Na wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri.Acha kuchanganya dhahania na sayansi,uliza Italia mapadri wangapi wamedied
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania ina tofauti gani na nchi nyingine Africa ambazo zimeweka wananchi wake kwenye lockdown?? Maana watu mmekazania Tz haiwezekani tushukuru Mungu hatuna No za kutisha wakianza kuanguka watu 1000 kwa siku utakaa tu ndani ukishindia uji.Lockdown sio kitu cha kukililia, sio kitu kirahisi cha kusema tu serikali ikurupuke, si o kitu unachodhani unaweza ukaSurvive kwa 7,800 dada yangu, Lockdown kwa Tanzania ni hatari.
Kumbuka: Kinga haitakiwa kuwa mbaya zaidi ya ugonjwa
Sent using Jamii Forums mobile app
You are smart in mind, siyo akina Miss Natafuta muda wote ni kuburuza chura!
Kula kulala wewe, huna majukumu zaidi ya 'kunya" selfish!No mkuu,watoe kodi kwa wanaouza mazao..
Sijui kama hata tuna staticians..na kama wapo je hawako influenced na serikali..(kutokua na bias),
Otherwise tungejua rate ya wanaoumwa sasa hivi na baada ya kuweka kipindi maalumu cha lockdown..may be 8 weeks, then tuna evaluate kama lockdown imesaidia kupunguza maambukizi bila athari nyingine..baada ya hapo ndio tutajua kama tuendeleee na lockdown...ama sivyo
Hebu toa executable survival plan kwa watanzania wote katika kipindi chote cha lockdown.Bàadae mambo yamepamba moto ndio hawa hawa watailaumu serikali kwa kupuuzia lockdown. Kuna alarm nyingi za kutushtua hali sio nzuri watu wanajifanya hawaoni.
Umeshiba makande ndio unaamua kuandika #lockdownismust#.
Kuna nchi Africa wananchi wke wamepinga lockdown,sijuhi nyie mnapata wapi kibuli hicho na hatuwezi weka lockdown lockdown ingeweka kipindi cha kipindupindu inaua watu Dar mania kwa mamia sio hii Corona just 24 victims all over the country with a population more than 60Millions almost negligible.
Katika hizo wiki mbili walizotupa,tayari wiki ya kwanza ishakatika leo jumatatu tumeanza wiki ya piliWHO wametupa wiki mbili kwa hiyo tujiandae,ila hata majirani zetu Kenya unaona mwenyewe,vifo vinaongezeka na maambukizi yanaenda kasi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kula kulala wewe, huna majukumu zaidi ya 'kunya" selfish!
Acha kuiga uzunguni. Lini health care ilikuwa bora bongo? Ndio maana nikasema huu ugonjwa kwa bongo umeingia mlango wakutokea! kila mtuNyie ndio mnafanya watu wa 'relax' na ku underestimate magnitude ya maambukizi ya huu ugonjwa. Lockdown haimaanishi kila mtu atajifungia ndani, watu watatoka ila kama tu kuna umuhimu wa kufanya hivyo, that is kununua mahitaji muhimu kama chakula.Jua kwamba lockdown haizuii vifo,lengo lake ni ku protect MASS/MAJORITY OF PEOPLE kuambukizwa at one time, hasara za watu wengi kuambukizwa at one time ni kwamba ita affect Health care system,Mahospitali yatashindwa kumudu kasi ya wagonjwa, which eventually will cause more deaths. Again,vifo haviepukiki..lakini lockdown inamaanisha RATE ya maambukizi inapungua. Imagine wewe ni familia ya watu nane,wote wakitoka nje na kurudi ndani,kama wana corona unajua hio chain itakuwa imewa affect wangapi??? huoni wakirudi nyumbani WEWE mwenyewe tu uko katika RISK 8 times!..tene sijui na wewe pia sijui umewaambukiza wangapi huko? lol...imagine mtu mmoja tu ndio anatoka kununua chakula...well anaweza apate corona na kuwaambukiza nyie au asipate..ila chances za wewe kupata corona zinapungua...sijui kama umenielewa..LOL
Hiyo adabu ishike wewe. Muoga usie haya!Hunijui,sikujui shika adabu yako mpuuzi wewe
Unadhani hii serikali yetu inaweza gawa chakula kwa nusu mwezi au mwezi mzima??
Watu wanaongea kirahisi sana hadi unashagaa.Unadhani hii serikali yetu inaweza gawa chakula kwa nusu mwezi au mwezi mzima??
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashangazwa kweli. Sisi kuwekwa lockdown hata wiki moja tu uone hiyo kazi yake. Serikali hii haina huo uwezo wa kumudu mahitaji ya wananchi hawa wakapata mlo, kwa kila mmoja wao, hata kama ni mmoja, kwa mwezi mzima aisee. Tusidanganyane kabisa. Na wameshaona hilo ndo maana unaona wana escape hiliWatu wanaongea kirahisi sana hadi unashagaa.
Umena eee, njaa mbaya. Kenya kuna majambazi yalivamia nyumba moja kwa buduki za kijeshi yakaiba sufuria la wali tu. Njaa mbaya sana, hainaga mbadala.Watanzania wengine sijui mnafikiria kwa kutumia nini sijui, Heri Nife na corona kuliko kufa kwa njaa.
Sent using Jamii Forums mobile app