Naweza kukujibu tu hata hapa..Fee ni sh ngapi boss au kila anaehitaji inabidi aje private au tupe detail vizuri jinsi gani ya kujiunga
Kwa kuongezea tu kule kwenye group morning tunapata kakidokezo/kibwagizo kidogo, we are enjoying. Karibu.Fee ni sh ngapi boss au kila anaehitaji inabidi aje private au tupe detail vizuri jinsi gani ya kujiunga
Tunaonjoi sana,sio kwa vidokezo vile.Kwa kuongezea tu kule kwenye group morning tunapata kakidokezo/kibwagizo kidogo, we are enjoying. Karibu.

shukrani mkuuShukrani sana Mkuu..
Bila shaka! Nitakutag mkuu
Shukrani..shukrani mkuu
Aww! Bulletin ya leo umeielwa kweli walahi.. Hahahaha hii sijui mara ya ngapi nakusikia unaiongelea..Tunaonjoi sana,sio kwa vidokezo vile.
Am dying kuijua ile mikakati ya CIA,yani hata episode ya vipepeo siisubiri kwa hamu kama tomorrow's bulletin.
![]()
![]()
![]()
Je vous remercieBene gratsie
kichaga cha wapi hikiJe vous remercie
Bulletin ya leo umetisha sweetheart,yani natamani hiyo kesho ifike kuliko usiku wa vipepeo.Aww! Bulletin ya leo umeielwa kweli walahi.. Hahahaha hii sijui mara ya ngapi nakusikia unaiongelea..
Imagine na Bongo tungekuwa na zile harakati hahahah

Kichaga cha Bujumbura hiki..kichaga cha wapi hiki
Shukrani mkuu..Saruti mkuu.
Hahahah!! Sunday is goin' be epicBulletin ya leo umetisha sweetheart,yani natamani hiyo kesho ifike kuliko usiku wa vipepeo.
Sitamani kuzidi 'Sunday ' thou![]()
Shukrani mkuu..Umenikumbusha kina Charles Lucky Luciano, moja ya waanzilishi wa shughuli za kimafia nchini marekani, Gambino, Galante na wengine kina John Gotti, Raph Natale nk.
Vizuri sana kutukumbusha mambo ya mafiso.
And am dying for itHahahah!! Sunday is goin' be epic

Haahahah!! Haujanizidi mimi mama..And am dying for it![]()