Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,748
- Thread starter
- #141
Pamoja sana chief..Thanks Mkuu kwa hii Makala mulua.
Pamoja sana chief..Thanks Mkuu kwa hii Makala mulua.
Cha Keni Mkuu...kichaga cha wapi hiki

mkuu nitumie na mimi iddymhando@planetbongo.comKuna dude moja pia Encyclopedia of The Mafia, in MB nyingi nimeshindwa kuattach hapa, ni doc nzuri sana kwa hizi details za Mafioso.
Naweza kukutumia kwenye email kama ukihitaji, iko vizuri.
Sawa mkuu! I will look into that..the bold naomba na simulizi la princes Diana.asante
Shukrani sana chief.. SaluteMkuu The bold salute kwako..........kila bandiko lako ni hatari chief.
Shukrani sana mkuu..Thanks the bold...nice work
Bila shaka mkuu.. Nitafanyia kazimkuu pamoja na kifo cha rais wa Rwanda 1994 pamoja na Atlantic slave trade.asante
Naunga mkono hoja,atuandalie kwakweli maana huwa namsikia tu huyu mama.the bold naomba na simulizi la princes Diana.asante
Bila kumsahau...Salvatore MaranzanoUmenikumbusha kina Charles Lucky Luciano, moja ya waanzilishi wa shughuli za kimafia nchini marekani, Gambino, Galante na wengine kina John Gotti, Raph Natale nk.
Vizuri sana kutukumbusha mambo ya mafiso.
Hahahah mwenyewe nina ombi langu kuu kuhusu Fidel Castro alivyoweza kupangua assassinations mission za CIA.Bora kama umesapoti hope ombi litakubaliwa faster hahaha, maana kifo chake kina utata mkubwa

Nitafanya hivyo mama.. HahahahahahNaunga mkono hoja,atuandalie kwakweli maana huwa namsikia tu huyu mama.
Alafu iko jikoni hii ya castroHahahah mwenyewe nina ombi langu kuu kuhusu Fidel Castro alivyoweza kupangua assassinations mission za CIA.
Hili pia linaingia ktk list,atalifanyia kazi mkuu...tusubiri![]()
Awwwwwwwwww that's why I love you much baby baeAlafu iko jikoni hii ya castro
