Couples za JF ni hizi...!

Couples za JF ni hizi...!

Yaani hapa mnataka kuvunja ndoa za watu (existing couples) au mnataka wale ambao bado ni singles wa-form couples. Too imaginary!!!

so far hamna couple ilo vunjwa hapa.....

na sio sie tunaotaka singles wawe na kapo bali kinyume chake is true
 
Mimi na kaizer (asiyependa akameze wembe)

loud and clear......🙄

x-pin hapa ATAJITUNDIKA😀😀

Jamani huyu Kaizer si ni B wako? na nyamayao ni wifu yako?
Inakuwaje unaleta mambo ya akina Adamu na eva

ulipewa mchumba na Masaki, ngoja niperuzi nione ni nani....

Kaizer aliwahiwa na Cheusimangala......hahaaaaa!!!

UNAULIZA MIDEVU KWA osama?😀😀


hapa kazi tu...
 
Aaaah Kijukuu bana. Wanamwonea wivu babu na kijukuu chake au?

Rudi nyuma shetani!

Hapana kwa kweli. Mimi si mvunjaji wa mila. Lengo letu kuu ni KUDUMISHA MILA!
tuonane ukweni ''ROMBO'' kwa mazungumzo zaidi
 
hahaa Goeff huyo ndo Balantanda wa Charity???

umeharibu miundo mbinu tayari hapo, I can sense umefanza maufundi kwenye hiyo post
unauliza MAKOFI POLISI?😀😀
 
Naam mtumishi! Mshiki kaamkaje? Hivi leo siku gani vile.

Eti mama aibue? Ilikuwaje hukuniamsha? Hivi hapa leo mnaongelea nini yailahi?
JUMATATU YA BLUE!kwa wakwe saa 12 jioni tafadhali
 
jamani hii sredi mbona inaenda kama Roketi nashindwa kukimbizana nayo
 
Thats my girl! Vipi Matesha aliwahi shule?

Mamushka I will need some written explanations here.............before I change my mind!

nimefanyeje kwani...vile ni ofu topiki lakini si kweli??
 
JUMATATU YA BLUE!kwa wakwe saa 12 jioni tafadhali
Hehehe! Mi na hommie tunacheza kwotekwote!
Wakwe kwenye send off!!
Wakwe kwenye harusi............!
Kwa leo tutakutana na wakwe wa Send off😀😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom