Countdown to SIMBA v YANGA showdown on 3rd October 2012

Status
Not open for further replies.
Mkuu huu ndio mziki wa kumuua SIMBA wa maonyesho:
1.Yaw Berko.
2.Juma Abdul
3.Oscar Joshua
4.Cannavaro
5.Yondani
6.Twite
7.Chuji.
8.Niyonzima
9.Kiiza
10.Bahanuzi
11.Msuva
Bench:
1.Barthez
2.Nsajigwa
3.Mwasika
4.Nizar
5.Kavumbagu
6.Gumbo"fundi"

he! he! hii nayo timu au masharobaro a.k.a Wasafi na Rais wa Wasafi MBUYU a.k.a UBUYU!
 
Anselm

Fair analysis, tayari Yanga wanaingia wakiwa na kumbukumbu ya kupigwa tatu bila na Mtibwa kwenye ligi wakati Simba anaingia na record ya kutokufungwa hata mechi moja wala kutoa draw. Psychologically Simba wapo better zaidi kuliko Yanga.

Again Yanga wapo under pressure baada ya kuchapwa bao tano bila na Simba katika mechi yao ya mwisho, na hivyo nategemea kuona wakicheza kwa tahadhari kubwa sana.

Kiuchezaji Yanga ni wazuri na hasa wachezaji wa kati, huwa wanapendelea kucheza mpira wa sekeseke, wa kukimbiza, that's their style of play. They do not play an entertaining football most of the time.

Simba mara nyingi wanacheza mpira wa kupanga mashambulizi, they pass the ball around and they are pretty entertaining. Kwa kumkosa Okwi Simba wana pigo kubwa sana pale mbele. Mara nyingi Sunzu sio mchezaji skillfull sana katika kuwapenya mabeki ila kuwa anajiposion vizuri na kuscore very important goals. Mara nyingi anapokabwa sana anakuwa haonekani mpaka anasahaulika, na ndio hapo anapoweza kufanya madhara.

Tunategemea mpira mzuri ila ushindi utaenda kwa yeyote, wote wana deserve kushinda.
 
Last edited by a moderator:
Leo MBUYU a.k.a UBUYU lazima achezeshwe kwata na watoto wadogo! Chezea NGASSA wewe!!!
 
Fair analysis, tayari Yanga wanaingia wakiwa na kumbukumbu ya kupigwa tatu bila na Mtibwa kwenye ligi wakati Simba anaingia na record ya kutokufungwa hata mechi moja wala kutoa draw. Psychologically Simba wapo better zaidi kuliko Yanga.

Again Yanga wapo under pressure baada ya kuchapwa bao tano bila na Simba katika mechi yao ya mwisho, na hivyo nategemea kuona wakicheza kwa tahadhari kubwa sana.

Kiuchezaji Yanga ni wazuri na hasa wachezaji wa kati, huwa wanapendelea kucheza mpira wa sekeseke, wa kukimbiza, that's their style of play. They do not play an entertaining football most of the time.

Simba mara nyingi wanacheza mpira wa kupanga mashambulizi, they pass the ball around and they are pretty entertaining. Kwa kumkosa Okwi Simba wana pigo kubwa sana pale mbele. Mara nyingi Sunzu sio mchezaji skillfull sana katika kuwapenya mabeki ila kuwa anajiposion vizuri na kuscore very important goals. Mara nyingi anapokabwa sana anakuwa haonekani mpaka anasahaulika, na ndio hapo anapoweza kufanya madhara.

Tunategemea mpira mzuri ila ushindi utaenda kwa yeyote, wote wana deserve kushinda.

Mkuu hawa si wachezaji! umeshawahi kuona wachezaji badala ya kufanya mazoezi wanacheza VIDUKU! Tusibiri singo yao na FM Academia fiucharingi YANGA JAZZ BAND!!!!
 
Jinsi Ngassa atakavyofichwa leo pale mbele kumbukumbu za tukio lake la kuibusu jezi ya Yanga lazima zitatolewa kumbe maskini ni kufichwa tu,chezea ukuta wa Berlin nyinyi...
 
anyway kwangu mi wapendwa leo naona MAJINI YANACHEZA NA MAJINI YENZAKE SASA USHINDI UTATEGEMEA NANI KATIKAA WALIOMINI MAJINI MMOJA WAPO AKAMWAMINI YESU KRISTO WA NAZARETHI ..BIBLIA INASEMA MUNGU ALIMTAFUTA MMOJA TU ILI AOKOE SODOMA NA GOMORA.SO LEO WAAMBIEN NDUGU ZENU KAMA KUNA MCHEZAJI ATAACHANA NA KURUKA UKUTA AMA KUNYWA MAJI YA BAHARI NA KUMWAMINI MUNGU ALIE HAI TIMU HIYO NDIO NAENDA KUISHAINGILIA TAIFA NA MTU HHUYO NI YAWBERKO NA TIMU HIYO UNAIJUA MWENYWE........
 
Jinsi Ngassa atakavyofichwa leo pale mbele kumbukumbu za tukio lake la kuibusu jezi ya Yanga lazima zitatolewa kumbe maskini ni kufichwa tu,chezea ukuta wa Berlin nyinyi...

Jana hamjalala mzungu wa nne? Yanga kwa visingizio!!!!
 
Yule Mganga wao wa Zanzibar kajifanya kuteremsha ki'mvua leo kuwapa imani kuwa watashinda,watashaa..embu hiyo saa 1 ifike nina hamu ya kuona wimbo unabadilika kila siku 5-0 tu,ngoja leo tupate wimbo mwingine
 
anyway kwangu mi wapendwa leo naona MAJINI YANACHEZA NA MAJINI YENZAKE SASA USHINDI UTATEGEMEA NANI KATIKAA WALIOMINI MAJINI MMOJA WAPO AKAMWAMINI YESU KRISTO WA NAZARETHI ..BIBLIA INASEMA MUNGU ALIMTAFUTA MMOJA TU ILI AOKOE SODOMA NA GOMORA.SO LEO WAAMBIEN NDUGU ZENU KAMA KUNA MCHEZAJI ATAACHANA NA KURUKA UKUTA AMA KUNYWA MAJI YA BAHARI NA KUMWAMINI MUNGU ALIE HAI TIMU HIYO NDIO NAENDA KUISHAINGILIA TAIFA NA MTU HHUYO NI YAWBERKO NA TIMU HIYO UNAIJUA MWENYWE........
Mkuu Pdidy...naona umeamua kufunga goli la mbali....pamoja sana kaka....
 
Last edited by a moderator:
Si Yanga tumesha maliza mchezo nikiwa miongoni mwa viongozi wa kamati ya ufundi Simba leo analala goli nyingi subirini saa 1
 
he! he! hii nayo timu au masharobaro a.k.a Wasafi na Rais wa Wasafi MBUYU a.k.a UBUYU!
Ha ha ha ha ha ha!
Umeshituka ehee?habari ndio hiyo na huo ndio mziki wa Yanga leo.
Anyway mie naomba kesho tuonane kwenye magazeti asbh.
 
ntakuwa uwanjani jamani naamaini umoja imara ushindi daima ....
 
Mkuu mvunjo
tuko pamoja mpwa mambo mengine unawachia wanaumiza kichwa nani mshindi sio kila mitihani a,b,c,d mengine unawekea malizia..........ila unawapitisha kwenye jibu kidogo...
Mfano
ukienda guest .....ni hatari...................
A,ngono
b,starehe,
c,ulevi
,ukimwi

wanaamua wenyewe....cya uwanjani mkuu ntakuwa na full yellow na green katikati mpwa ukipenda ni sms tu kwa 0713 45 87 2,.......
 
Simba timu hebu leo fanya kama mwanzo 5 o'clock ili usiku nipate njozi njema kuliko kumeza panadol kwa kipandauso.
 
Tunaanza kwanza na timu ya U20, tuwapige halafu tunakuja tunamalizia na kaka zao, nitarejea hapa baada ya mechi ya U20.
 
Tunaanza kwanza na timu ya U20, tuwapige halafu tunakuja tunamalizia na kaka zao, nitarejea hapa baada ya mechi ya U20.
Under 20 mtatufunga kwani team yenu imeizidi ubora team yetu lkn hapo kwa Wakubwa hamtaamini.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom