RC Makalla: Tutajenga Stendi nyingine ya Mabasi ya mikoani Mbagala, mabasi ya Kusini yataishia huko!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,998
142,024
Mkuu wa mkoa wa DSM Amos Makalla amesema serikali itajenga Stendi nyingine ya Mabasi ya mikoani kama Magufuli Bus Terminal Mbagala

Lengo ni kuwapunguzia usumbufu wananchi na mabasi yote ya Kusini yataanzia safari Mbagala na yatokapo mikoani yataishia huko huko, amesema Makalla

Chanzo: ITV Habari
 
Na abiria wa morogoro tunahitaji stendi kibaha kwani ni njia fupi kwenda morogoro na ni msaada mkubwa kwetu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ya Boko ilikuwepo kwenye mipango tangu enzi ya Kikwete lakini alipokuja Nduli na chuki zake kwa Wakaskazini akaifutilia mbali.
Kumbuka njia hii itapunguza foleni Morogoro Road na kuokoa muda na gharama kwa wasafiri na wasafirishaji
 
Mkuu wa mkoa wa DSM Amos Makalla amesema serikali itajenga Stendi nyingine ya Mabasi ya mikoani kama Magufuli Bus Terminal Mbagala

Lengo ni kuwapunguzia usumbufu wananchi na mabasi yote ya Kusini yataanzia safari Mbagala na yatokapo mikoani yataishia huko huko, amesema Makalla

Source ITV Habari
Tatizo ya tatizo

Connection ya hizo stand mbili itakuwaje au ndiyo mwendelezo wa kupromoti biashara ya vibajaji,
 
Mkuu wa mkoa wa DSM Amos Makalla amesema serikali itajenga Stendi nyingine ya Mabasi ya mikoani kama Magufuli Bus Terminal Mbagala

Lengo ni kuwapunguzia usumbufu wananchi na mabasi yote ya Kusini yataanzia safari Mbagala na yatokapo mikoani yataishia huko huko, amesema Makalla

Source ITV Habari
Kampe ujumbe huyo RC wako, itakuwa ni zaidi ya upumbavu serikali kuwaza kujenga stand ya aina ya magufuli terminal si dar es salaam tu, mahali popote..na wala kujenga stand si kuondolea watu usumbufu bali ni kutengenezea watu usumbufu! Habari ya watu watapandia na watashukia wapi achia watu wa mabus wenyewe wao wanafahamu kile abiria wanahitaji na wala stand si chanzo cha mapato kwa serikali au jibu la ukosefu wa ajira..! TIB Bank iko shimoni baada ya kuja na modal hii ya kufadhili kujenga mastend huko walikoyajenga..hakuna stand yoyote ni success story iliyoweza kurudisha pesa waliyokopa kujenga stand..! Mwambie RC na hao planners wake vishoka km wanadhani ni afya sana wapo watu wanapenda kupandia na kushukia stand, kinachohitajika ni uzio wa ukuta na huduma za usafi period! achana na habari za kuweka fremu za maduka machinga wanatosha kuhudumia watu wanaofika stand kwa ajili ya kupanda na kushuka..! usifanye stand ya bus iwe kama uwanja wa ndege, mahitaji ya wasafiri wa ndege na abiria wa mabus ni tofauti, owners wa vyombo vya usafiri, ratiba, uendeshaji vyote vinatofautiana! Stand ya bus ibaki kuwa stand na Airport km Airport end of story!
 
Back
Top Bottom