Jerusalem2006
Member
- Apr 19, 2020
- 70
- 236
Mkuu na hiyo fomu umeiona ya kujaza kabla hujachanjwa!?, Kwamba serikali haihusiki na madhara yatayokukuta ukiathiriwa na chanjo!?.. na kuna mtu mwenye akili timamu atachanjwa hizo chanjo za grade ya chini zinazogawiwa bure !??.. halafu hakuna nchi wanayolazimisha chanjo kwa wananchi wake.Chanjo ni kitu universal sasa ivi serekali ina kuhadaa ni hiari ila itafika kipindi utakosa huduma za jamii bila chanjo ndio uta jua haujui. Ni kama mama mjamzito kupima ukimwi sasa ivi ni lazima tena uje na mwenza