griffin griffith
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 549
- 442
Mimi Nina imani mungu yupo,kutokana na biological creatures in this world.yaan haingii akiliniKwa sababu hakuna ushahidi wowote kuwa Mungu yupo.
1.uende porini au sehem yoyote ile ambayo unaamini hakuna MTU yoyote aliwahi fika ukaikuta saa ya mkononi,then ukasema hii SAA haijatengenezwa na binadamu,kisa tu ww ni wa kwanza kufika hapo,eti SAA imetokana na natural process kama baadhi ya wanasayansi wa miaka 80 s wanavyotoa nadharia?
2.siku una Chumba cha siri ambacho Hamna MTU anaingia au kukifahamu,Siku ya Siku kifaa chako kimeibiwa,unaita polisi wanafanya uchunguzi wao,wanagundua hamna hata unyayo wa MTU mwingine ulikanyaga hapo zaidi ya wew,,then polisi unapelekwa kwenye vipimo kama akili yako imeyumba kidgo ,utafiti waonesha upo kamili,na ww akili yako inashuhudia hujatoa kitu mule ndani,,sasa unaamua kusema kifaa chako kimeibwa na natural processes???
LEO HII wanasayansi wanasema hata mifumo au body system ya bacteria tu ni tata sana,kiasi cha kwamba ni ngumu ..kuamini hakuna designer wa uhai wa uliopo ulimwenguni,,
Mimi naleta Uzi maalumu unaonesha utata katika hili
Zaidi nakushukuru mkuu
