Corona... Corona... Corona kumbe wala....

Corona... Corona... Corona kumbe wala....

Mpaka sasa wameshazikwa wangapi?
Chukua tahadhari acha kutisha watu wewe sio jiwe

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtaani kwetu wawili,mmoja mtu wangu wa karibu sana.rafiki wa mshikaji wangu nae katutoka jumatano.By the way unanitakaje nichukue tahadhari kihivyo wakati ugonjwa huu hauui? Ni sawa na mafua tu ya kawaida?Are you out of sense?
 
Mtaani kwetu wawili,mmoja mtu wangu wa karibu sana.rafiki wa mshikaji wangu nae katutoka jumatano.By the way unanitakaje nichukue tahadhari kihivyo wakati ugonjwa huu hauui? Ni sawa na mafua tu ya kawaida?Are you out of sense?
Wewe ni mwehu?
Unasema umezka wawili mitaani kwenu kwa ugonjwa huu kisha unasema hauui!

Subiri ujizike

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taja jina la dereva mmoja tu aliyekufa na CORONA na kampuni aliyokuwa akifanyia twende ofisi ya viongozi wa umoja wa madereva wa malori yanayoenda nje ya nchi tukahakiki taja dereva mmoja tu na kampuni anayofanyia na gari namba alilokuwa akiendesha na route aliyokuwa akienda

twende kurasini tu ka confirm


halafu wewe una tabia ya uongo na uzushi sana wewe na kujifanya ohh mimi mdau sekta ya usafiri wakati liongo likubwa tapeli tu la mjini
Halafu we fala mbona unapenda kutajiwa majina ..... nakuombea hiii dhahama ikuputie ili ujue uchungu wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sababu ujaugua au ujafiwa au ujauguza sababu ujaenda hospital mda mrefu.
Kama shule zimefungwa, Kama nahodha kakimbia,ndege haziji hapo unataka upate jibu gani
Jibu: Great Panic (not Pandemic) watu tumefiwa, tutafiwa na ipo siku tutakufa pia. Endelea kujifariji na rumors.
 
Taja jina la dereva mmoja tu aliyekufa na CORONA na kampuni aliyokuwa akifanyia twende ofisi ya viongozi wa umoja wa madereva wa malori yanayoenda nje ya nchi tukahakiki taja dereva mmoja tu na kampuni anayofanyia na gari namba alilokuwa akiendesha na route aliyokuwa akienda

twende kurasini tu ka confirm


halafu wewe una tabia ya uongo na uzushi sana wewe na kujifanya ohh mimi mdau sekta ya usafiri wakati liongo likubwa tapeli tu la mjini
Kumbe matapeli mnajuana?
 
Waziri wa Afya wa Brazil amejiuzulu na anakuwa pili kufanya hivyo

Ila hawa wa huku uswahilini mpaka wanazehekea ofisini na kama wangekuwa na uwezo wangewarithisha watoto wao Hahaaa
 



Watanzania wanaotuhumiwa wana Corona​


Majirani zetu huwa wanatunyanyasia mno raia wetu. Wakt raia wao wakija hapa tz, wanaishi kwa raha bila usumbufu..! Tumekuwa mno wapole kiasi wanatupanda kichwani.

Ni muda sasaa serikali nayo ijibu huu undava ili kujibu huu ujinga, na kufanya iwe fundisho raia wetu wasinyanyaswe hovyo
 
Taja jina la dereva mmoja tu aliyekufa na CORONA na kampuni aliyokuwa akifanyia twende ofisi ya viongozi wa umoja wa madereva wa malori yanayoenda nje ya nchi tukahakiki taja dereva mmoja tu na kampuni anayofanyia na gari namba alilokuwa akiendesha na route aliyokuwa akienda

twende kurasini tu ka confirm


halafu wewe una tabia ya uongo na uzushi sana wewe na kujifanya ohh mimi mdau sekta ya usafiri wakati liongo likubwa tapeli tu la mjini
Wazushi Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom