Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,329
- 17,855
Nyie mtapigwa ban ssa hivi kwani chumba cha kina Maximo hamkijui?
mbona nakunywa maji hivi leo au kuna mtu kaniloga swty?
Nyie mtapigwa ban ssa hivi kwani chumba cha kina Maximo hamkijui?
Babu kijana? hata hajatulia.Kwa heshima za MJ1 naona Semenya atamfaa,si yupo singo yule?kumbe wewe ni monor eeeh!!!
nilimkataza Masaki kukupa wachumba akang'ang'ana kukupa eti Babu kijana.....
That means kwa sasa: CHARITY ni Oooh Kidedeaaa!Tafadhali nitake radhi.naanza kuhesabu 5,4.........
Mie sio Yanga,siwezi kuwa timu ya walioshindwa.Mie siku zote nakuwa timu ya washindi.Kwa kifupi hata Toto afrika wakitwaa kombe basi nitakuwa Toto afrika.
hee babu kijana ndo nani tena bht?? Huyu masaki ni mchokodhi sana huyu!!kumbe wewe ni monor eeeh!!!
nilimkataza Masaki kukupa wachumba akang'ang'ana kukupa eti Babu kijana.....
hahahaha si bure darl kuna mkono wa mtu kakangu!! nyamayao yu wapi?mbona nakunywa maji hivi leo au kuna mtu kaniloga swty?
Babu kijana? hata hajatulia.Kwa heshima za MJ1 naona Semenya atamfaa,si yupo singo yule?
hee babu kijana ndo nani tena bht?? Huyu masaki ni mchokodhi sana huyu!!
WE CHARITY WEWEE....!haya banaTafadhali nitake radhi.naanza kuhesabu 5,4.........
Mie sio Yanga,siwezi kuwa timu ya walioshindwa.Mie siku zote nakuwa timu ya washindi.Kwa kifupi hata Toto afrika wakitwaa kombe basi nitakuwa Toto afrika.
Sio kwa sasa.Mimi kila siku ni ooh kidedea.Kasoro Man city siwataki,they are Devils.That means kwa sasa: CHARITY ni Oooh Kidedeaaa!
Nitapitia jioni nichukue hela ya matumizi alafu nimlable kabisa ili asinyakuliwe na mabinamuz.mmh....mi ndo maana sikutaka kuhesabu vifaranga kabla...basi mnenepeshe yule mdogo wake eeh Binamu...du ze nidiful please nakuaminia!
bht shauri yako.NN yule hataki kapo.utapata mada kesi bure hapa.stuka.aaaah bana Nyani Ngabu........ni shemeji yangu yule
eeeh mwaya tena mi nikamkataza nikamwambia mtu mwenyewe anavuta cigars hivo MJ1 yuko delicate and frigile....yeye akasema huyo huyo....
kwanini?Sio kwa sasa.Mimi kila siku ni ooh kidedea.Kasoro Man city siwataki,they are Devils.
😀😀mbona nakunywa maji hivi leo au kuna mtu kaniloga swty?
😀😀hahahaha si bure darl kuna mkono wa mtu kakangu!! nyamayao yu wapi?
Hujanitaka radhi bado ujue? 4,3..........WE CHARITY WEWEE....!haya bana
Hizi rangi nyekundu na yebo yebo what does they stand for, thanks in advance sore kama nitawakwaza.
hahahaha si bure darl kuna mkono wa mtu kakangu!! nyamayao yu wapi?
nimekugongea senksi mama!maisha yaendelee...!enhee MAN CITY SASAHujanitaka radhi bado ujue? 4,3..........
Ukitaka gonga senks badala yake.Na utambue alama za nyakati,sasa hivi ni kipindi cha miaka 15 baada ya beijing.
Simply because they are RED DEVILS.LOSERS FOREVER.kwanini?
bht shauri yako.NN yule hataki kapo.utapata mada kesi bure hapa.stuka.
unamaanisha MANCHESTER UNITED?Simply because they are RED DEVILS.LOSERS FOREVER.