Kuanzia Jumatatu bila kuvaa barakoa stendi ya Magufuli hakuingiliki tena.
Hata hivyo inashangaza kwanini kuwataka wenye mabasi kuwa na sanitizers kwa ajili ya abiria.
Kama ilivyo kwa barakoa, afya ya mtu ni wajibu wake mwenyewe. Hizi za kutwishana majukumu ya wengine ndiyo chanzo cha kupalilia jamii isiyokuwa na uwajibikaji kwenye mambo yake yenyewe.
Hatua zaidi kudhihibiti misongamano isiyo kuwa na tahadhari itapendeza zaidi.
Chanzo: ITV Habari.
Hata hivyo inashangaza kwanini kuwataka wenye mabasi kuwa na sanitizers kwa ajili ya abiria.
Kama ilivyo kwa barakoa, afya ya mtu ni wajibu wake mwenyewe. Hizi za kutwishana majukumu ya wengine ndiyo chanzo cha kupalilia jamii isiyokuwa na uwajibikaji kwenye mambo yake yenyewe.
Hatua zaidi kudhihibiti misongamano isiyo kuwa na tahadhari itapendeza zaidi.
Chanzo: ITV Habari.