Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
Hapana si wewe ila......... Naniliu!mimi huyu huyu.....?
Hapana si wewe ila......... Naniliu!mimi huyu huyu.....?
Hapana si wewe ila......... Naniliu!
duhhhhhh...
mi nataka kusikia pilau na bia tu ..
kaba hujafanya matumiizi ya bidhaa hizi......tafadhali onana na MziziMkavu kwanza....
Husninyo amepewa nani?
Preta.... Asante Kwa hii Thread kuipandisha... I will get a lot humu I know......lol
karibu sana....ikitoka hii wewe ulikuwa hujaja eeh.....duh...its almost a year now....wa mwisho alikuwa Annina 16th Nov 2010....hapa najua kuna mengi yalitokea......hadi kufika leo......yu no wora ai mini....
haya bana.wewe hapa naona feis buku anakufaa....lakini ngoja tumuangalie kwanza....mabadiliko yanaweza kutokea.....
Dear i have a feeling kama wasema i may not like what i see in this thread.....lol.... Is it?? Should i tread carefully??
BTW napenda the fact kua ni ya mda mrefu, itanisaidia kuwaelewa fellow members more... Hasa wa kale na hasa wale namendea....( I kid)
Preta eeh, je huyo hapo chini ana Mtu/Booked??
Nauliza tu jamani!!!
![]()
NO...nina maana kuwa by the time thread inarushwa....ulikuwa bado hujajiunga JF....la sivyo usingekosa wa kwako...( ha ha ha)....ila hujachelewa.....
hahahaha...... Preta mbona tayari ninae (sababu ya historia yake ya kukosa kua na utulivu katika hio sector) inanipa wasi labda nimekwaza wengine...lol (you know what i mean)
huyu yupo hapa hapa.....atakujibu mwenyewe......nisiusemee moyo....
Preta eeh, je huyo hapo chini ana Mtu/Booked??
Nauliza tu jamani!!!
![]()