Sasa hujataja hata vyuo tutakusaidiaje?samahani wadau naomba kuuliza mtu akisoma BACHELOR DEGREE OF ACCOUNTING NA BACHELOR DEGREE OF BUSINESS ADMINISTRATION IN ACCOUNTING kuna gepu kubwa baina ya hawa watu wawili
Nimekubali kiongoziSasa hujataja hata vyuo tutakusaidiaje?
Duniani kuna kozi kuu 4
1. Afya
2. Uhandisi
3. Sheria
4. Uhasibu.
So nenda kasome BACHELOR DEGREE OF ACCOUNTING achana na hiyo ingine.
NB: Tofauti ni kwamba hiyo ya mwisho utasoma baadhi ya kozi za uhasibu ila ya kwanza utasoma core kozi zote za uhasibu!