Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,748
- Thread starter
- #101
Mbona nimekutav mkuu, jina lako like pale naliona.. Angalia pale chini chini kwenye jina limeandikwa kwa herefi kubwa ABDUL KAREEM, nyuma take kuna fakalava, alafu nyuma yake kuna iL Buono..Mkuu kama nimekukosea naomba unisahamehe...
Mbona unashusha uzi Mpya umesahau kunitag bro..
I do deeply Apologize bro
Sema notification zinasumbua kufika