Cosa nostra

Hahahah mwenyewe nina ombi langu kuu kuhusu Fidel Castro alivyoweza kupangua assassinations mission za CIA.
Hili pia linaingia ktk list,atalifanyia kazi mkuu...tusubiri
sawa mkuu, ila mwambie wewe ya Diana. am sure ya Diana ni nzuri kuliko ya Fidel Castro. Please mkuu tuombeage tuhadithiwe
 
Hahahah mwenyewe nina ombi langu kuu kuhusu Fidel Castro alivyoweza kupangua assassinations mission za CIA.
Hili pia linaingia ktk list,atalifanyia kazi mkuu...tusubiri
sawa mkuu, ila mwambie wewe ya Diana. am sure ya Diana ni nzuri kuliko ya Fidel Castro. Please mkuu tuombeage tuhadithiwe
 
Kuna movie zake(series) zilikuwa zinaonyeshwa H.B.O nazani ni kutokana kwenye kitabu amecho post Raimundo hiki kitabu alikipendekeza paulo wa vingereza vingi last year mwanzoni
 
Kuna movie zake(series) zilikuwa zinaonyeshwa H.B.O nazani ni kutokana kwenye kitabu amecho post Raimundo hiki kitabu alikipendekeza paulo wa vingereza vingi last year mwanzoni

Unasema Godfather 1, 2 na 3; kuna novel zake pia ameandika Mario Puzo, sema hizi zimabase Amerika zaidi.

Ukipita humo ndo unaanza kupata mfumo halisi wa mafia ni nini.

Hizi zilikuwa ni story zilizobase kwenye hayo maisha ya hao jamaa.
 
Duh the bold hatuwezi kukutana weekend moja Tukarefresh huku tukiongea mawili matatu pia hv Naomba uweunitag mzeya pia kwnye whasap uniadd
 
Unasema Godfather 1, 2 na 3; kuna novel zake pia ameandika Mario Puzo, sema hizi zimabase Amerika zaidi.

Ukipita humo ndo unaanza kupata mfumo halisi wa mafia ni nini.

Hizi zilikuwa ni story zilizobase kwenye hayo maisha ya hao jamaa.
Yah,ni Godfather (1,2&3),mkuu mimi ndio nilikutumia kile kitabu,ile ID niliachana nayo
 
Shukrani mkuu..
Hongera the bold hawa binadamu hawafai wana jiamini na mkwara mzito huwa napenda sana khabari zao kingine ni nidhamu ya kazi wakipewa kandarasi ya kuja kukuchomoa nafsi hata uwape dau kubwa kuliko walilopewa wanakuondoa tu kingine majina yao ya utani ni burudani tosha
 
  • Umejaribu kugusa eneo dogo sana la mafia,ukiwa umeegemea eneo moja zaidi la Sicily,hujagusa marekani ambako ndo wana nguvu zaidi.Ila umejitahidi.Huwezi ongelea mafia bila kumtaja Charles "Lucky"Luciano,Giuseppe Maseria "The Boss",Vicent mangano,Joe Adonis,Al "scarface" Alcapone,Frank Costello,Frank Yale,Salvatore Maranzano,Joe Profaci,Salvatore Giuliano,Giuseppe Genco Russo,Albert Anastasia,Gaetano Badalamenti,Joe Colombo,"Crazy" Joe Gallo,Vito Genovese,Joseph Magliocco,Stephano Magadino.Sema umejitahidi kugusa maeneo muhimu ya historia,kwa wanaoanza sio mbaya
Albert anastasia (the excutioner)huyu alileta balaa mpaka watu wakaamua kuweka kikao wamuonde sasa nani wa kumfunga paka kengele? alikuwa akiogopwa sana mpaka alipopatikana jack nazaria (mad dog )ndio alikuja kumuondoa yupo saluni ananyoa pale pale penye kiti akapewa risasi za kutosha inasemekana raymond patriaca boss wa England mob alihusika kupanga mchongo huo. Carmein galante (the cigar )au "lillo" hiki chuma nacho kilikuwa kitata ila biashara ya heroine ndio ilimuingiza matatani na mabosi wengi hawakuipenda kitu hii coz ilikuwa inavuta macho ya serikali siku anauwawa tayari mauti yamemfika walimkuta bado kauma cigar yake.
 
Back
Top Bottom