Corona... Corona... Corona kumbe wala....

Corona... Corona... Corona kumbe wala....

Ruhusuni mikutano ya hadhara ya siasa tunachotaka ni hicho tu.
Ile mikutano wakina matiku, mbowe, heche ma wengineo wanafanya na mnaleta picha. Na video humu ni ya siri sio hadhara?
Huu upupu mnaongea mitandaoni ni Uhuru wa kuropoka sio kuongea?
Wehu tu watawaelewa nyie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimehamia Chadema kutoka ccm sasa na hii mikakati ya kuhonga halafu mnagawa vyeo huku wanaccm asilia mbawaacha solemba ni msumari wa mwisho kwenye jeneza la safari ya kuzimu
Ulihongwa au ulihamia kwa matakwa yako?
Kama demokrasia ni Uhuru wa kuchagua chama, inakuwaje akihamia ccm amehongwa na akihamia chadema demokrasia?
Nyie endeleeni kuwakamata akili wehu wenzenu wanaoshindwa kujitambua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii kitu ipo chukua tahadhari, hakuna dawa kumbuka kifo cha Corona uachi urithi

Sent using Jamii Forums mobile app
Urithi unaacha, sema huachi wosia... hata wosia, wasioacha ni wale wanaoamini kuandika wosia mapema ni uchuro...

Ila wengine hawaandiki wosia kwa vile kunakuwaga na KENGE wanaobadili au kuuchalenji wosia popote... kwenye familia, mahakamani etc
 
Ile mikutano wakina matiku, mbowe, heche ma wengineo wanafanya na mnaleta picha. Na video humu ni ya siri sio hadhara?
Huu upupu mnaongea mitandaoni ni Uhuru wa kuropoka sio kuongea?
Wehu tu watawaelewa nyie

Sent using Jamii Forums mobile app
Mliachia kupima "Upepo"mkaona pamoja na jitihada zenu zote na Mabilioni ya fedha za walipa kodi masikini kuzichezea pamoja na kutumia nguvu kubwa za jeshi la polisi na magereza na mauaji pia lakini "Nyomi" mlioiona hadi mliona aibu
 
Hilo limjamaa kumbe liongo hivyo nimelidharau
We jamaa huwa huna akili hata robo, umeangalia hiyo video?, Kwa mtu anayetumia common sense kwenye scenario Kama hiyo waweza kulaumu vipimo sio watu??, Kwa siku tatu mfululizo wameambiwa hawana Corona,siku ya nne hawajapimwa tena ghafla wanaambiwa wana Corona bado unalaumu vipimo?,hujaelewa au unafanya kusudi?, Hapo tatizo ni kama kuna watu wanaojaribu kuonyesha kuwa madereva wa Tanzania wana Corona, wanatumia hela kulagai wapimaji kwenye mipaka ya nchi zilizozunguka. Ila tumeshawashtukia mpaka list yao wahusika ipo, usicheze na intelijensia ya Tanzania. Stay tuned..
 
Inaonekana kuna hujuma Fulani tunafanyiwa na majirani zetu, maana hao madereva wanarudi na wanaendelea na Maisha yao bila kupata tabu ya kiafya.

Ni Tanzania tu ndio yenye maadui na kuhujumiwa kila siku? Mna nini cha mno ambacho hakipatikani kwingineko?
 
Ulihongwa au ulihamia kwa matakwa yako
Nilihama baada ya kuona fedha nyingi zinatumika kijinga sana

Wananunua Wapinzani haswa Chadema halafu wanawapa vyeo wakati sisi tuliokuwa miaka yote tupo na uchungu
 
Mimi sio Selemani Nchambi Mb CCM Kishapu ambae ujangili wangu umeguswa
Akikamatwa wa ccm haki, akikamatwa teja na mtukanaji wa chadema ameonewa, nawaambia ni wehu tu watakaosapoti upuuzi wenu wa kizushi
Akivunjiwa nyumba aliejenga barabarani wa ccm ni halali, akivunjiwa wa chadema ni uonevu, akishinda kesi chadema mahakama INA haki, akishimdwa maagizo kutoka juu.
Magaidi wakiuwa viongozi wa serikali na wa ccm ni haki wafe, akiuwawa wa chadema ameuliwa na serikali hata kama ana makosa yake na amefumaniwa mtabadili gia tu mpate huruma za wapuuzi wenzenu.
Ninyi ni wa ovyo ovyo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mliachia kupima "Upepo"mkaona pamoja na jitihada zenu zote na Mabilioni ya fedha za walipa kodi masikini kuzichezea pamoja na kutumia nguvu kubwa za jeshi la polisi na magereza na mauaji pia lakini "Nyomi" mlioiona hadi mliona aibu
Tizama usivojielewa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akikamatwa wa ccm haki, akikamatwa teja na mtukanaji wa chadema ameonewa,
Selemani Nchambi kakutwa na nyara za serikali
Mdude kakutwa na vijigram 23 vya unga
Kwa hiyo dhamana zao ziko wazi eti
 
Back
Top Bottom