Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,920
- 4,242
Jamani huyu Kaizer si ni B wako? na nyamayao ni wifu yako?Mimi na kaizer (asiyependa akameze wembe)
Inakuwaje unaleta mambo ya akina Adamu na eva
Jamani huyu Kaizer si ni B wako? na nyamayao ni wifu yako?Mimi na kaizer (asiyependa akameze wembe)
samahani mama!nini kirefu cha B?Jamani huyu Kaizer si ni B wako? na nyamayao ni wifu yako?
Inakuwaje unaleta mambo ya akina Adamu na eva
Mimi na kaizer (asiyependa akameze wembe)
Mpwa lakini unasahau kama Hommie ni BABU yake na MJ1? au wataka kuvunja mila hapa? LOL
UNAULIZA MIDEVU KWA osama?😀😀Mpwa lakini unasahau kama Hommie ni BABU yake na MJ1? au wataka kuvunja mila hapa? LOL
samahani mama!nini kirefu cha B?
Please consult Kaizer & bht they'll do ze nidiful!samahani mama!nini kirefu cha B?
Jamani huyu Kaizer si ni B wako? na nyamayao ni wifu yako?
Inakuwaje unaleta mambo ya akina Adamu na eva
Please consult Kaizer & bht they'll do ze nidiful!
Lakini uwe na hela ya twisheni kabisa.
eeh!haya mama,NOTED😀😀kirefu mimi sijui ila najua ni Nyama ya Hamu.......
tuonane kwa wakwe zangu ''ROMBO'' saa kumi na mbilislow learner uyo shemeji
ulipewa mchumba na Masaki, ngoja niperuzi nione ni nani....
Kaizer aliwahiwa na Cheusimangala......hahaaaaa!!!
Dk ndodi anasema dizain ya hawa walikuwa wanakunywa sana ulanzi wakati wa utotoni na wakaacha kula ugali wa ngano pyua/orijino isiyokobolewa.Na maziwa ya mama pia walikosa kwa ajili ya ulanzi.slow learner uyo shemeji
eeh!haya mama,NOTED😀😀
hehehe!mpendwa x-pin.....Mi napenda rangi nyekundu!
B unajua kuna WATU wana endesha magari si YAO, kadi wanakuwa nazo wengine,,,, eeh B?
Mi napenda rangi nyekundu!