#COVID19 Corona ni Mtihani, Jee Ummy Mwalimu Amepasi Mtihani?. Mnaonaje Ampokee Majaaliwa as PM, na Majaliwa Ampokee Magufuli?.

Mayalla toka upewe dongo na mkuu siku ile naona ueleweki na ukumbuke uliambiwa maana ya mayala ni njaa njaaa,sasa naona hapa unataka kutuletea njaa ya ufikiri bro cheza na vyote duniani sio uhai wa mtu.

Sent from my TECNO-J5 using Tapatalk
 
Paskali hizi propoganda zitatuangamiza, hizo data kuwa ugonjwa umepungua wanatoa wapi?
Maabara haifanyi kazi, hawatangazi walokufa, wala waloambukizwa, ni uhayawani huu.
Mitaani wagonjwa kibao, vifo kibao sema watu hawaendi tena hospital maana huko ndiko liliko kaburi.
Wanajitibia wenyewe
Mwenye kufa hayaaaaaa,
Mweny kupona hayaaaaaa.
Wanabodi,
Nilikuwa namsikiliza Waziri Ummy Mwalimu,

Kwanza naunga nikiri, kwa vile hii ni Tanga line, hivyo mwanzo nilidhani kaupata uwaziri kwasababu zile!.

To start with, msikilize rais Magufuli akimzungumzia Waziri Ummy Mwalimu ambapo pia amedokeza sababu za kumtumbua mtu



Lakini baada ya kumsikiliza rais Magufuli akimsifu, na kumsikia mwenyewe akizungumza,

Utakubaliana na mimi, huyu ni mwanamke wa shoka, jee mnaonaje kama atampokea Majaliwa, na Majaliwa ampokee Magufuli?.

Hii ni kufuatia hoja za bandiko hili
Siku ya Wanawake Duniani: Je, Tuna Wanawake Wenye Sifa za Presidential Material?! - JamiiForums

Jee Mhe. Ummy Mwalimu anaweza?.

NB, sijasema lini, nimeuliza tuu mnaonaje?. Huyu atafaa hadi kuja kuwa mwanamke wa kwanza kukalia ile drivers seat?. Atafiti?.

P


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera PM kwa kujitutumua, kila post yako ina links zaidi ya 3, Wasukuma mna laana ya misifa hadi kero, ningezaa na msukuma ningejuta
Wanabodi,
Nilikuwa namsikiliza Waziri Ummy Mwalimu,

Kwanza naunga nikiri, kwa vile hii ni Tanga line, hivyo mwanzo nilidhani kaupata uwaziri kwasababu zile!.

To start with, msikilize rais Magufuli akimzungumzia Waziri Ummy Mwalimu ambapo pia amedokeza sababu za kumtumbua mtu



Lakini baada ya kumsikiliza rais Magufuli akimsifu, na kumsikia mwenyewe akizungumza,

Utakubaliana na mimi, huyu ni mwanamke wa shoka, jee mnaonaje kama atampokea Majaliwa, na Majaliwa ampokee Magufuli?.

Hii ni kufuatia hoja za bandiko hili
Siku ya Wanawake Duniani: Je, Tuna Wanawake Wenye Sifa za Presidential Material?! - JamiiForums

Jee Mhe. Ummy Mwalimu anaweza?.

NB, sijasema lini, nimeuliza tuu mnaonaje?. Huyu atafaa hadi kuja kuwa mwanamke wa kwanza kukalia ile drivers seat?. Atafiti?.

P


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,
Nilikuwa namsikiliza Waziri Ummy Mwalimu,

Kwanza naunga nikiri, kwa vile hii ni Tanga line, hivyo mwanzo nilidhani kaupata uwaziri kwasababu zile!.

To start with, msikilize rais Magufuli akimzungumzia Waziri Ummy Mwalimu ambapo pia amedokeza sababu za kumtumbua mtu



Lakini baada ya kumsikiliza rais Magufuli akimsifu, na kumsikia mwenyewe akizungumza,

Utakubaliana na mimi, huyu ni mwanamke wa shoka, jee mnaonaje kama atampokea Majaliwa, na Majaliwa ampokee Magufuli?.

Hii ni kufuatia hoja za bandiko hili
Siku ya Wanawake Duniani: Je, Tuna Wanawake Wenye Sifa za Presidential Material?! - JamiiForums

Jee Mhe. Ummy Mwalimu anaweza?.

NB, sijasema lini, nimeuliza tuu mnaonaje?. Huyu atafaa hadi kuja kuwa mwanamke wa kwanza kukalia ile drivers seat?. Atafiti?.

P

Mh! Amefanya nini? She was receiving orders from Jiwe! Hakuna innovation yoyote aliyoifnya! Hata Majaliwa hana lolote ambalo hata Kingwendu asingeliweza kufanya!
 
Mayalla toka upewe dongo na mkuu siku ile naona ueleweki na ukumbuke uliambiwa maana ya mayala ni njaa njaaa,sasa naona hapa unataka kutuletea njaa ya ufikiri bro cheza na vyote duniani sio uhai wa mtu.

Sent from my TECNO-J5 using Tapatalk
KM will make a good president.Ana hekima na Utu.Serious as well
 
Wanabodi,
Nilikuwa namsikiliza Waziri Ummy Mwalimu,

Kwanza naunga nikiri, kwa vile hii ni Tanga line, hivyo mwanzo nilidhani kaupata uwaziri kwasababu zile!.

To start with, msikilize rais Magufuli akimzungumzia Waziri Ummy Mwalimu ambapo pia amedokeza sababu za kumtumbua mtu



Lakini baada ya kumsikiliza rais Magufuli akimsifu, na kumsikia mwenyewe akizungumza,

Utakubaliana na mimi, huyu ni mwanamke wa shoka, jee mnaonaje kama atampokea Majaliwa, na Majaliwa ampokee Magufuli?.

Hii ni kufuatia hoja za bandiko hili
Siku ya Wanawake Duniani: Je, Tuna Wanawake Wenye Sifa za Presidential Material?! - JamiiForums

Jee Mhe. Ummy Mwalimu anaweza?.

NB, sijasema lini, nimeuliza tuu mnaonaje?. Huyu atafaa hadi kuja kuwa mwanamke wa kwanza kukalia ile drivers seat?. Atafiti?.

P

Tanga kuna kitu kinaitwa " Mvuto"

Au urithi wa Mandondo!
 
Hiyo kauli ya Magufuli mwishoni kwamba Naibu Waziri wa Afya ana jimbo, halafu jimbo lake likose madawa kwenye hospitali zake haiwezekani, mwisho anasema message sent, sijui Ndugulile hospitali za jimbo lake hazikuwa na madawa?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom