Cosmological truth

Cosmological truth

Yaani hapo umejiona umejiuliza vitu vya maana kumbe pumba tupu. Hijja ilikuwepo kabla Muhammad hajazaliwa, na lengo lake sio utalii kama ujuavyo wewe, mtu akiamua kwenda kutalii Italy na akiacha Tanzania anasababu zake, ni chaguo lake. Kwani kuna vingi Italy vipo ila Tanzania hakuna.
Hizi zinaitwa chuki, na wewe sio wa kwanza kuwa nazo. Hata watu wa kwanza waliompinga Muhammad kama Amru ibn Hisham walikua na sabab kama hizi za kwako, kwanini awe Muhammad na asiwe fulani? Ni wivu tuu, unakufumba macho usiuone ukweli.

Sent using Jamii Forums mobile app

Zilikuwepo kabla ya Muhammad kwa waaafrica au kwa waarab?

It’s fun kwa wewe kusima neno CHUKI, LoL


Mk54
 
Sijui Kiarabu
Hapana hakua dada yake,ila maelezo hayo hutayapata kwenye tarjama( i.e kubadili kutoka lugh ya kiarabu kwenda kwa kiswahili) bali ukisoma tafsiri ya kiarab kwa kiarabu kuna maelezo mazuri wameweka, mfano ukifungua tafsri ya Abdulraan ibn Naaswir Asa'd ameeleza kwa uzuri uhusiano wao.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom