Cosmological truth

Cosmological truth

Kama uwepo wa Mungu sio kweli kwa kuwa hakuna ushahidi wewe unao ushahidi unaothibitisha kwamba Mungu hayupo? Quantum physics yenyewe inakubali kwamba kuna kuna visivyoonekana. Swali ni je! Atheists wanaweza kuthibitisha kwamba Mungu hayupo?
Hakuna haja ya kuthibitisha kutokuwepo kwa Mungu ambaye uwepo wake haujawahi kuthibitishwa.
Alafu vitu visivyoonekana kwenye Quantum Physics vina justify vipi kwamba Mungu yupo?
 
Duh! halafu mtu anakuja anakusifia kabisa kuwa unajua kujenga hoja.

Yani jambo la imani wewe unasema kila kitu kingekuwa clear kwa kila mtu.

Na bora muendelee kujificha nyuma ya mgongo wa sayansi maana bila ya hivyo mtaumbuka tu.
"Your thoughts control your life, you’re the creator of your everything, if you create it you can take it out. Choose your thought wisely"
 
Kuna faida nyingi sana.ila ninayoipenda Mimi kuamini kuwa mungu yupo au hayupo kunampa mtu purpose of life and its definition
Huwezi kuwa na foremost purpose of life ilihali watu ni tofauti na kila mtu ana ona uhalisia kupitia macho yake mwenyewe.Lakini watu wanaoamini uwepo wa Mungu ni watu wenye kujitesa kwa kujitakia.Ni watu wenye akili ambazo kama biashara ya utumwa ingerudi leo wasingekuwa na uwezo wa kufanya chochote cha kuwazuia wasiwe bidhaa sokoni.
 
Unazidi kujichanganya tu,kuamini kitu kunahitaji sababu na ndiyo maana nyie mnapinga sababu zenye kuwafanya watu kuamini mungu. Sasa unaposema unaweza tu kuamini pembe tatu ni duara una maanisha kuwa kuamini hakuhitaji sababu na ndiyo maana ukatoa mfano huo wa jambo unaloliona haliwezekani.


Imani ingekuwa haina sababu basi isingewezekana kumshawishi mtu aamini kitu au kumfanya mtu aache kuamini anachokiamini na kumfanya aamini kitu chengine bila kumpa sababu zitakazo mshawishi kufanya hivyo.

Na jambo la imani siku zote huwa linakuwa na wenye kuamini na wasioamini,unajua huwezi kukuta watu mchana wa jua kali wakibishana kuwa huo ni mchana au usiku..lakini ukiwafungia watu hao kwenye chumba chenye giza wakati wote basi haitokuwa ajabu kama watakuwa wakibishana kuwa ni usiku au mchana.

Na hivyo ndivyo ni sawa na imani ya mungu.
Kwa nini kuamini kuhitaji sababu?

Mtu anapobashiri na kuamini kwamba, ukirusha kwa mara ya kwanza juu shilingi yenye nyuso za mwenge na kichwa, shilingi itaangukia uso wa kichwa juu, anakuwa na sababu gani ya kuamini kwamba uso wa kichwa utaangukia kutazama juu na si uso wa mwenge?

Watu wanabashiri vitu kama hivi kwa kuweka hela nyingi sana. Ukiondoa imani tu, sababu gani inamfanya mtu achague kichwa au mwenge?
 
—Emancipate Yourself From Mental Slavery,None But Ourselves Can Free Our Minds -Bob Marley,Redemption.

Some people protect the core belief by fighting any different ideology,they even kill and torture people who disagree with them.They unconsciously do the work of devil in the name of their God .
The last Ramadan,Muslims accused a Man for not fasting and for being himself,it was in Zanzibar.Little sparks start big fires.The first world war started over one person shooting another person ,it started the biggest bloodbath in history.If the truth can't be spread in non violent methods,you can be sure people are doing the devil's work.As a security measure to protect the core belief,Muslims have been indoctrinated into hatred of other religions and cultures ,it is Islamic education policy to protect the core belief.
Muslims have been enslaved to believe Quran is the only scripture contains the truth,other scriptures have been distorted.The ultimate truth is ,the current content of Quran is a work ordered and executed by man.The fact that some verses were included from the memory of a single man,and some verses of highly trusted scholars (by Muhammad himself ) were not included ,make a lie of the claim it has never been distorted.

Religions spend all its time in spreading myths of the past and fantasies which have created hell on earth.No rational educated person can believe the whole world was flooded or The Universe was created in 6 days .It makes no sense because time is abstract concept created by us to describe how we observe things change from moment to moment.As the earth revolves around the sun,it turns ,gives us day and night,through that,we created our own time to determine life here on earth.

—All That Surround You ,Are Secrets And Lies"-NSYNC-This I Promise You.

Two weeks ago ,I watched "The Keepers " on Netflix,It demonstrates Catholic Church ni criminal organization needs to banned and bankrupted at the first opportunity,and every Catholic Church needs to be turned into home for children who been abused and shuffled by priests,in addition to trafficking them to local police.
The Roman Catholic Church built over pagan system in order to conquer civilizations and deceive human history.The Cross ,Marry Statue ,And Images which mislead people are Pagan Practice misguided by Devil Mind.
Jesus is said to be circumcised ,and the foreskin of his Penis is now used by Catholic Church as Holy Foreskin in the belief they would be miraculously healed .It is idol and pagan worship.Wake Up People.
View attachment 531376

Trinity ni the first greatest deception of the human race there is created by Catholic Church to deceive human beings .The Bible itself doesn't teach Trinity.Trinity is a false teaching and it takes an honest heart to see the Truth .
Aidha ,they claim Jesus H. Christ is God or Son Of God ,all that's a lie and deception on all grounds,Christ himself never claimed to be God or Son of God.

Today ,Black beings are looking as to why they were enslaved ,but the ultimate truth is ,White men didn't introduce Slavery to the world.It was there since the beginning of time.The Bible itself supports slavery,It allows people to own other people as property.The Whites had something the Blacks didn't have,The Bible.It is the Bible and other Scriptures used to enslave Blacks.White Men taught the Black Men the Bible and with Scriptures like these ,they were justified to enslave .

"Slaves ,Obey Your Earthy Masters In Everything,Not Only When Their Eye Is On And To Curry Their Favor,But With Sincerity Of Heart And Reverence For The Lord" —Colossians 3:22.

Today ,The White Men have finished with the Bible ,They are now the masters of Atheism ,they call the Bible an evil book,however they are still reaping the benefits of what the Bible gave them,Slavery and Colonization.As for Blacks ,still suffering as hell the after-effects of Colonization which will probably never end.They still hold and defend the bible till death .When blacks are told to think critically when holding the same bible enslaved them,they refuse to question anything as they fear they will be sinning against God.If The Bible allows slavery,is it moral or immoral scripture ?Il faut que tu penses.

The last trumpet,Free will is the second greatest deception there is after Trinity created by the devil mind.Life is in control all the time ,you do something because environment gives you a reason to do it.

—The Environment Is Everything That Isn't Me .-Albert Einstein.

Bien sûr,You have choices,but a limited of them ,n'est -ce pas ?,and none of those choices would make any real difference in your personal life .Your environment controls you ,it does something,your mind reacts to it .We are under the absolute control of our environment.No One Is Free In Will.

In American Beauty-Movie,



The bag and feather blowing in the wind are telling how life is under the control of some unseen force controlling the universe and life behind things .Nothing Just Happens .It Is All Part Of A Plan.Your Past -Present -Future has already happened,And Things Will Happen As You Decide Through And Through.In Fact ,Anything That Is Meant To Be ...Does ....Eventually ,True Or False ?

The dancing bag is telling you there is no reason to be afraid in learning the Truth Of Life ,because you are the universe moving in the ecstatic motion.

—It Is Up To You•
(C'est Votre Choix).

27 June 2017.
•Shukran ,Mk54.

Same story. Walioonja maisha ndani ya Kristo wameshaona, hivyo sio rahisi kuwatapeli
 
Kwa nini kuamini kuhitaji sababu?

Mtu anapobashiri na kuamini kwamba, ukirusha kwa mara ya kwanza juu shilingi yenye nyuso za mwenge na kichwa, shilingi itaangukia uso wa kichwa juu, anakuwa na sababu gani ya kuamini kwamba uso wa kichwa utaangukia kutazama juu na si uso wa mwenge?

Watu wanabashiri vitu kama hivi kwa kuweka hela nyingi sana. Ukiondoa imani tu, sababu gani inamfanya mtu achague kichwa au mwenge?
Unaweza ukaelezea ni vp huu mfano unaingia kwenye kundi la imani?
 
Unaweza ukaelezea ni vp huu mfano unaingia kwenye kundi la imani?

Inaonekana neno imani hujalielewa na tafsiri yakoni finyu sana.

Umesema imani inahitaji sababu.

Kwa maana nyingine,hakuna imani isiyo na sababu.

Mtu anapoambiwa, chagua sura ipi ya shilingi itaangukia juu, ukipatia timu yako inapata kuanza mpira, au unapata hela kwenye kamali.

Mtu anapochagua kwamba kichwa kitaangalia juu, anachagua hilokwaimanikwamba matokeo ya kurusha shilingi yatafanya kichwa kiangalie juu.

Imanihii ya kuaminikwamba kichwa kitaangalia juu, na si mwenge, inatokana na sababu gani ya kueleweka?

Umesema imani inatokana na sababu.Hakuna imani isiyo sababu.

Sababu gani ya kueleweka ya kupendelea kichwa au mwenge unaweza kuitoa?

Statistically vyote vina 50/50 chance ya kuwa right.
 
Hakuna haja ya kuthibitisha kutokuwepo kwa Mungu ambaye uwepo wake haujawahi kuthibitishwa.
Alafu vitu visivyoonekana kwenye Quantum Physics vina justify vipi kwamba Mungu yupo?
Hahaha,

Umenichekesha sana hapo "vitu visivyoonekana kwenye Quantum Physics vina justify vipi kwamba Mungu yupo?"

Ni sawa na mtu anakwambia kwamba "tazama kwenye akaunti yako ya Benki, hakuna dola bilioni moja, hilo linathibitisha mimi nina dola bilioni moja kwenye akaunti yangu ya benki Uswizi".

Maisha yangekuwa simple hivyo ningeweza kununua chochote kwa trick hii!

Unaenda kwa dealer wa magari, unamwambia tu natakaunipe hilo gari lako lafahari kabisa. Tazama katika akaunti yakohauna dola bilioni moja. Hilo maana yake nina dolabilioni moja nitakulipa tu usiwe na shida.

Hii ni logical fallacy.

Let's say kwamba kuna vitu ambavyo havionekani kwa macho yetu.Kwa mfano kuna infrared rays hatuoni kwa macho.

Kuwepo kwa kitu A kisichoonekana hakuthibitishi kwamba kitu B kisichoonekana kipo.

Ukikubalikwamba Mungu yupokwa sababu vitu visivyoonekana vipo, ni lazimaukubali kwamba Mungu hayupo kwa sababu vitu visivyoonekana vipo pia.Kwa sababu kama Mungu hayupo,atakuwa haonekani.

Ukikubali kwamba vitu visivyoonekana vipo,na kwa hiyo Mungu yupo ila haonekani, na pia kwa sababu vitu visivyoonekana vipo Mungu hayupo na haonekani, utakuwa umekubali kwamba Mungu yupo na hayupo kwa wakati huo huo.

Ukishakubali kwamba Mungu yupona hayupokwa wakati mmoja huohuo,utakuwa ushaji contradict.

Hapondipo inabidi kweliuzame katika Quantum Physics.

Kwa sabababu Quantum Physics ndiyo inatuambia particle inawezakuwepo na kutokuwepo kwa wakatimmoja na sehemu moja.
 
Inaonekana neno imani hujalielewa na tafsiri yakoni finyu sana.

Umesema imani inahitaji sababu.

Kwa maana nyingine,hakuna imani isiyo na sababu.

Mtu anapoambiwa, chagua sura ipi ya shilingi itaangukia juu, ukipatia timu yako inapata kuanza mpira, au unapata hela kwenye kamali.

Mtu anapochagua kwamba kichwa kitaangalia juu, anachagua hilokwaimanikwamba matokeo ya kurusha shilingi yatafanya kichwa kiangalie juu.

Imanihii ya kuaminikwamba kichwa kitaangalia juu, na si mwenge, inatokana na sababu gani ya kueleweka?

Umesema imani inatokana na sababu.Hakuna imani isiyo sababu.

Sababu gani ya kueleweka ya kupendelea kichwa au mwenge unaweza kuitoa?

Statistically vyote vina 50/50 chance ya kuwa right.
Umeingizia huu mchezo kwenye kundi la imani na ndiyo nikakuuliza je huu mfano wako unaingiaje kwenye kundi la imani?

Hujajibu ni vp huu mchezo unaingia kwenye kundi la imani ila unataka mi mie nikupe sababu za watu kwanini waanaamua kuchagua mwenge na si bichwa au kinyume chake,.

Huu mchezo unaingiaje kwenye kundi la imani?
 
Umeingizia huu mchezo kwenye kundi la imani na ndiyo nikakuuliza je huu mfano wako unaingiaje kwenye kundi la imani?

Hujajibu ni vp huu mchezo unaingia kwenye kundi la imani ila unataka mi mie nikupe sababu za watu kwanini waanaamua kuchagua mwenge na si bichwa au kinyume chake,.

Huu mchezo unaingiaje kwenye kundi la imani?
Imani ni nini?

Nimeeleza hapo juu kwamba inaelekea tafsiri yako ya neno imani ni finyu.

Labda tuanze kwa wewe kunieleza maana ya neno imani unavyolielewa wewe ni ipi?

Imani ni nini?
 
Hahaha,

Umenichekesha sana hapo "vitu visivyoonekana kwenye Quantum Physics vina justify vipi kwamba Mungu yupo?"

Ni sawa na mtu anakwambia kwamba "tazama kwenye akaunti yako ya Benki, hakuna dola bilioni moja, hilo linathibitisha mimi nina dola bilioni moja kwenye akaunti yangu ya benki Uswizi".

Maisha yangekuwa simple hivyo ningeweza kununua chochote kwa trick hii!

Unaenda kwa dealer wa magari, unamwambia tu natakaunipe hilo gari lako lafahari kabisa. Tazama katika akaunti yakohauna dola bilioni moja. Hilo maana yake nina dolabilioni moja nitakulipa tu usiwe na shida.

Hii ni logical fallacy.

Let's say kwamba kuna vitu ambavyo havionekani kwa macho yetu.Kwa mfano kuna infrared rays hatuoni kwa macho.

Kuwepo kwa kitu A kisichoonekana hakuthibitishi kwamba kitu B kisichoonekana kipo.

Ukikubalikwamba Mungu yupokwa sababu vitu visivyoonekana vipo, ni lazimaukubali kwamba Mungu hayupo kwa sababu vitu visivyoonekana vipo pia.Kwa sababu kama Mungu hayupo,atakuwa haonekani.

Ukikubali kwamba vitu visivyoonekana vipo,na kwa hiyo Mungu yupo ila haonekani, na pia kwa sababu vitu visivyoonekana vipo Mungu hayupo na haonekani, utakuwa umekubali kwamba Mungu yupo na hayupo kwa wakati huo huo.

Ukishakubali kwamba Mungu yupona hayupokwa wakati mmoja huohuo,utakuwa ushaji contradict.

Hapondipo inabidi kweliuzame katika Quantum Physics.

Kwa sabababu Quantum Physics ndiyo inatuambia particle inawezakuwepo na kutokuwepo kwa wakatimmoja na sehemu moja.
Theists ni watu wa ajabu sana. Minds zao zime adapt kwenye kupokea na kuamini chochote.Hawataki kutafuta ukweli kwenye hiyo fake reality wanayoishi.Hawataki kufanya analysis ya kuchambua mbivu na mbichi ili waweze kuwa na uhalisia wenye mantiki.Wakikutana na imani za dini ambazo ni kama opium ndio kabisa wanashindwa kuona nyeusi ni ipi na nyeupe ni ipi.Ndio maana kila siku wanatafuta sababu za kuamini kwenye hizo dini pamoja na Miungu yake licha ya kwamba ni ant-life practices.
 
Theists ni watu wa ajabu sana. Minds zao zime adapt kwenye kupokea na kuamini chochote.Hawataki kutafuta ukweli kwenye hiyo fake reality wanayoishi.Hawataki kufanya analysis ya kuchambua mbivu na mbichi ili waweze kuwa na uhalisia wenye mantiki.Wakikutana na imani za dini ambazo ni kama opium ndio kabisa wanashindwa kuona nyeusi ni ipi na nyeupe ni ipi.Ndio maana kila siku wanatafuta sababu za kuamini kwenye hizo dini pamoja na Miungu yake licha ya kwamba ni ant-life practices.

Mimi nakubali kwamba kuwa na akili ni pamoja na ku entertain mawazo tofauti na wewe.

At least kujua kwa nini yako hivyo.

Nimemsoma Dr. Yuval Noah Harari, ana a very interesting theory inayoweza kutetea theism usiione ya ajabu sana.

Umeshawahi kumsoma?
 
Hakuna haja ya kuthibitisha kutokuwepo kwa Mungu ambaye uwepo wake haujawahi kuthibitishwa.
Alafu vitu visivyoonekana kwenye Quantum Physics vina justify vipi kwamba Mungu yupo?

Wewe google tu utaona machapisho ya wanafizikia.
 
Kwa nini kuamini kuhitaji sababu?

Mtu anapobashiri na kuamini kwamba, ukirusha kwa mara ya kwanza juu shilingi yenye nyuso za mwenge na kichwa, shilingi itaangukia uso wa kichwa juu, anakuwa na sababu gani ya kuamini kwamba uso wa kichwa utaangukia kutazama juu na si uso wa mwenge?

Watu wanabashiri vitu kama hivi kwa kuweka hela nyingi sana. Ukiondoa imani tu, sababu gani inamfanya mtu achague kichwa au mwenge?
Kuamini sio huko mkuu,,hayo ni makisio sio imani,imani inasababu
 
Mimi nakubali kwamba kuwa na akili ni pamoja na ku entertain mawazo tofauti na wewe.

At least kujua kwa nini yako hivyo.

Nimemsoma Dr. Yuval Noah Harari, ana a very interesting theory inayoweza kutetea theism usiione ya ajabu sana.

Umeshawahi kumsoma?
Hapana ila nitaitafuta hadi niipate.Wapo watu waliojaribu kueleza nadharia za kwanini kuna waamini wa dini kwa kutumia sexual selection theory. Ambapo wanadai religious rituals zipo ili ku influence watu wa mate na mambo mengine ya kufanana ingawa ushawishi wake bado ni mdogo.

Sina uhakika sana kama ninasumbuliwa na Schadenfreude au lah, lakini huwa napenda kuwasikiliza wafia dini wanavyoimbia, kuabudu na kuomba kwa vitu visivyokuwepo.Kwenye mawazo yangu huwa nawauliza swali.....Kwahiyo hapo ulipo unaongea na Mungu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom