johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,024
Mkuu wa mkoa wa DSM Amos Makalla amesema serikali itajenga Stendi nyingine ya Mabasi ya mikoani kama Magufuli Bus Terminal Mbagala
Lengo ni kuwapunguzia usumbufu wananchi na mabasi yote ya Kusini yataanzia safari Mbagala na yatokapo mikoani yataishia huko huko, amesema Makalla
Chanzo: ITV Habari
Lengo ni kuwapunguzia usumbufu wananchi na mabasi yote ya Kusini yataanzia safari Mbagala na yatokapo mikoani yataishia huko huko, amesema Makalla
Chanzo: ITV Habari