Nataka msomi mwenye shahada ya chuo kikuu business administration

Ni pm namba yako aisee.
Mimi ni mfanyabiashara wa kawaida elimu ya kawaida sana. Nahitaji msomi mwenye shahada ya chuo kikuu business administration ili nisonge mbele kwa biashara zangu na ushauri. Aliye tayari anitafute seriously
 
Back
Top Bottom