Couples za JF ni hizi...!

Couples za JF ni hizi...!

At least nimethibitisha hommie hujambo, ngoja nirudi zangu kaunta!
Ulikuwa unafanyia wapi ze niidful? Moro au Usalule?

Hommie kakague nimedi ze niiful , unajali maslahi yangu apo

huwezi kuwa na kiwanja kimoja cha ku do ze nidiful hommie at least kwa utaratibu wetu,,,
 
Tobaaaaaaaaaa umefufuka?

Na bado ningali hai!😀

tulienda kutafuta kuku dom bana?

Halafu pearl baelezee kama tulipata jogoo na mtetea (kuku kuku jogoo jina)

wee twin kwani mlienda na B???

Nyamayao unamfahamu unamsikia??

B sasa apo unaharibu

nyamayao wasnt me(tulienda muulize)
🙄🙄😀

Binamu, welcom back, nini kujificha hivyo kwenye hayo majengo yanayojulikana na watu wengi au nguo zilikuwa zimelowekwa?????

Zililowekwa Binamu, asante kwa kujali maslahi yangu apo.....ndo nikimalizia pia mazoezi ya mwisho kumkimbiza kuku wetu yule...si unakumbuka...on my way B!
 
weweeeee wewe, kwani kos alilitendeka wapi vile??? damage kiasi gani...(ngoja nimconsult Nyamayao)

duh...ngoja ni do ze nidful...my learned B hivi unaweza kunifanyia ivo kweli?
 
duh...ngoja ni do ze nidful...my learned B hivi unaweza kunifanyia ivo kweli?
ungejifanya kujua ningekusemelezea lakini wewe huwa mnyenyekevu ujue B ndo nachokupendeaga......
 
ungejifanya kujua ningekusemelezea lakini wewe huwa mnyenyekevu ujue B ndo nachokupendeaga......

he...eti B wanadai mi mchokozi kule kwenye sredi ya Pearl...
 
he...eti B wanadai mi mchokozi kule kwenye sredi ya Pearl...
Uchokozaji unategemea na mchokozwaji kaka, huyu kaamua kuuona uchokozaji wako kuwa ni unyenyekevu.
Hakuna mbya!!
 
Uchokozaji unategemea na mchokozwaji kaka, huyu kaamua kuuona uchokozaji wako kuwa ni unyenyekevu.
Hakuna mbya!!


hahaha...sasa ule wa kule ndo bado sijaufahamu (hapa hii inamhusu Pearl)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom