimesoma HGL na sipo vizuri sana Kwenye mathematics lakini nipo tayari kupambana je haitonisumbua na pia ningependa kujua kama kuna course nyingine ya biashara ambayo ni nzuri itakayonifaa kuendana na combination yangu
Mawazo na ushauri wenu ni muhimu sana wakubwa zangu, nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nimekuja kwenu wakubwa zangu kuomba ushauri na muongozo wenu juu ya hiyo course ya Bachelor of business Administration
Nilimaliza kidato cha sita mwaka Jana na kupata Division 1.9 lakini sikwenda chuo kwa sababu binafsi ila natarajia kwenda mwaka huu.
Nina passion ya biashara na familia yetu yote ni wafanya biashara hivo natamani kusomea mambo ya biashara ili hapo baadae niweze kusimamia biashara ya familia na hata kuendeleza biashara zangu nyingine huko mbeleni na nimeona course nzuri ya kusoma ni Business administration
Nahitaji kujua uzuri na ubaya wa hiyo course ukizingatia nimesoma HGL na sipo vizuri sana Kwenye mathematics lakini nipo tayari kupambana je haitonisumbua na pia ningependa kujua kama kuna course nyingine ya biashara ambayo ni nzuri itakayonifaa kuendana na combination yangu
Mawazo na ushauri wenu ni muhimu sana wakubwa zangu, nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app