Gwallo
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 3,200
- 3,761
Nani anasema kweli kwa mujibu wa katiba hapo chamani!
Mkuu Yohana kuna siku unaamka na akili zako zote ila pia kuna siku unaziachaga kitandani....
Nani anasema kweli kwa mujibu wa katiba hapo chamani!
Hahahaaaa....... akili ni nywele bwashee !Mkuu Yohana kuna siku unaamka na akili zako zote ila pia kuna siku unaziachaga kitandani....
Wanabodi,
Nmemsikiliza Waziri Ummy Mwalimu akizungumzia changamoto za uwaziri wake kwenye Janga la Corona.
Kwanza naomba kukiri, kwa vile Waziri huyu ni mwanamke, na jinsi alivyo, muonekano wake wa sura, shape, macho yale, kaumbo portable fulani, ukijumlisha ni Tanga line, hivyo mwanzo nilidhani kaupata uwaziri kwasababu zile!.
Lakini kupitia janga hili la Corona, kuna mambo ya chini kwa chini, mambo ya ndani kwa ndani yametokea ambayo yametokea na hayajatajwa mpaka sasa ila tumetangaziwa tuu matokeo,
Matokeo haya ni indications ya kulikuwa na mambo ya chini kwa chini, ndani kwa ndani ambayo sisi huku kwenye public hatuyajui bali tumeona tuu matokeo ya watu kupanguliwa!, hawa wanaopanguliwa ni madakitari na wataalamu wabobezi!, ila matokeo haya yanamfanya, kwenye janga hili la Corona, Ummy Mwalimu ambaye sio MD, amezungukwa na ma MDs 5, ambao wote wameng'olewa, kumemfanya huyu Ummy Mwalimu to stand as the odd man out!. Huu ni uthibitisho Ummy Mwalimu is very Special!. Swali la kujiuliza ni what is so special about her?. Ni uwezo wa kiutendaji kwenye ability au ni ule uwezo wa kutoka Tanga?. Andamana nami....
- KM ambaye ni MD ameng'olewa, na kuhamishwa!, unajua why?!
- Chief Medical Officer ni MD, ameng'olewa!, unajua why?!.
- Mkurugenzi Mkuu wa Central Medical Laboratory ambaye ni MD, ameng'olewa!, unajua why?!.
- Mkurugenzi Mkuu wa MSD ambaye ni MD, ameng'olewa!, ameletwa mjeshi!, unajua why?.
- Naibu Waziri ambaye ni MD, ameng'olewa!, unajua why?.
To start with, msikilize rais Magufuli akimzungumzia Waziri Ummy Mwalimu ambapo pia amedokeza sababu za kumtumbua mtu
Na baada ya kumsikia rais Magufuli akimsifu, Ummy Mwalimu, sasa msikilize Mhe. Ummy Mwalimu mwenyewe akizungumza,
Naamini baada ya kusikiliza, utakubaliana na mimi, huyu ni mwanamke wa shoka kweli kweli.
Sasa katika ulingo wa siasa za Tanzania, kwa muda mrefu tumekuwa tuki undermines "strength of a woman" kwenye politics kuwa Tanzania, ukimuondoa Makamo wa rais, Mama Samia Suluhu Hassan, hatuna mwanamke presidential material kama nilivyo uliza hapa..
Siku ya Wanawake Duniani: Je, Tuna Wanawake Wenye Sifa za Presidential Material?! - JamiiForums
Jee sasa kupitia mtihani huu wa Corona, jee Mhe. Ummy Mwalimu, amepasi mtihani? Jee anaweza?, ni uwezo wa hata kuwa presidential material?, au haya ni mambo ya Tanga?!. Hivi kweli inawezekana vipi madaktari Bingwa hao wote watano waliomzunguka, wameng'olewa, na yeye ambaye wala sio daktari ndio kaibuka shujaa wa Corona?!. Ni utendaji uliotukuka, professionalism, or pia kuna Tangaism?!.
Jee mnaonaje, should we put her to a test kwanza kwa kumjaribu ampokee Majaliwa kwenye u PM, na Majaliwa ampokee Magufuli?, akiweza, then apande kule juu kileleni?.
NB, sijasema lini, nimeuliza tuu mnaonaje?. Huyu atafaa hadi kuja kuwa mwanamke wa kwanza kukalia ile drivers seat?, anaweza?, atafiti?, au haya ya Corona ni mazingaumbwe tuu ya Tanga?.
Ombi: Katika kujadili hili, please tusilete stereotypes kwenye issue hii!.
Paskali
Wanabodi,
Nmemsikiliza Waziri Ummy Mwalimu akizungumzia changamoto za uwaziri wake kwenye Janga la Corona.
Kwanza naomba kukiri, kwa vile Waziri huyu ni mwanamke, na jinsi alivyo, muonekano wake wa sura, shape, macho yale, kaumbo portable fulani, ukijumlisha ni Tanga line, hivyo mwanzo nilidhani kaupata uwaziri kwasababu zile!.
Lakini kupitia janga hili la Corona, kuna mambo ya chini kwa chini, mambo ya ndani kwa ndani yametokea ambayo yametokea na hayajatajwa mpaka sasa ila tumetangaziwa tuu matokeo,
Matokeo haya ni indications ya kulikuwa na mambo ya chini kwa chini, ndani kwa ndani ambayo sisi huku kwenye public hatuyajui bali tumeona tuu matokeo ya watu kupanguliwa!, hawa wanaopanguliwa ni madakitari na wataalamu wabobezi!, ila matokeo haya yanamfanya, kwenye janga hili la Corona, Ummy Mwalimu ambaye sio MD, amezungukwa na ma MDs 5, ambao wote wameng'olewa, kumemfanya huyu Ummy Mwalimu to stand as the odd man out!. Huu ni uthibitisho Ummy Mwalimu is very Special!. Swali la kujiuliza ni what is so special about her?. Ni uwezo wa kiutendaji kwenye ability au ni ule uwezo wa kutoka Tanga?. Andamana nami....
- KM ambaye ni MD ameng'olewa, na kuhamishwa!, unajua why?!
- Chief Medical Officer ni MD, ameng'olewa!, unajua why?!.
- Mkurugenzi Mkuu wa Central Medical Laboratory ambaye ni MD, ameng'olewa!, unajua why?!.
- Mkurugenzi Mkuu wa MSD ambaye ni MD, ameng'olewa!, ameletwa mjeshi!, unajua why?.
- Naibu Waziri ambaye ni MD, ameng'olewa!, unajua why?.
To start with, msikilize rais Magufuli akimzungumzia Waziri Ummy Mwalimu ambapo pia amedokeza sababu za kumtumbua mtu
Na baada ya kumsikia rais Magufuli akimsifu, Ummy Mwalimu, sasa msikilize Mhe. Ummy Mwalimu mwenyewe akizungumza,
Naamini baada ya kusikiliza, utakubaliana na mimi, huyu ni mwanamke wa shoka kweli kweli.
Sasa katika ulingo wa siasa za Tanzania, kwa muda mrefu tumekuwa tuki undermines "strength of a woman" kwenye politics kuwa Tanzania, ukimuondoa Makamo wa rais, Mama Samia Suluhu Hassan, hatuna mwanamke presidential material kama nilivyo uliza hapa..
Siku ya Wanawake Duniani: Je, Tuna Wanawake Wenye Sifa za Presidential Material?! - JamiiForums
Jee sasa kupitia mtihani huu wa Corona, jee Mhe. Ummy Mwalimu, amepasi mtihani? Jee anaweza?, ni uwezo wa hata kuwa presidential material?, au haya ni mambo ya Tanga?!. Hivi kweli inawezekana vipi madaktari Bingwa hao wote watano waliomzunguka, wameng'olewa, na yeye ambaye wala sio daktari ndio kaibuka shujaa wa Corona?!. Ni utendaji uliotukuka, professionalism, or pia kuna Tangaism?!.
Jee mnaonaje, should we put her to a test kwanza kwa kumjaribu ampokee Majaliwa kwenye u PM, na Majaliwa ampokee Magufuli?, akiweza, then apande kule juu kileleni?.
NB, sijasema lini, nimeuliza tuu mnaonaje?. Huyu atafaa hadi kuja kuwa mwanamke wa kwanza kukalia ile drivers seat?, anaweza?, atafiti?, au haya ya Corona ni mazingaumbwe tuu ya Tanga?.
Ombi: Katika kujadili hili, please tusilete stereotypes kwenye issue hii!.
Paskali
Acha uongo wewe kujifukiza ndiyo ilikuwa tiba yetu kule kijijini enzi za mwalimu, Ndugulile kazaliwa ocean load atajulia wapi nyungu. Kwa taarifa yako kuanzia 1974 mpaka 1984 Tanzania hapakuwa mahali salam kuishi lakini watanzania wa wakati ule walienda na nyimbo za Mwalimu Nyerere, tulikubali umaskini ni wetu na nchi ni yetu na rais ni wetu.Tulipambana na majanga makubwa mawili;Waziri hajafanya lolote lile, Wameachia watu wafe bila sababu. Magufuli ni denier wa ugonjwa na Ummy anaendelea kufuata maagizo yake. Naibu waziri amefukuzwa baada ya kuongea ukweli kuwa "KUJIFUKIZA HAKUSAIDI BALI NI HATARI KWA AFYA" wakati Magufuli anaaminisha watu kuwa kujifukiza ndiyo TIBA kitu ambacho siyo kweli. Ummy hana msimamo ameachia wagonjwa wafe hivyo hafai kabisa kwa nafasi yoyote hata ya UDIWANI
Wanabodi,
Nmemsikiliza Waziri Ummy Mwalimu akizungumzia changamoto za uwaziri wake kwenye Janga la Corona.
Kwanza naomba kukiri, kwa vile Waziri huyu ni mwanamke, na jinsi alivyo, muonekano wake wa sura, shape, macho yale, kaumbo portable fulani, ukijumlisha ni Tanga line, hivyo mwanzo nilidhani kaupata uwaziri kwasababu zile!.
Lakini kupitia janga hili la Corona, kuna mambo ya chini kwa chini, mambo ya ndani kwa ndani yametokea ambayo yametokea na hayajatajwa mpaka sasa ila tumetangaziwa tuu matokeo,
Matokeo haya ni indications ya kulikuwa na mambo ya chini kwa chini, ndani kwa ndani ambayo sisi huku kwenye public hatuyajui bali tumeona tuu matokeo ya watu kupanguliwa!, hawa wanaopanguliwa ni madakitari na wataalamu wabobezi!, ila matokeo haya yanamfanya, kwenye janga hili la Corona, Ummy Mwalimu ambaye sio MD, amezungukwa na ma MDs 5, ambao wote wameng'olewa, kumemfanya huyu Ummy Mwalimu to stand as the odd man out!. Huu ni uthibitisho Ummy Mwalimu is very Special!. Swali la kujiuliza ni what is so special about her?. Ni uwezo wa kiutendaji kwenye ability au ni ule uwezo wa kutoka Tanga?. Andamana nami....
- KM ambaye ni MD ameng'olewa, na kuhamishwa!, unajua why?!
- Chief Medical Officer ni MD, ameng'olewa!, unajua why?!.
- Mkurugenzi Mkuu wa Central Medical Laboratory ambaye ni MD, ameng'olewa!, unajua why?!.
- Mkurugenzi Mkuu wa MSD ambaye ni MD, ameng'olewa!, ameletwa mjeshi!, unajua why?.
- Naibu Waziri ambaye ni MD, ameng'olewa!, unajua why?.
To start with, msikilize rais Magufuli akimzungumzia Waziri Ummy Mwalimu ambapo pia amedokeza sababu za kumtumbua mtu
Na baada ya kumsikia rais Magufuli akimsifu, Ummy Mwalimu, sasa msikilize Mhe. Ummy Mwalimu mwenyewe akizungumza,
Naamini baada ya kusikiliza, utakubaliana na mimi, huyu ni mwanamke wa shoka kweli kweli.
Sasa katika ulingo wa siasa za Tanzania, kwa muda mrefu tumekuwa tuki undermines "strength of a woman" kwenye politics kuwa Tanzania, ukimuondoa Makamo wa rais, Mama Samia Suluhu Hassan, hatuna mwanamke presidential material kama nilivyo uliza hapa..
Siku ya Wanawake Duniani: Je, Tuna Wanawake Wenye Sifa za Presidential Material?! - JamiiForums
Jee sasa kupitia mtihani huu wa Corona, jee Mhe. Ummy Mwalimu, amepasi mtihani? Jee anaweza?, ni uwezo wa hata kuwa presidential material?, au haya ni mambo ya Tanga?!. Hivi kweli inawezekana vipi madaktari Bingwa hao wote watano waliomzunguka, wameng'olewa, na yeye ambaye wala sio daktari ndio kaibuka shujaa wa Corona?!. Ni utendaji uliotukuka, professionalism, or pia kuna Tangaism?!.
Jee mnaonaje, should we put her to a test kwanza kwa kumjaribu ampokee Majaliwa kwenye u PM, na Majaliwa ampokee Magufuli?, akiweza, then apande kule juu kileleni?.
NB, sijasema lini, nimeuliza tuu mnaonaje?. Huyu atafaa hadi kuja kuwa mwanamke wa kwanza kukalia ile drivers seat?, anaweza?, atafiti?, au haya ya Corona ni mazingaumbwe tuu ya Tanga?.
Ombi: Katika kujadili hili, please tusilete stereotypes kwenye issue hii!.
Paskali
Hahahaaaa....... akili ni nywele bwashee !
Hahahaaaa........!Nmekuelewa ukinyoa kipara tu tatzo unakuwa kama ndugu yako kipara kpya bwashee
Sent using Jamii Forums mobile app
"Hivi kweli inawezekana vipi madaktari Bingwa hao wote watano waliomzunguka, wameng'olewa, na yeye ambaye wala sio daktari ndio kaibuka shujaa wa Corona?!. Ni utendaji uliotukuka, professionalism, or pia kuna Tangaism?!".Wanabodi,
Nmemsikiliza Waziri Ummy Mwalimu akizungumzia changamoto za uwaziri wake kwenye Janga la Corona.
Kwanza naomba kukiri, kwa vile Waziri huyu ni mwanamke, na jinsi alivyo, muonekano wake wa sura, shape, macho yale, kaumbo portable fulani, ukijumlisha ni Tanga line, hivyo mwanzo nilidhani kaupata uwaziri kwasababu zile!.
Lakini kupitia janga hili la Corona, kuna mambo ya chini kwa chini, mambo ya ndani kwa ndani yametokea ambayo yametokea na hayajatajwa mpaka sasa ila tumetangaziwa tuu matokeo,
Matokeo haya ni indications ya kulikuwa na mambo ya chini kwa chini, ndani kwa ndani ambayo sisi huku kwenye public hatuyajui bali tumeona tuu matokeo ya watu kupanguliwa!, hawa wanaopanguliwa ni madakitari na wataalamu wabobezi!, ila matokeo haya yanamfanya, kwenye janga hili la Corona, Ummy Mwalimu ambaye sio MD, amezungukwa na ma MDs 5, ambao wote wameng'olewa, kumemfanya huyu Ummy Mwalimu to stand as the odd man out!. Huu ni uthibitisho Ummy Mwalimu is very Special!. Swali la kujiuliza ni what is so special about her?. Ni uwezo wa kiutendaji kwenye ability au ni ule uwezo wa kutoka Tanga?. Andamana nami....
- KM ambaye ni MD ameng'olewa, na kuhamishwa!, unajua why?!
- Chief Medical Officer ni MD, ameng'olewa!, unajua why?!.
- Mkurugenzi Mkuu wa Central Medical Laboratory ambaye ni MD, ameng'olewa!, unajua why?!.
- Mkurugenzi Mkuu wa MSD ambaye ni MD, ameng'olewa!, ameletwa mjeshi!, unajua why?.
- Naibu Waziri ambaye ni MD, ameng'olewa!, unajua why?.
To start with, msikilize rais Magufuli akimzungumzia Waziri Ummy Mwalimu ambapo pia amedokeza sababu za kumtumbua mtu
Na baada ya kumsikia rais Magufuli akimsifu, Ummy Mwalimu, sasa msikilize Mhe. Ummy Mwalimu mwenyewe akizungumza,
Naamini baada ya kusikiliza, utakubaliana na mimi, huyu ni mwanamke wa shoka kweli kweli.
Sasa katika ulingo wa siasa za Tanzania, kwa muda mrefu tumekuwa tuki undermines "strength of a woman" kwenye politics kuwa Tanzania, ukimuondoa Makamo wa rais, Mama Samia Suluhu Hassan, hatuna mwanamke presidential material kama nilivyo uliza hapa..
Siku ya Wanawake Duniani: Je, Tuna Wanawake Wenye Sifa za Presidential Material?! - JamiiForums
Jee sasa kupitia mtihani huu wa Corona, jee Mhe. Ummy Mwalimu, amepasi mtihani? Jee anaweza?, ni uwezo wa hata kuwa presidential material?, au haya ni mambo ya Tanga?!. Hivi kweli inawezekana vipi madaktari Bingwa hao wote watano waliomzunguka, wameng'olewa, na yeye ambaye wala sio daktari ndio kaibuka shujaa wa Corona?!. Ni utendaji uliotukuka, professionalism, or pia kuna Tangaism?!.
Jee mnaonaje, should we put her to a test kwanza kwa kumjaribu ampokee Majaliwa kwenye u PM, na Majaliwa ampokee Magufuli?, akiweza, then apande kule juu kileleni?.
NB, sijasema lini, nimeuliza tuu mnaonaje?. Huyu atafaa hadi kuja kuwa mwanamke wa kwanza kukalia ile drivers seat?, anaweza?, atafiti?, au haya ya Corona ni mazingaumbwe tuu ya Tanga?.
Ombi: Katika kujadili hili, please tusilete stereotypes kwenye issue hii!.
Paskali
Hamna hata mmoja nakuhakikishia.Nani anasema kweli kwa mujibu wa katiba hapo chamani!
of recent this fellow is on dropping graph, with him we lostPascal this is not your level of thinking critically, i never expected this from you.
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti 1=1=1 which is the biggest the 1st, 2nd or 3rd? Such a question!!! Others may say a Fool, others may say a wise!!!Pascal this is not your level of thinking critically, i never expected this from you.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkeo amepona nini Mkuu??
Umejuaje kuwa amepona??
Kuungana kusifu sawa lakini fahamu kuwa kuna haja ya kuimarisha huduma za afya zaidi ya kutegemea nyungu na miujiza...!!
Kwa nini tunafungua vyuo ili vijana wakasome kama tunapinga taaluma zao...??
Hili gonjwa litusaidie kubadilika na kueshimu taaluma za watu!!!
Scientific problems call for scientific solutions..!!
Mkuu jaribu kuelewa mada za Pascal Mayalla . Zinakuwa zinachokoza ili kufungua watu akili. Kwa kifupi ni kuwa Magufuli hakutaka approach ya kitaalam kwenye hili swala. Infact mambo yake mengi huwa anapenda kuyafanya ki-ukichaa kichaa jinsi kichwa chake kinavyodhani ni sawa. Sasa akikutaka na watu wataalam haiwezi kuiviana nao. Anapenda wale wenye ubongo mgando wa kuitikia ''hewala bwana'' na kutekeleza. Hushangai ni kwanini teuzi zake zote zinalenga kwa watu wenye ubongo usiofikiri? Prof Asad alikuwa kichwa sana sana lakini akaondolewa. Makonda ni kilaza wa kutupwa lakini anasifiwa. Basi hivyo hivyo kwenye hili kwenye thread limebeba kaliba ya Magufuli.Kama nchi tumepatwa na tumepatikana...!!
Daah kazi wachape watoa huduma za afya...
Sifa kemkem apewe mchonga maneno Ummy...!!!
Alafu PASKALI; najua kabisa yule mtoa sifa hapangiwagi...
Lakini hivi kweli hakuona mchango wa ile kamati ya kitaifa chini ya waziri mkuu...??
Nisije tafsiriwa vibaya.... Hivi PASKALI ni kuwa wagonjwa wamepungua au watu wamekacha kwenda hospitali?
Na je, kupungua kwa wagonjwa bila kujua hali halisi ya maambukizi huku madongokwinama ni conclusion muafaka kuwa Covid-19 nayo imepungua...??
Hivi PASKALI mbona mnapenda sana petty politics hadi kwenye uhai wa wananchi...??
Scientific problems call for scientific solutions...!!
Mkuu kosa langu liko wapi sasa?Mkuu jaribu kuelewa mada za Pascal Mayalla . Zinakuwa zinachokoza ili kufungua watu akili. Kwa kifupi ni kuwa Magufuli hakutaka approach ya kitaalam kwenye hili swala. Infact mambo yake mengi huwa anapenda kuyafanya ki-ukichaa kichaa jinsi kichwa chake kinavyodhani ni sawa. Sasa akikutaka na watu wataalam haiwezi kuiviana nao. Anapenda wale wenye ubongo mgando wa kuitikia ''hewala bwana'' na kutekeleza. Hushangai ni kwanini teuzi zake zote zinalenga kwa watu wenye ubongo usiofikiri? Prof Asad alikuwa kichwa sana sana lakini akaondolewa. Makonda ni kilaza wa kutupwa lakini anasifiwa. Basi hivyo hivyo kwenye hili kwenye thread limebeba kaliba ya Magufuli.