Couples za JF ni hizi...!

Couples za JF ni hizi...!

Huyo ndiye Mkulu wa Hili Jukwaa Shauri yako mimi simo

Last edited by Ndege ya Uchumi; Today at 03:54 PM..

Ndege hebu do the needful unambie ume-edit nini hapa! Before I change my mind!
 
Oh yeah...ndo nimeamka mwenzio hapa....nakula cerial...karibu....
Asante mkuu, duh! mi nikiamka napata vitu fresh........muhindi wa kuchemsha fresh kutoka shambani, mhogo wa kuchemsha kipande kimoja,
na gahawa kaaaavuuu ilotiwa pegi mbili za wiski au gin.
 
Oh yeah nimelala kama mtoto shem....Wikendi ndio nshaianza mwenzio. Bala mzima lakini?

usingizi wa namna hiyo ni soooo peaceful!!!

Bala mzima lakini....dah shem aliumwa juzi basi anadeka mpaka basi.....
 
Asante mkuu, duh! mi nikiamka napata vitu fresh........muhindi wa kuchemsha fresh kutoka shambani, mhogo wa kuchemsha kipande kimoja,
na gahawa kaaaavuuu ilotiwa pegi mbili za wiski au gin.

Vipi, kashata na ufuta unatumia?
 
mmmh!
kama atahitaji kununua rangi naomba umuunganishe na mimi mkuu!
nina rangi aina zote na bei nafuu duani kwangu
Hehehe! So you think I can't read between them lines?
Ngoja nirudi PM naona unanizunguka wewe!
 
mkuu kama mbuyu kuukumbatia huwezi si afadhali kuuzunguka??!!
Ulishawahi fanya kazi Urafiki? kama siyo hayo maneno wakiyaona unaweza pata dili.

Chana nywele hata kama una kipara!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom