PM Majaliwa ana moyo halisi wa Mwalimu, Hayati Sokoine na Hayati Magufuli

FPT

JF-Expert Member
Mar 23, 2017
1,201
1,839
Leo hatunao tena Hayati Mwalimu Nyerere, Hayati Sokoine na Hayati Magufuli kimwili lakini nawahakikishieni bado wanaishi nasi na sehemu za roho zao zipo kwa mtumishi wao Majaliwa.

Mwaka 2008 aliyekuwa waziri mkuu na kujiuzuru kwa sababu ya Richmond alituambia tatizo ni UWAZIRI MKUU. kwa kipindi kile ilikuwa sio rahisi kumuelewa PM Lowassa kwa sababu tulichagua upande wa kuhukumu.

Kipindi kirefu kimepita lakini bado tunaona UWAZIRI mkuu bado ni tatizo. Ni waziri mkuu ndio anatazamwa kwa kila kosa la waziri huku mawaziri wa wizara husika wakiachwa. Je, ni kweli waziri mkuu anastahili lawama?

Kwa mfano kuzama kwa ndege ya Precision air, waziri mkuu anatajwa yeye pekee as if ni yeye ndio aliitumbukiza ndege ziwani?

Kila jambo tatizo ni waziri mkuu na mbaya zaidi Yale mambo ya lawama pekee lakini Yale ya kupongeza anapongezwa waziri husika, kwanini?

Nakumbuka siku Mama yetu Rais Samia anamwapisha Dkt.Tax, Bashungwa na Kairuki alizungumzia suala la collective responsibility kwamba kwa maamuzi ya pamoja asitokee MTU wa kujitenga nayo, sasa kwa nini PM aonekane ni tatizo pekee?

Nikirudi kwenye kichwa cha mada ,nqmpongeza sana PM Majaliwa tena sana wasiokuelewa hawatakuelewa kamwe lakini nikiri kusema una sehemu ya roho ya Hayati Nyerere, Sokoine na Magufuli. Nayo ni ujasiri, uthubutu na uchapakazi.

Tunatambua vita unavyopigana ni kupambana na wanaotamani UWAZIRI MKUU na ninaamini ni wewe unayeweza kupambana vita hivyo kwa ajili ya tanzania.

Binafsi sioni kosa lolote kwa majaliwa zaidi ya TATIZO LA UWAZIRI MKUU
 
Sijui umeandika nini zaidi ya kichwa cha mada ulipowaweka Hayati Mwalimu Nyerere, Hayati Sokoine na *** kundi moja. Hivi nyie wapuuzi, huu ujasiri mnautoa wapi?

Naandika nafuta...naandika nafuta na mpaka dakika hii nimeshafuta mara tatu. Hivyo nadhani nitakuwa nimeitendea haki nafsi yangu nikinyamazia hapo.
 
Leo hatunao tena Hayati Mwalimu Nyerere, Hayati Sokoine na Hayati Magufuli kimwili lakini nawahakikishieni bado wanaishi nasi na sehemu za roho zao zipo kwa mtumishi wao Majaliwa.

Mwaka 2008 aliyekuwa waziri mkuu na kujiuzuru kwa sababu ya Richmond alituambia tatizo ni UWAZIRI MKUU. kwa kipindi kile ilikuwa sio rahisi kumuelewa PM Lowassa kwa sababu tulichagua upande wa kuhukumu.

Kipindi kirefu kimepita lakini bado tunaona UWAZIRI mkuu bado ni tatizo. Ni waziri mkuu ndio anatazamwa kwa kila kosa la waziri huku mawaziri wa wizara husika wakiachwa. Je, ni kweli waziri mkuu anastahili lawama?

Kwa mfano kuzama kwa ndege ya Precision air, waziri mkuu anatajwa yeye pekee as if ni yeye ndio aliitumbukiza ndege ziwani?

Kila jambo tatizo ni waziri mkuu na mbaya zaidi Yale mambo ya lawama pekee lakini Yale ya kupongeza anapongezwa waziri husika, kwa nini?

Nakumbuka siku Mama yetu Rais Samia anamwapisha Dkt.Tax, Bashungwa na Kairuki alizungumzia suala la collective responsibility kwamba kwa maamuzi ya pamoja asitokee MTU wa kujitenga nayo, sasa kwa nini PM aonekane ni tatizo pekee?

Nikirudi kwenye kichwa cha mada ,nqmpongeza sana PM Majaliwa tena sana wasiokuelewa hawatakuelewa kamwe lakini nikiri kusema una sehemu ya roho ya Hayati Nyerere, Sokoine na Magufuli. Nayo ni ujasiri, uthubutu na uchapakazi.

Tunatambua vita unavyopigana ni kupambana na wanaotamani UWAZIRI MKUU na ninaamini ni wewe unayeweza kupambana vita hivyo kwa ajili ya tanzania.

Binafsi sioni kosa lolote kwa majaliwa zaidi ya TATIZO LA UWAZIRI MKUU
Kuna jamaa mmoja alitudanganya msikitini kwamba Rais anachapa kazi. Hajawahi kuitubia dhambi hiyo
 
tarehe 17/3/2021 tulikvurugwa na taarifa zile tumaini letu lilibaki kwa mzee kassim.

ukweli ni kwamba ndiye kiongozi pekee ambaye wahuni wanatumia hata sec 3 angalau kumfikiria wanapotaka kufanya uhuni wao,ndio.

bahati mbaya huyu mama hakumtumia kama nguzo akamweka kundi la wanoko.
wamtoe tu 2025 agombee urais.
 
Leo hatunao tena Hayati Mwalimu Nyerere, Hayati Sokoine na Hayati Magufuli kimwili lakini nawahakikishieni bado wanaishi nasi na sehemu za roho zao zipo kwa mtumishi wao Majaliwa.

Mwaka 2008 aliyekuwa waziri mkuu na kujiuzuru kwa sababu ya Richmond alituambia tatizo ni UWAZIRI MKUU. kwa kipindi kile ilikuwa sio rahisi kumuelewa PM Lowassa kwa sababu tulichagua upande wa kuhukumu.

Kipindi kirefu kimepita lakini bado tunaona UWAZIRI mkuu bado ni tatizo. Ni waziri mkuu ndio anatazamwa kwa kila kosa la waziri huku mawaziri wa wizara husika wakiachwa. Je, ni kweli waziri mkuu anastahili lawama?

Kwa mfano kuzama kwa ndege ya Precision air, waziri mkuu anatajwa yeye pekee as if ni yeye ndio aliitumbukiza ndege ziwani?

Kila jambo tatizo ni waziri mkuu na mbaya zaidi Yale mambo ya lawama pekee lakini Yale ya kupongeza anapongezwa waziri husika, kwa nini?

Nakumbuka siku Mama yetu Rais Samia anamwapisha Dkt.Tax, Bashungwa na Kairuki alizungumzia suala la collective responsibility kwamba kwa maamuzi ya pamoja asitokee MTU wa kujitenga nayo, sasa kwa nini PM aonekane ni tatizo pekee?

Nikirudi kwenye kichwa cha mada ,nqmpongeza sana PM Majaliwa tena sana wasiokuelewa hawatakuelewa kamwe lakini nikiri kusema una sehemu ya roho ya Hayati Nyerere, Sokoine na Magufuli. Nayo ni ujasiri, uthubutu na uchapakazi.

Tunatambua vita unavyopigana ni kupambana na wanaotamani UWAZIRI MKUU na ninaamini ni wewe unayeweza kupambana vita hivyo kwa ajili ya tanzania.

Binafsi sioni kosa lolote kwa majaliwa zaidi ya TATIZO LA UWAZIRI MKUU

Mmelipwa ili kuja kulipamba hilo jizi la kura. Ngojeeni apigwe chini kama mtapata tena hela za mteremko.
 

Mimi siwezi kumlaumu Waziri mkuu kwa lolote.

Kumlaumu PM hapa Tanzania ni kumuonea tu. Mamlaka aliyonayo PM kikatiba sidhani kama hata anayemteua au aliye juu yake huwa anamuacha ayatendee kazi.

Tukianza kwenye kumteua, Rais anatakiwa amteue PM halafu akae nae washauriane katika kuteua Mawaziri. Sasa tujiulize hili huwa linafanyika?

PM kama kiongozi mkuu wa shughuli za serikali, anapaswa kuwa na uwezo wa kumwambia Rais, waziri huyu hafai, toa, huyu mzembe fukuza, huyu ameshindwa kazi, mkuu huyu wa Idara tumtoe nampendekeza huyu. Tujiulize PM Majaliwa anaweza kumwambia Rais Samia amfukuze Waziri Makamba au Mwigulu au Nape kwakuwa kazi imewashinda?

Sasa katika hali kama hii, tunajikuta tuna Waziri Mkuu ambaye Mawaziri wake hawamuheshimu kwasababu kwanza waliteuliwa bila yeye kushirikishwa na wanaelewana na wana ukaribu na Rais kuliko hata yeye.
 
Tunatambua vita unavyopigana ni kupambana na wanaotamani UWAZIRI MKUU na ninaamini ni wewe unayeweza kupambana vita hivyo kwa ajili ya tanzania.

Binafsi sioni kosa lolote kwa majaliwa zaidi ya TATIZO LA UWAZIRI MKUU
Duh...!, Mkuu FPT , kwanza naunga mkono hoja kuwa tatizo ni kweli linaweza kuwa ni uwazi mkuu, ila kitendo cha ku rate Majaliwa, na Nyerere, Sokoine na Magufuli, kwa sisi tuliokuwepo toka enzi za Nyerere na Sokoine, kiukweli hapa Majaliwa ni ume m appreciate sana hivyo kwa madogo humu ambao hawakuwepo enzi za Nyerere na Sokoine, kumtumia Majaliwa kama shamba darasa la Nyerere, Sokoine na Magufuli ni kwa depreciate!..

Pili kwa vile Uwaziri Mkuu yeye hakuuomba bali alichaguliwa, kama kuna vita yoyote ya Uwaziri Mkuu, then hiyo sio vita ya yeye kuipigana na kuipambana vita hiyo, yeye ni wa kupambaniwa tuu kama vita dhido ya Nape, Makamba na Mwingulu, wanapigwa sana vita, na wao hawahitaji kupambana bali anayewapambania yupo na yupo Imara!, hashindwi kitu!.
Mungu ibariki Tanzania.
P
 
vitu vidogo vidogo ndio mnaviona vya maana. kukisekana kwa huduma na bidhaa muhimu mnaona kawaida. hii nchi kuiongoza ni rahisi mno.
Uongo unaona ni jambo dogo? Kama ulidanganya pasipo kujua basi omba msamaha ili tujue kuwa halikuwa dhumuni lako. Kama tulidanganywa kwa jambo lililo dhahiri vipi katika Shughuli za kila siku za uongozi?

Huyu mwamba ndiye kiongozi wa shughuli za serikali bungeni, lini umemuona akitoa solution kwa matatizo sugu mfano Umeme, Maji na ufisadi uliokithiri?
 
Leo hatunao tena Hayati Mwalimu Nyerere, Hayati Sokoine na Hayati Magufuli kimwili lakini nawahakikishieni bado wanaishi nasi na sehemu za roho zao zipo kwa mtumishi wao Majaliwa.

Mwaka 2008 aliyekuwa waziri mkuu na kujiuzuru kwa sababu ya Richmond alituambia tatizo ni UWAZIRI MKUU. kwa kipindi kile ilikuwa sio rahisi kumuelewa PM Lowassa kwa sababu tulichagua upande wa kuhukumu.

Kipindi kirefu kimepita lakini bado tunaona UWAZIRI mkuu bado ni tatizo. Ni waziri mkuu ndio anatazamwa kwa kila kosa la waziri huku mawaziri wa wizara husika wakiachwa. Je, ni kweli waziri mkuu anastahili lawama?

Kwa mfano kuzama kwa ndege ya Precision air, waziri mkuu anatajwa yeye pekee as if ni yeye ndio aliitumbukiza ndege ziwani?

Kila jambo tatizo ni waziri mkuu na mbaya zaidi Yale mambo ya lawama pekee lakini Yale ya kupongeza anapongezwa waziri husika, kwa nini?

Nakumbuka siku Mama yetu Rais Samia anamwapisha Dkt.Tax, Bashungwa na Kairuki alizungumzia suala la collective responsibility kwamba kwa maamuzi ya pamoja asitokee MTU wa kujitenga nayo, sasa kwa nini PM aonekane ni tatizo pekee?

Nikirudi kwenye kichwa cha mada ,nqmpongeza sana PM Majaliwa tena sana wasiokuelewa hawatakuelewa kamwe lakini nikiri kusema una sehemu ya roho ya Hayati Nyerere, Sokoine na Magufuli. Nayo ni ujasiri, uthubutu na uchapakazi.

Tunatambua vita unavyopigana ni kupambana na wanaotamani UWAZIRI MKUU na ninaamini ni wewe unayeweza kupambana vita hivyo kwa ajili ya tanzania.

Binafsi sioni kosa lolote kwa majaliwa zaidi ya TATIZO LA UWAZIRI MKUU
Unapoteza muda wako kupaka mafuta kwa mgongo wa chupa
 
Sijui umeandika nini zaidi ya kichwa cha mada ulipowaweka Hayati Mwalimu Nyerere, Hayati Sokoine na *** kundi moja. Hivi nyie wapuuzi, huu ujasiri mnautoa wapi?

Naandika nafuta...naandika nafuta na mpaka dakika hii nimeshafuta mara tatu. Hivyo nadhani nitakuwa nimeitendea haki nafsi yangu nikinyamazia hapo.
Hakuna cha maana ulichoandika, ni utumbo tu, afadhali ulipofuta usingeandika tena.
 

Mimi siwezi kumlaumu Waziri mkuu kwa lolote.

Kumlaumu PM hapa Tanzania ni kumuonea tu. Mamlaka aliyonayo PM kikatiba sidhani kama hata anayemteua au aliye juu yake huwa anamuacha ayatendee kazi.

Tukianza kwenye kumteua, Rais anatakiwa amteue PM halafu akae nae washauriane katika kuteua Mawaziri. Sasa tujiulize hili huwa linafanyika?

PM kama kiongozi mkuu wa shughuli za serikali, anapaswa kuwa na uwezo wa kumwambia Rais, waziri huyu hafai, toa, huyu mzembe fukuza, huyu ameshindwa kazi, mkuu huyu wa Idara tumtoe nampendekeza huyu. Tujiulize PM Majaliwa anaweza kumwambia Rais Samia amfukuze Waziri Makamba au Mwigulu au Nape kwakuwa kazi imewashinda?

Sasa katika hali kama hii, tunajikuta tuna Waziri Mkuu ambaye Mawaziri wake hawamuheshimu kwasababu kwanza waliteuliwa bila yeye kushirikishwa na wanaelewana na wana ukaribu na Rais kuliko hata yeye.
Kasome uzi wa Tito Magoti
 
Acha kumfananisha Nyerere na Sokoine na vitu vya kijinga

PM Majaliwa anadanganya umma wazi wazi tena bila aibu na mbaya zaidi akiwa kwenye nyumba ya ibada ,Pm Majaliwa hana uwezo wowote zaidi ya kuunda tume za hovyo na kutoa majibu na maamuzi ya kimuhemko
 
Duh...!, Mkuu FPT , kwanza naunga mkono hoja kuwa tatizo ni kweli linaweza kuwa ni uwazi mkuu, ila kitendo cha ku rate Majaliwa, na Nyerere, Sokoine na Magufuli, kwa sisi tuliokuwepo toka enzi za Nyerere na Sokoine, kiukweli hapa Majaliwa ni ume m appreciate sana hivyo kwa madogo humu ambao hawakuwepo enzi za Nyerere na Sokoine, kumtumia Majaliwa kama shamba darasa la Nyerere, Sokoine na Magufuli ni kwa depreciate!..

Pili kwa vile Uwaziri Mkuu yeye hakuuomba bali alichaguliwa, kama kuna vita yoyote ya Uwaziri Mkuu, then hiyo sio vita ya yeye kuipigana na kuipambana vita hiyo, yeye ni wa kupambaniwa tuu kama vita dhido ya Nape, Makamba na Mwingulu, wanapigwa sana vita, na wao hawahitaji kupambana bali anayewapambania yupo na yupo Imara!, hashindwi kitu!.
Mungu ibariki Tanzania.
P
Kwamba anayewapambania Mwigu, marope na pena, Yuko imara na hashindwi kitu!!!!

Mbona pia hiyo ni APPRECIATION ya kiwango Cha juu sana?

Ni Mungu pekee ndo Hashindwi kitu!!!

Tusubiri.
 
Duh...!, Mkuu FPT , kwanza naunga mkono hoja kuwa tatizo ni kweli linaweza kuwa ni uwazi mkuu, ila kitendo cha ku rate Majaliwa, na Nyerere, Sokoine na Magufuli, kwa sisi tuliokuwepo toka enzi za Nyerere na Sokoine, kiukweli hapa Majaliwa ni ume m appreciate sana hivyo kwa madogo humu ambao hawakuwepo enzi za Nyerere na Sokoine, kumtumia Majaliwa kama shamba darasa la Nyerere, Sokoine na Magufuli ni kwa depreciate!..

Pili kwa vile Uwaziri Mkuu yeye hakuuomba bali alichaguliwa, kama kuna vita yoyote ya Uwaziri Mkuu, then hiyo sio vita ya yeye kuipigana na kuipambana vita hiyo, yeye ni wa kupambaniwa tuu kama vita dhido ya Nape, Makamba na Mwingulu, wanapigwa sana vita, na wao hawahitaji kupambana bali anayewapambania yupo na yupo Imara!, hashindwi kitu!.
Mungu ibariki Tanzania.
P
Hashindwi kitu?
 

Mimi siwezi kumlaumu Waziri mkuu kwa lolote.

Kumlaumu PM hapa Tanzania ni kumuonea tu. Mamlaka aliyonayo PM kikatiba sidhani kama hata anayemteua au aliye juu yake huwa anamuacha ayatendee kazi.

Tukianza kwenye kumteua, Rais anatakiwa amteue PM halafu akae nae washauriane katika kuteua Mawaziri. Sasa tujiulize hili huwa linafanyika?

PM kama kiongozi mkuu wa shughuli za serikali, anapaswa kuwa na uwezo wa kumwambia Rais, waziri huyu hafai, toa, huyu mzembe fukuza, huyu ameshindwa kazi, mkuu huyu wa Idara tumtoe nampendekeza huyu. Tujiulize PM Majaliwa anaweza kumwambia Rais Samia amfukuze Waziri Makamba au Mwigulu au Nape kwakuwa kazi imewashinda?

Sasa katika hali kama hii, tunajikuta tuna Waziri Mkuu ambaye Mawaziri wake hawamuheshimu kwasababu kwanza waliteuliwa bila yeye kushirikishwa na wanaelewana na wana ukaribu na Rais kuliko hata yeye.
Kweli !!
 
Back
Top Bottom