Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 15,526
- 27,562
Mimi ninapoishi tumetenganishwa mita 3 tu na madereva wa HDV wanasafiri na kurudi hapa home kipindi hiki chote hakuna hayo unayo sema.
Mitaani kwetu hao watu wa HDV ni wengi sana na hatuoni hiyo misiba, kama ipo taja majina ya wahanga watatu tu na kampuni zao tufuatilie ukweli.
Hizi siasa tu, ugonjwa upo kwa wingi tu, vifo vipo lakini siyo kiwango mnachotisha watu humu mitandaoni.
Mitaani kwetu hao watu wa HDV ni wengi sana na hatuoni hiyo misiba, kama ipo taja majina ya wahanga watatu tu na kampuni zao tufuatilie ukweli.
Hizi siasa tu, ugonjwa upo kwa wingi tu, vifo vipo lakini siyo kiwango mnachotisha watu humu mitandaoni.
Unaongea na dereva wa transit goods mstaafu bado nina contacts nyingi na wenzangu na wale niliowafunza kazi na ninaongea nao daily kila siku napata taarifa za vifo vya madereva tena wengine wamezikiwa njiani