Countdown to SIMBA v YANGA showdown on 3rd October 2012

Countdown to SIMBA v YANGA showdown on 3rd October 2012

Status
Not open for further replies.
Kwa mbali naona mnyama akipakatwa.!!
 
Mechi lainiiiiiiiiiiiii kama tuna nawa Simba Timu piga hao wajinga wajinga goli 2 tu zinatosha maana mkiwafunga nyingi watafukuza uongozi....
 
Yanga B imeshindwa kuwatilia baraka kaka zao, kuelekea mchezo wa jioni, baada ya kuwaruhusu mabingwa wa Kombe la BancABC Sup8R, Simba B, inayofundishwa na Suleiman Matola, akisaidiwa na Amri Said kutoka nyuma kwa mabao 2-0 na kupata sare ya 2-2. Mabao ya Yanga B inayofundishwa na kocha wake, Salvatory Edward akisaidiwa na Abubakar Salum yamefungwa na Kelvin Nkini kipindei cha kwanza na Notikel Masasi kipindi cha pili, wakati ya Simba yalifungwa na dakika za lala salama.



 
Mabingwa wa Super 8 chupuchupu kufungwa na Vijana wa Salvatory Edward na Aboubakar Salum "Sure Boy Original" inaonekana bado walikuwa stress za kunyimwa mgao wao wa zawadi za Super 8
 
Hii mechi huwezi kuangalia na kupost humu JF, tuonane baada ya mechi.
 
Mabibi na Mabwana napenda kuwajulisha baada ya mtanange huu unaotarajiwa kuanza dk chache zijazo kumalizika msimamo nafasi 3 za juu utakuwa kama ifuatavyo:-

P W D L Pts
1. Simba SC 5 4 0 1 12
2. Yanga FC 5 3 1 0 10
3. Azam 4 3 1 0 10
 
Yanga wameteremsha forward line ya Kagame pale kati ni Bahanuzi na Kiiza,kudadadeki Mnyama haponi leo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom