Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,875
nani mimi au......?mmh dearna hili Joto nendeni mkapate maji ya kunywa kidogo ndo mrudi ...mie nimeshindwa kuikamata nimejibrekisha kidogo ..nitafanya mapitio nikiwa nimejipumzisha akili imetulia ......
Hofu na mashaka kwako wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu.......
we bht, mkimwita mtoto invisibo katakuwa kiwembe hako,mie na wangu tulikutana humu humu JF, hatuna mtoto yet but we are still members, tukipata mtoto tutamtunuku jina la Invisibo.....
we bht, mkimwita mtoto invisibo katakuwa kiwembe hako,
katakuwa kanapitia vibinti vya watu, before they know it, kanakuwa kameshapitia.
Mungu akasema, sio vizuri huyu mtu kuwa peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye. ....tumefanana lakini ni msaidizi wangu mbishieni Mungu basi, kwa sababu nyie wabishi sanana kusudi lake ili tumche yeye
kwa vipi mkuu? kwani kizibo ndo nani?Toba yailah Wataka Server Ban weye
kwa vipi mkuu? kwani Kisible ndo nani?
We ndege huwezi pata mchumba humu mpaka ubadili hiyo avatar yako!LOLZ!Huyo ndiye Mkulu wa Hili Jukwaa Shauri yako mimi simo
Jamani hebu punguzeni spidi ya hii sredi. Mi bado kujua kinachoendelea hapa! LOLZ
kinachoendelea hapa ni kuwa eti wanasema wewe ni mchumba wake cheusimangala...sisi tumewaambia sio hawataki kusikia
umeamua kujipa u-editor in chifu sio?!!Huyo ndiye Mkulu wa Hili Jukwaa Shauri yako mimi simo
We ndege huwezi pata mchumba humu mpaka ubadili hiyo avatar yako!LOLZ!
Vipi ule uvumi kuwa we ni mchumba wa BWAWA wanasemaje? 😀😀😀kinachoendelea hapa ni kuwa eti wanasema wewe ni mchumba wake cheusimangala...sisi tumewaambia sio hawataki kusikia
umeamua kujipa u-editor in chifu sio?!!
basi mi nitajipa u-MOD, kila ukipost linatokea jina tu, post haionekani!
sasa hivi nafanya makeke
Hahaha! Nimekuelewa hapo kwenye red!Ha ha haa! Totoz zinajaza PM box yangu nataka nimwambie Mkulu Invisle anisaidie ku black list id za Totoz za JF
Vipi ule uvumi kuwa we ni mchumba wa BWAWA wanasemaje? 😀😀😀
mweee jamani huyo Bwabwa ni bwana wangu sitaki uchokozi
Hahaha! Nimekuelewa hapo kwenye red!
Katika foleni ya hizo PM kuna ambayo imepotea njia? manake watu wanafikiri BWABWA ni dume.😀😀😀!!!
Hiyo ID tayari nimeitupia kwenye Ignore List teh teh teh