Avriel
JF-Expert Member
- Jun 25, 2017
- 4,978
- 5,417
Kwa ulivyo wewe, kifo cha kwanza tu ungesharipoti na mazingira yake, hapa umetuingiza chaka mzee chutama tu ni uungwana.
Ugonjwa upo ila hizo hadithi unazikuza sana na sio ajabu kwako coz zina maslahi kisiasa.
Hao watu wote hawana familia wala ndugu isipokuwa wewe mtoa taarifa wao?
Kifo hakifichiki, uwezekano wa ugonjwa kusambaa sana ni mkubwa pia japo madhara ya moja kwa moja kama vile uwepo wa wanaougua na kufa sana zikawa ni prediction's kutokana na trend
Sent using Jamii Forums mobile app
Ugonjwa upo ila hizo hadithi unazikuza sana na sio ajabu kwako coz zina maslahi kisiasa.
Hao watu wote hawana familia wala ndugu isipokuwa wewe mtoa taarifa wao?
Kifo hakifichiki, uwezekano wa ugonjwa kusambaa sana ni mkubwa pia japo madhara ya moja kwa moja kama vile uwepo wa wanaougua na kufa sana zikawa ni prediction's kutokana na trend
Mimi kudanganya kwangu mwiko kwa source zangu vijana niliowafunza kazi miaka ya nyuma karibia nane wametangulia na hao ninawafahamu kuna wengine tunajuana kwa jujuu tu nimeshaabiwa ni watano sasa nizushe ili nifaidike na nini kuwasingizia vijana wangu ambao walikuwa wakinijali hata kwa mikaa tu
Sent using Jamii Forums mobile app