Corona... Corona... Corona kumbe wala....

Corona... Corona... Corona kumbe wala....

Madereva kutoka Tanzania wakutwa na corona Uganda, madereva kutoka Tanzania wakutwa na corona Kenya, madereva kutoka Tanzania wakutwa na corona Malawi, mara Zambia yani ukiwasikiliza majirani zetu kama uko nje ya Tanzania basi unaweza kuhisi Watanzania wote watakufa kumbe wapi!!! Watanzania tuko tunaendelea na shughuli zetu na hatuna hofu na taarifa hizo tunaziona za uongo msiwe mnatuletea.
Kila nchi inatoa maazimu ya kupima na kufungia madreva wa Tanzania kwa kutumia miongozo yake bila kushirikiana na Tanzania.
 
Kumbukumbu UKIMWI uliingizwa Tanzania na Madereva .Kumbuka Watanzania wengi walikuwa hawasafiri sana zama hizo na watu pekee waliokuwa wanasafiri kwenda nje ni Madereva,Kumbuka Madereva wenyewe walikuwa na nyumba ndogo kila kona na wakaleta ukimwi kwa wake zao na wake wa madereva mara nyingi walikuwa wanachepuki waume wakisafiri
uongo ukimwi haukuletwa na madereva Tanzania uliletwa na wanajeshi wa Tanzania walioenda kupigana vita uganda
biashara ya malori miaka ile kati ya tanzania na uganda ilikuwa haipo sababu ya barabara mbaya madaraja kuharibiwa kivita na siasa mbovu za uganda hadi miaka hii ya juzi juzi tu ndipo magari ya tanzania yalianza kwenda uganda lakini kwa kupitia nairobi hadi karibuni zilipojengwa barabara nzuri acha kusingizia madereva hawahusiki kwa hilo

kundi la pili kuingiza ukimwi ni akina mama wa kihaya waliokuwa wakijiuza uganda miji ya masaka na kampala wakirudi kwao kwa wingi ndio waliuingiza kagera pia sio madereva
 
Awamu hii kila mtu,taasis au nchi wakitoa habari isiyoipendeza serikali yetu basi wanaonekana maadui zeru au wanatumiwa na mabeberu!
 
Washikaji zangu wengi wako kwenye kampuni binafsi na nikikupa details zote kesho tu watafuatwa na makachero na kuanza kusumbuliwa
kujua marehemu kunahitaji kachero? anyway mtu mzima kijijini akitaka kwenda kujisaidia haja kubwa porini hakosi kisingizio husingizia anaenda kuokota kuni.Umeeleweka kisingizio chako ila ukome kuleta uzushi .Sio vizuri
 
Madereva kutoka Tanzania wakutwa na corona Uganda, madereva kutoka Tanzania wakutwa na corona Kenya, madereva kutoka Tanzania wakutwa na corona Malawi, mara Zambia yani ukiwasikiliza majirani zetu kama uko nje ya Tanzania basi unaweza kuhisi Watanzania wote watakufa kumbe wapi!!! Watanzania tuko tunaendelea na shughuli zetu na hatuna hofu na taarifa hizo tunaziona za uongo msiwe mnatuletea.
mkuu kuna watu wapuuzi sijapata kuona.
wao ni wa tanzania lakini bado wanaomba mabaya kwa tanzania ilhali na wao ni watanzania.
hapo unapata majibu ya haraka kwamba ni wapuuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
taja jina la dereva mmoja tu aliyekufa na kampuni aliyokuwa akifanyia twende ofisi ya viongozi wa umoja wa madereva wa malori yanayoenda nje ya nchi tukahakiki taja dereva mmoja tu na kampuni anayofanyia na gari namba alilokuwa akiendesha na route aliyokuwa akienda

twende kurasini tu ka confirm


halafu wewe una tabia ya uongo na uzushi sana wewe na kujifanya ohh mimi mdau sekta ya usafiri wakati liongo likubwa tapeli tu la mjini
kumbe hata wewe umemjua.huyu jamaa muongo sana.sijui aoni aibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Madereva kutoka Tanzania wakutwa na corona Uganda, madereva kutoka Tanzania wakutwa na corona Kenya, madereva kutoka Tanzania wakutwa na corona Malawi, mara Zambia yani ukiwasikiliza majirani zetu kama uko nje ya Tanzania basi unaweza kuhisi Watanzania wote watakufa kumbe wapi!!! Watanzania tuko tunaendelea na shughuli zetu na hatuna hofu na taarifa hizo tunaziona za uongo msiwe mnatuletea.
Uandishi na matarajio ya saccos
 
kujua marehemu kunahitaji kachero? anyway mtu mzima kijijini akitaka kwenda kujisaidia haja kubwa porini hakosi kisingizio husingizia anaenda kuokota kuni.Umeeleweka kisingizio chako ila ukome kuleta uzushi .Sio vizuri
Nikiwapa details za gereji mutakuja kubambika unga 23gram kama mlivyomfanyia Mdude Chadema
 
Nikiwapa details za gereji mutakuja kubambika unga 23gram kama mlivyomfanyia Mdude Chadema
tumeshakuchoka na uongo wako na uzushi humu jamii forums tunakusihi tu kujijeengea heshima jamii forums acha uzushi ukija na hoja uje umekamilika usigeuze jamii forums kijiwe cha uzushi huo wa mdude pia uzushi kweli wewe umekubuhu uzushi
ushakuwa mahakama umeshathibitisha tayari kuwa tumembambika
 
Washikaji zangu wengi wako kwenye kampuni binafsi na nikikupa details zote kesho tu watafuatwa na makachero na kuanza kusumbuliwa
Kuhusu vifo vya madereva vilivyotokana na COVID-19 unapotosha, ila maambukizi ya huo ugonjwa kweli kabisa ugonjwa upo sana humu nchini, huku mitaani watu hawataki kwenda hospital wanaponea majumbani.

Stori za huko hospitalini nyingi hazi hamasishi mtu kujipeleka mwenyewe.
 
tumeshakuchoka na uongo wako na uzushi humu jamii forums tunakusihi tu kujijeengea heshima jamii forums acha uzushi ukija na hoja uje umekamilika usigeuze jamii forums kijiwe cha uzushi huo wa mdude pia uzushi kweli wewe umekubuhu uzushi
ushakuwa mahakama umeshathibitisha tayari kuwa tumembambika
Jamaa wamegeuza twitter na JF uwanja wa kupambana na serikali au na CCM au kupambana na Mh. Magufuli huku wakificha utambulisho wao.

Habari nyingi ni za upotoshaji na za kimkakati wa kisiasa.
Watu wanaumwa wengi akini vifo siyo vingi kama inavyo kuzwa.
 
Kwakweli kama hiyo video ni ya kweli basi kuna tatizo kwenye system ya upimaji Zambia

Yaani hata hiyo video huamini mkuu? Mimi nifanye mipango ya kwenda kupanga njama ya video then niwashurutishe Zambia wafungue mpaka kwa haraka haraka. Dah! hiyo itakuwa noma kubwa sana. Hongera lakini wengine wenye msimamo kama wako wangeanza kutoa matusi.
 
Kuhusu vifo vya madereva vilivyotokana na COVID-19 unapotosha, ila maambukizi ya huo ugonjwa kweli kabisa ugonjwa upo sana humu nchini, huku mitaani watu hawataki kwenda hospital wanaponea majumbani.

Stori za huko hospitalini nyingi hazi hamasishi mtu kujipeleka mwenyewe.
Unaongea na dereva wa transit goods mstaafu bado nina contacts nyingi na wenzangu na wale niliowafunza kazi na ninaongea nao daily kila siku napata taarifa za vifo vya madereva tena wengine wamezikiwa njiani
 
Hawa wanaoficha ID tuachane nao hivi hadi aljezira nao wanaficha ID kama walisema uongo si tu2unge na Mdude
Jamaa wamegeuza twitter na JF uwanja wa kupambana na serikali au na CCM au kupambana na Mh. Magufuli huku wakificha utambulisho wao.

Habari nyingi ni za upotoshaji na za kimkakati wa kisiasa.
Watu wanaumwa wengi akini vifo siyo vingi kama inavyo kuzwa.
 
Jamaa wamegeuza twitter na JF uwanja wa kupambana na serikali au na CCM au kupambana na Mh. Magufuli huku wakificha utambulisho wao.

Habari nyingi ni za upotoshaji na za kimkakati wa kisiasa.
Watu wanaumwa wengi akini vifo siyo vingi kama inavyo kuzwa.

Wataua JF kifo cha mende maana kila watu wakiingia wanataka ushahidi, ambao hatukuwa na tabia hiyo huko nyuma.
 
Yaani hata hiyo video huamini mkuu? Mimi nifanye mipango ya kwenda kupanga njama ya video then niwashurutishe Zambia wafungue mpaka kwa haraka haraka. Dah! hiyo itakuwa noma kubwa sana. Hongera lakini wengine wenye msimamo kama wako wangeanza kutoa matusi.
Unaongea na mdau nawaonea huruma hao madereva najiona ni kama mimi hapo walipo mtu anaetukana ni mtu ambae hajapitia tasnia hiyo
 
Back
Top Bottom