Stendi mpya ya mabasi Nyegezi yaanza kazi, ni zaidi ya Airport

Kulwa Jilala

JF-Expert Member
Sep 6, 2022
3,510
7,755
Stendi mpya ya mabasi ya Nyegezi jijini Mwanza imeanza kazi rasmi leo tarehe 5/6/2023 huku uzuri wake ukiwaacha hoi wananchi na kusema iko vizuri zaidi ya viwanja vingi vya ndege.

Ikumbukwe jiwe la msingi la ujenzi wa stendi hii liliwekwa na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli, hivyo wananchi wamemlilia tena kwenye uzinduzi wa stendi hii na kusema bila Magufuli kuwa Rais huenda ingewachukua miaka 50 kwa jiji la Mwanza kujengewa stendi nzuri kiasi hiki.

 
Ni vigumu sana kumsahau jpm naamini tungekuwa nae tungekuwa mbali sana
FB_IMG_1685969332080.jpg
 
Back
Top Bottom