bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,880
dah, umenikwaza B!
wats wrong B!!! Iribini b'day yake inaangukia kwenye hiyo rangi sasa yeye anatakaje red? abadili basi b'day yake
dah, umenikwaza B!
jana tumenyakua ubingwa fidel kazima simuThats my girl! Vipi Matesha aliwahi shule?
Mamushka I will need some written explanations here.............before I change my mind!
JUMATATU YA BLUE!kwa wakwe saa 12 jioni tafadhali
Mimi Yeboyebo?nimefanyeje kwani...vile ni ofu topiki lakini si kweli??
hapa kaizer ndo umemfukuza kabisaaaaaaaaaaaaMimi Yeboyebo?
Hebo cheki hapa chini.......Usisahau napenda rangi nyekundu!
Pipipiiii pipiii Eeeeeeh Kidedeaaaa!
Pipipiiii pipiii Eeeeeeh Kidedeaaaa!
Pipipiiii pipiii Eeeeeeh Kidedeaaaa!
Pipipiiii pipiii Eeeeeeh Kidedeaaaa!
wats wrong B!!! Iribini b'day yake inaangukia kwenye hiyo rangi sasa yeye anatakaje red? abadili basi b'day yake
Yule kuku wako kuna binamu mmoja kaja kamnyakua si unajua tena pumba na mahindi nilikuwa nampa kila siku akanona akanyakuliwa, chelewa chelewa utakuta mwana si wako.Na bado ningali hai!😀
Halafu pearl baelezee kama tulipata jogoo na mtetea (kuku kuku jogoo jina)
B sasa apo unaharibu
🙄🙄😀
Zililowekwa Binamu, asante kwa kujali maslahi yangu apo.....ndo nikimalizia pia mazoezi ya mwisho kumkimbiza kuku wetu yule...si unakumbuka...on my way B!
Nilisikia mlienda kwa shehe Yahaya.kufanya nini? au alikuwa kwenye kamati ya ufundi?jana tumenyakua ubingwa fidel kazima simu
hapa kaizer ndo umemfukuza kabisaaaaaaaaaaaa
Hahahaha! Mama na Mwana. Utawajua tu!wats wrong B!!! Iribini b'day yake inaangukia kwenye hiyo rangi sasa yeye anatakaje red? abadili basi b'day yake
kwa mtazamo huo eeeeeeeeeeeeeeeeh duhMimi Yeboyebo?
Hebo cheki hapa chini.......Usisahau napenda rangi nyekundu!
Pipipiiii pipiii Eeeeeeh Kidedeaaaa!
Pipipiiii pipiii Eeeeeeh Kidedeaaaa!
Pipipiiii pipiii Eeeeeeh Kidedeaaaa!
Pipipiiii pipiii Eeeeeeh Kidedeaaaa!
Yule kuku wako kuna binamu mmoja kaja kamnyakua si unajua tena pumba na mahindi nilikuwa nampa kila siku akanona akanyakuliwa, chelewa chelewa utakuta mwana si wako.
washabiki wa yanga ndo zenu kulia lia!hata wanao lia lia kwa mods siku zote ni washabiki wa YANGANilisikia mlienda kwa shehe Yahaya.kufanya nini? au alikuwa kwenye kamati ya ufundi?
samahani kama nimewakwaza.
Hahahaha! Mama na Mwana. Utawajua tu!
Hahahah mmenichekesha enyi waja, mie nilitaka tu kuchangamsha jukwaa kwa sababu nimeona mnanisahau hivi hivi wakati ndio kwanza nimeturn 16 juzi!! Roho mbaya tu !
Yebo yebo!jana tumenyakua ubingwa fidel kazima simu
Yebo yabo!hapa kaizer ndo umemfukuza kabisaaaaaaaaaaaa
Yebo yebo!Nilisikia mlienda kwa shehe Yahaya.kufanya nini? au alikuwa kwenye kamati ya ufundi?
samahani kama nimewakwaza.
Noted with many thanks and filed for future reference. Kocha wenu Shehe Yahaya amepata mbinu mpya?Subirini tarehe 11 (sorry kama nimewakwaza)
Tafadhali nitake radhi.naanza kuhesabu 5,4.........washabiki wa yanga ndo zenu kulia lia!hata wanao lia lia kwa mods siku zote ni washabiki wa YANGA
Mama na Mwana = Mamushka na Pacoaaaaaaah vipi tena ? leo nakwazika kirahisi kweli kweli....
Hahahah mmenichekesha enyi waja, mie nilitaka tu kuchangamsha jukwaa kwa sababu nimeona mnanisahau hivi hivi wakati ndio kwanza nimeturn 16 juzi!! Roho mbaya tu !