Cosa nostra

Cosa nostra

Kama umesoma makala toka mwanzo na kuelewa, nilokuwa naongelea kuhusu chimbuko la mafia.. Ilivyoanzishwa, kuenea na kushamiri kwake..

Sijaongelea mafia nchini marekani kwa kuwa hilo halikuwa lengo la makala hii (mafia haikuanzia Marekani)
Mafia ilianza kuingia Marekani sababu kuu ni baada ya kuandamwa na Benito Mussolin nchini Italia ndipo mabosi wengi wakatawanyika kukimbilia nchi mbali mbali ikiwemo marekani (nimeeleza kidogo kwenye makal).

Kwahiyo, halikuwa lengo la makala hii kuongelea Mafia waliotawanyika katika nchi mbali mbali.. Nimelenga kuonyesha chimbuko lao na jinsi ilivyoshamiri..
Kichwa cha habari ni COSA NOSTRA,sikujua unaongelea chimbuko la cosa nostra.Basi badili kichwa cha habari kisomeke CHIMBUKO LA COSA NOSTRA.
 
Kichwa cha habari ni COSA NOSTRA,sikujua unaongelea chimbuko la cosa nostra.Basi badili kichwa cha habari kisomeke CHIMBUKO LA COSA NOSTRA.
Mkuu mbona kuenea na kushamiri dunia mzima imeongelewa napo mbona husemi wawekee tittle zake?
 
Mkuu mbona kuenea na kushamiri dunia mzima imeongelewa napo mbona husemi wawekee tittle zake?
Tatizo watu wanadhani ninadiss au siikubali hii thread. Sema '' Our Thing" ni kitu pana sana. Tuyaache
 
i see the best when i look at the best of the best oF MY BEST EL CHAPO
 
My best Mobb Boss ever is the boss himself,"Lucky" Lucciano,never been caught by the law,died peacefully because of old age..
Mkuu umepata wapi facts zako? Lucky Luciano alikamatwa akashtakiwa na akawa deported kurudi kwao Italy mwaka 1946.
 
Back
Top Bottom