Maneno tu, kwa TZ mi natofautiana sana na ww!Yanga imara daima
Maneno tu, kwa TZ mi natofautiana sana na ww!
Hahaha, jana (Chelsea) tumefanya mauaji, nowadays naishi kwa amani, vijana hawajaniangusha.
Leo wewe ni mtani eh? Mnyama anawatandika tano tena hahahaha, au unabisha?
Mkuu taratibu, timu inacheza kupaki bus ndo uwe na amani!!Maneno tu, kwa TZ mi natofautiana sana na ww!Hahaha, jana (Chelsea) tumefanya mauaji, nowadays naishi kwa amani, vijana hawajaniangusha.Leo wewe ni mtani eh? Mnyama anawatandika tano tena hahahaha, au unabisha?
Mkuu mpira umesha chezwa saa nyingi k.koo saa 1 nikukamilisha ratibaau unafuata nyota na wewe ni kama Tisha-TOTO
Mkuu mpira umesha chezwa saa nyingi k.koo saa 1 nikukamilisha ratiba