#COVID19 Corona: Bila Barakoa huingii stendi ya Magufuli

Popote ulipo na wenzio mnaobisha juu ya ukivi 19, naomba muende ile wadi ya wanaotibiwa huo ugonjwa hosp. ya mwananyamala mlale huko bila barakao baada ya siky 14 mtupe mrejesho. Hapo tutawaamini.

Thubutu! Hao wanaobisha si furahisha genge tu? Haendi mtu huko!
 
Back
Top Bottom