- Thread starter
- #161
Kwasas wanaona maendeleo wanaleta wivu tusiwajari tushikamane watakuja wenyeweMajirani zetu huwa wanatunyanyasia mno raia wetu. Wakt raia wao wakija hapa tz, wanaishi kwa raha bila usumbufu..! Tumekuwa mno wapole kiasi wanatupanda kichwani.
Ni muda sasaa serikali nayo ijibu huu undava ili kujibu huu ujinga, na kufanya iwe fundisho raia wetu wasinyanyaswe hovyo