Countdown to SIMBA v YANGA showdown on 3rd October 2012

Countdown to SIMBA v YANGA showdown on 3rd October 2012

Status
Not open for further replies.
Jicho Supersport sikio Swedi Mwinyi TBC Taifa!!! SIMBA 3 YANGA UBUYU!!!
 
leo naona simba anakufa maana kazoea kuroga kwa mvua mpaka sasa hata manyunyu deki kazi anayo..
 
kuna radio yoyote online wanatangaza huu mtanange
 
Kitu Swedi Mwinyi bana! sikia atavyochombeza Simba wakipiga pasi mfululizo alafu wawe wanaongoza!

hapo ndio utajua hakuna watangaza mpira bongo bali ni unazi tu ndio unawasumbua..
 
Mimi ni Yanga, lakini sipendi mechi ya Simba na Yanga irudi kama wakati ule wa akina Gulamali na Dewji, pesa zilitumika kuamua timu gani ifungwe na ishinde, tunataka kufurahia ushindi wa halali na wala si wa kubebwa, kumbe watani zang Simba nawaambia hata sisi watu tunaojali Kandanda la kuleta maendeleo si kwa vilabu tu bali kwa nchi, hatupendi marefalii wanaobeba timu iwe kwa kutoa upendeleo ama hata kwa kuwatoa wachezaji kiunazi. Tupeni raha kwa kuwa fair, ili tutakaposhangilia tuwe huru!
 
nahisi leo taifa itakaribia kujaa na watakao jaza ni wale wa buku 2 za walinzi pale getini..
 
leo naona simba anakufa maana kazoea kuroga kwa mvua mpaka sasa hata manyunyu deki kazi anayo..

Kuna maeneo hapa Mjini (Dsm) ilipiga mvua ya kiaina lkn haijalishi kipigo chenu kipo palepale
 
Nilisema nitarejea baada ya mechi ya U20, matokeo ni sare ya mbili mbili.
 
SIMBA WANGOJA ULINZI TRAFIKI WAKAPOKEE TIMU BANDARINI, TAIFA KWAANZA KUNOGA

[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Basi la Simba likiwa limepaki makao makuu ya Trafiki, kusubiri ulinzi kwa ajili ya kwenda kuipokea timu Bandarini, ikitokea Zanzibar[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Basi la Simba likiwa limepaki makao makuu ya Trafiki, kusubiri ulinzi kwa ajili ya kwenda kuipokea timu Bandarini, ikitokea Zanzibar[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Eeneo la Gerezani, karibu na BP kama unaenda Kurasini[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Eneo la Gerezani, karibu na BP kama unaenda Kurasini[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Jamaa amenunua na kuvaa hapo hapo jezi ya Yanga[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Biashara ye jezi[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Add caption[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Mashabiki wa Simba wanaelekea uwanjani[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Daudi Chalamila na Simba mwenzie[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Nilisema nitarejea baada ya mechi ya U20, matokeo ni sare ya mbili mbili.

Hee Mtani wale Mabingwa wa Super 8 wameshindwa kuwapiga wale watoto wetu wa'chovu? ama kweli hamjawalipa fedha zao,sasa subirini muone rambirambi za Mshikaji (RIP) zitakavyowagharimu kwenye mechi ya wakubwa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom