Copper Smelters around the World - Capacity less or equal to 100,000 tons per year

Kwa uelewa wa kawaida
Kamwe huwezi kupata mchanga wenye 90% Gold
NEVER!
Hakuna composition hiyo
Kwa lugha nyingine ingemaanisha hakuna hata haja ya ku-SMELT (kuyeyusha)
Labda ingebidi ku-refine tu kuondoa impurities ili kupata at least 99.9%
Kwa uongo wausemao ingemaanisha Tanzania tungekuwa tajiri kuliko utajiri wote wa dunia!
Yaani container moja lingekuwa na tani karibu 30 za dhahabu

Wakivhimba uyeyushaji wa dhahabu hufanyika mgodini na hayo mabaki bado huwa yana madini mengine kama Copper,Silver, Nickel na Cadmium na Gold tena kwa uchaaache sana pia ambazo kuziextract hutaka teknolojia ya juu na umeme mkubwa na stable(Kule wanatumia umeme wa NUCLEAR)
Pia Plant hizo ni aghali na ziko chache duniani na sio kazi ya investors

Pia huo mvhanga kusafirishwa ni jambo lipo ndani ya maagano (CONTRACT) walizopitisha hao hao akina Magu kwa kishindo

Kungekuwa na dhahabu 90% mule container zingesindikizwa na ukinzi mkali
Kwanza wangebeba na Cargo Plane tu

Tuache kuargue kama hatuna uwezo wa kujiongeza na ku-connect dots za ukweli

Mwisho nikuulize kama umenikodisha shamba nikivuna utataka nikuachie Mabua ? Ama nikikoboa nikuachie Mapumba?
Vyote ni vyangu na ndivyo hata huo mnaoita mchanga ni wao pia!
Labda msubiri magwangwala ambayo ni waste na mpewe kwa hiari sio lazima!!
 

Attachments

  • upload_2017-3-28_12-20-4.png
    upload_2017-3-28_12-20-4.png
    65.2 KB · Views: 40
mkuu nimesoma zambia nimefanyakazi ndola mine kitwe mine na nimeoa zambia.
Kusoma Zambia sio tija ujue nini kipo ndani ya migodi yao. Mbona wewe uko TZ wala hata hujui tofauti ya migodi yetu. kwanini Geita Gold Mine na North Mara Gold Mine hawapeleki Mchanga kuchenjuliwa nje, kuna factors nyingi ndani humo sio vitu vya kuongea juu juu.
 
Kumbe yawezekana, basi tuwaige Indonesia, wakuu kujitegemea hasa kwenye rasilimali zetu ni muhimu kuliko WaTZ..
Kwani haiwezekani?! Hata wale Indonesia walijenga baada ya serikali kupiga ban usafirishaji!!

Hata hivyo, Indonesia wana advantage kwamba wao wanazalisha copper concentrates nyingi sana ukilinganisha na Tanzania na ndio maana wameweza kujenga wmtambo wa kuchenjua tani 500K!!!

Kutokana na hilo, ndio maana kitu ambacho TMAA walishauri ni kwamba, tunaweza kujenga mtambo lakini wakati tunafanya hivyo tuzingatie mambo mawili:

Mosi, tuongeze utafutaji na uzalishaji ili tupate concentrate za kutosha zaidi na kama hatuna concentrates za kutosha basi tu-import kama wanavyofanya Japan!!

Originally, hata Japan walikuwa wanafanya smelting ya kile wanachozalisha lakini baada ya kuona hawana uzalishaji mkubwa ndipo wakaanza ku-import!!!!

Lakini vile vile kuna jambo moja lazima lieleweke!!!

Ripoti ya TMAA walichosema ili kuwa economically viable tunahitaji tani 150K.

Waliosoma uchumi wanafahamu nini maana ya economically viable... hii phrase ina maana kubwa sana! Unaweza kukuta zipo technology zinazoweza kuchenjua hata 50K but NOT Economically viable!!!

Kutokuwa economically viable haimaanishi haiwezekani au ukifanya utapata hasara!!

Kitu kuwa economically viable unatakiwa kupata optimal return... kwamba, kama unapata 1000kg kwa ekari moja; hata ukifanya nini hauwezi kuvuka 1000kg kwa sababu umesha-hit optimal return!!!

Kwa maana nyingine, unaweza kukuta ukisafirisha mchanga tani moja unapata $100 kama faida lakini ukijenga mtambo not necessarily kwamba utapata hasara; NO, lakini badala ya kupata $100 huenda ukapata $90 kutokana na factor mbalimbali kama vile beei kubwa ya umeme na umeme usiotabirika ambao wakati mwingine watu watalazmika kuwasha magenerator na kuongeza operating costs!!
 
Kusoma Zambia sio tija ujue nini kipo ndani ya migodi yao. Mbona wewe uko TZ wala hata hujui tofauti ya migodi yetu. kwanini Geita Gold Mine na North Mara Gold Mine hawapeleki Mchanga kuchenjuliwa nje, kuna factors nyingi ndani humo sio vitu vya kuongea juu juu.
Ahsante!!!!
 
Nimesoma haya majadiliano kwa kina nimeona sasa na mimi niingie kama kaka mkubwa kuwaweka sawa

Inaonyesha onyx unajua unachoongea na uko sawa kabisa ila tambua pia kuwa emajohn yuko sawa ila hayuko impartial kama wewe.

Yote mliyosema yanawezekana ila kikubwa kwenye kuweka smelter ya kuchakachua copper concetrate ore hapa nchini lazima tujiulize haya maswali:

Je ni commercially viable ukilinganisha gharamaza manunuzi na capacity ya migodi yetu?

Je tunafacilities na resources za kuwezesha hilo?

Time frame itakayochukua kufanikisha hiyo project?

Ni hasara zipi kama taifa tutazipata mpaka hapo project itakapokamilika?

Capacity ya Migodi yetu inawezo wa Kuproduce kwa muda gani "life span"?

Gharama za maintanance?

Plan likoje ikiwa migodi yetu imefikia ukingoni mwa uwezo wake wa kuproduce copper concetrate ore?

Na maswali mengine mengi lakini hayo ndiyo ya msingi kujiuliza kwanza.
 
Mimi ile ripoti ya TMAA huwa naipinga, haina weledi.

Lakini pia ikubukwe ule mchanga wa kwenye makontena sio kwa ajili ya ku-extract copper pekee.
Hawajazungumzia makinikia ya Copper bali imezungumzia makinikia ya dhahabu kwenye ripoti zao , sasa kwenye makinikia wanatoa dhahabu, shaba, zinc , platnum, silver, Fe na madini mengine
 
Ok, lakini hizo ni ambazo zina capacity kubwa tu >250,000 tons per year. Angalia na hizi pia.
Bwana Suguta, sie Hapa TZ hatu- mine Copper tunazungumzia Gold, na utaganisho wa Gold kutoka kwenye madini mengine una process tofauti na hiyo ya Copper unayoingea hapo. Mura vipi kwenu ni Tarime unashindwa kufanya matembezi binafsi na kuuliza Gold inavyochenjuliwa pale Nyamongo
 
Kumbuka capital and operating costs of smelter + its peripherals is determined by its size (its capacity tons of concentrate it treats per year)
Sijui umelenga kusema nini wakati hoja yangu ni kwamba not all smelters are for the same purposes!!

But all in all, ningekushauri weka link ya hizo data ili tupitie ripoti husika kwa umakini!! Kuna uwezekano mkubwa hiyo ripoti yako ni kwa ajili ya copper producer na sio wazalishaji wa dhahabu ambayo dhahabu yao ipo full of impurities!!

Link please!
 
The Top Copper Producing Countries In The World
Rank Country Copper Production (in thousand tonnes), 2014
1 Chile 5,750
2 China 1,760
3 Peru 1,380
4 United States 1,360
5 Democratic Republic of Congo 1,030
6 Australia 970
7 Russia 742
8 Zambia 708
9 Canada 696
10 Mexico 515

Top Gold Producing countries
1. China 455
2. Australia 270
3. Russia 250
4. Unites States 209
5. Canada 170
6. Peru 150
7. South Africa 140
8. Mexico 125
9/10. Uzbekistan 100
9/10. Indonesia 100
11. Ghana 90
12. Brazil 80
13. Papua New Guinea 65
 
Tatizo kubwa la watanzania wengi walizungusha zero kwenye masomo ya sayansi, wakaenda kusoma masomo ya ubishi.

Sayansi inayotumika kutenganisha elements hapa ni simple inorganic chemistry ya form iv kwa kuchemsha (heating method) hadi element husika itoke kwenye solid state kwenda kwenye liquid state. Kitendo hiki kinaitwa melting. Hizo smelters ni tanuru tu za kuchemsha huo mchanganyiko wa elementsElements hadi zi melt na kutoka kama kjmiminika. Unaweza kutengeneza tanuru hata lako mwenyewe.

Melting point depends on temperature and pressure and not on the type of your smelter. The lower the pressure the lower the boiling point. Oxygen and sulpher are gases even at normal temperature and pressure. When they combine with metal elements we call that combination an oxide or sulphide respectively but this does not change melting point of that metal elements or any other properties of the element.

Hizi ni melting points at standard temperature and pressure (stp) ya baadhi ya metal elements zinazokuwamo kwenye mchanga kutoka migodini kwetu ambazo matani kwa matani husafirishwa kwenda kuchemshwa nje ya nchi ya nchi yetu:
1. Mchanga (Silicon) 1411 C
2. Shaba (Copper) 1063 C
3. Dhahabu (Gold) 1084 C
4. Pessa (Silver) 961 C
5. Bati (Tin) 232 C
6. Aluminum 660 C
7. Uranium 1132 C
8. Zinc 495 C
9. Nickel 1453 C
10. Steel, Carbon 1425 - 1540 C

Sasa kama alivyosema rais, viwanda kama kile cha vigae na kile cha Dangote wameweza kuweka tanuru zao za kuchemsha (melting) metal elements zinazohitajika kwenye viwanda vyao, zenye uwezo wa kufikia hadi joto la 2,500 C, hawa wenye migodi yetu wameshindwa nini kujenga tanuru hizo? Tena kwa mjibu wa mikataba yao na serikali wanapata umeme bure toka TANESCO, mafuta ya diseal na petroli wanapata bure bila kodi, mapato yao hayakatwi kodi, vitu vyao wanaingiza nchini havitozwi kodi, madini wanayochuma nchini kwetu hawatupi cho chote isipokuwa ka goodwill (mrahaba) kanakozidiwa mara 100 na kodi anayolipa hata mtu kama Bakressa.

Na karibu wanafunga hiyo migodi maana wameshamaliza dhahabu yote iliyokuwamo. Tangia waje wamekuwa wakichimba usiku na mchana, hakuna cha wikiendi wala siku kuu. Huko Nzega wameshaondoka na kutuachia mashimo na umasikini zaidi. Kisa ni hiyo mikataba waliyofunga na wapiga deal wa nchi yetu enzi zile za chukua chako mapema. Jee ni kweli hatuwezi fanya cho chote? Yaani hiyo mahakama ya kimataifa ya biashara ndicho inachotaka?
 
Nimesoma haya majadiliano kwa kina nimeona sasa na mimi niingie kama kaka mkubwa kuwaweka sawa

Inaonyesha onyx unajua unachoongea na uko sawa kabisa ila tambua pia kuwa emajohn yuko sawa ila hayuko impartial kama wewe.

Yote mliyosema yanawezekana ila kikubwa kwenye kuweka smelter ya kuchakachua copper concetrate ore hapa nchini lazima tujiulize haya maswali:

Je ni commercially viable ukilinganisha gharamaza manunuzi na capacity ya migodi yetu?

Je tunafacilities na resources za kuwezesha hilo?

Time frame itakayochukua kufanikisha hiyo project?

Ni hasara zipi kama taifa tutazipata mpaka hapo project itakapokamilika?

Capacity ya Migodi yetu inawezo wa Kuproduce kwa muda gani "life span"?

Gharama za maintanance?

Plan likoje ikiwa migodi yetu imefikia ukingoni mwa uwezo wake wa kuproduce copper concetrate ore?

Na maswali mengine mengi lakini hayo ndiyo ya msingi kujiuliza kwanza.

Nikili kuwa ni maswali yanayohitaji information nyingi sana na mengine mpaka ufanye research kuweza kuyajibu. Nitajibu baadhi ya maswali ambayo nina uelewa nayo kwa sasa na mengine naweza kuyajibu kadri muda utakavyoruhusu.

  • Economic viability - ukiangalia graph niliyotoa kwenye post no.1, kuna smelters nyingi tu worldwide ambazo zina capacity kati ya 2,000 na 100,000 tons kwa mwaka. Nataraji hizi zote (most of them) zinaoperate economically). Migodi yetu kwa sasa inazalisha 50,000 to 60,000 tons kwa mwaka na huenda ndani ya miaka miwili ikashuka mpaka 40,000 tons kwa mwaka. Kushuka kwa kiwango kutatokana na kufungwa kwa shughuli za uchimbaji na uzalishaji wa concentrate katika mgodi wa Buzwagi, kama inavyotarajiwa. In the same line, I am very optimistic that using the concentrate we have (40,000 to 60,000 per year), a smelter with this capacity can be installed and operate economically. Hapa watalaam we economics wanaweza kutusaidia ku determine break even time.
  • Facilities - here we are not enventing something new. The technology is available, its just your capital to invest. Na naamini watalaam (Metallurgists not geologists) pia wapo.
  • Time frame - I cannot tell for the moment
  • to be continued !!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Graph hapo chini inaonyesha copper smelters mbali mbali katika nchi tofauti duniani zenye uwezo wa kuchenjua kuanzia 2,000 tons kwa mwaka mpaka zenye uwezo wa 100,000 tons kwa mwaka ambazo zinaoperate mpaka sasa.
Kwahiyo hizi data zinapingana kabisa na conclusion waliyotoa TMAA kuwa smelter lazima iwe na capacity ya 150,000 tons per year to be economically viable. Hii inaonyesha hawakuresearch vya kutosha kuona kama kuna smelters zenye capacity ndogo huenda ilikuwa influenced na migodi yenyewe pamoja na smelters walizotembelea kule japani ( Toyo smelter yenye uwezo wa 300,000 tons per year pamoja na Saganoseki yenye uwezo wa 470,000 tons per year).

Nashauri team ya watalaam wa uchakataji na uchenjuaji makinikia iundwe kuangalia uwezekano wa ku install smelter yenye uwezo kati ya 40, 000 na 60,000 tons per year. Hii ni kutokana na kuwa migodi yetu inazalisha kati ya 50,000 na 60,000 tons per year na huenda production ikashuka zaidi.
HAO TMAA NIJIPU. WANASHILIKI KUTUIBIA MAGUFULI HAWA CHEKI KWA JICHO LA TATU
 
Tatizo kubwa la watanzania wengi walizungusha zero kwenye masomo ya sayansi, wakaenda kusoma masomo ya ubishi.

Sayansi inayotumika kutenganisha elements hapa ni simple inorganic chemistry ya form iv kwa kuchemsha (heating method) hadi element husika itoke kwenye solid state kwenda kwenye liquid state. Kitendo hiki kinaitwa melting. Hizo smelters ni tanuru tu za kuchemsha huo mchanganyiko wa elementsElements hadi zi melt na kutoka kama kjmiminika. Unaweza kutengeneza tanuru hata lako mwenyewe.

Melting point depends on temperature and pressure and not on the type of your smelter. The lower the pressure the lower the boiling point. Oxygen and sulpher are gases even at normal temperature and pressure. When they combine with metal elements we call that combination an oxide or sulphide respectively but this does not change melting point of that metal elements or any other properties of the element.

Hizi ni melting points at standard temperature and pressure (stp) ya baadhi ya metal elements zinazokuwamo kwenye mchanga kutoka migodini kwetu ambazo matani kwa matani husafirishwa kwenda kuchemshwa nje ya nchi ya nchi yetu:
1. Mchanga (Silicon) 1411 C
2. Shaba (Copper) 1063 C
3. Dhahabu (Gold) 1084 C
4. Pessa (Silver) 961 C
5. Bati (Tin) 232 C
6. Aluminum 660 C
7. Uranium 1132 C
8. Zinc 495 C
9. Nickel 1453 C
10. Steel, Carbon 1425 - 1540 C

Sasa kama alivyosema rais, viwanda kama kile cha vigae na kile cha Dangote wameweza kuweka tanuru zao za kuchemsha (melting) metal elements zinazohitajika kwenye viwanda vyao, zenye uwezo wa kufikia hadi joto la 2,500 C, hawa wenye migodi yetu wameshindwa nini kujenga tanuru hizo? Tena kwa mjibu wa mikataba yao na serikali wanapata umeme bure toka TANESCO, mafuta ya diseal na petroli wanapata bure bila kodi, mapato yao hayakatwi kodi, vitu vyao wanaingiza nchini havitozwi kodi, madini wanayochuma nchini kwetu hawatupi cho chote isipokuwa ka goodwill (mrahaba) kanakozidiwa mara 100 na kodi anayolipa hata mtu kama Bakressa.

Na karibu wanafunga hiyo migodi maana wameshamaliza dhahabu yote iliyokuwamo. Tangia waje wamekuwa wakichimba usiku na mchana, hakuna cha wikiendi wala siku kuu. Huko Nzega wameshaondoka na kutuachia mashimo na umasikini zaidi. Kisa ni hiyo mikataba waliyofunga na wapiga deal wa nchi yetu enzi zile za chukua chako mapema. Jee ni kweli hatuwezi fanya cho chote? Yaani hiyo mahakama ya kimataifa ya biashara ndicho inachotaka?
Sasa na wewe nawe umeanza kwa mikwara kama "mwanasayansi" kweli, kumbe nawe ni ubishi ubishi tuu. Unazungumzia chemistry za form 2 kwenye mambo serious namna hii?:(:(
 
Graph hapo chini inaonyesha copper smelters mbali mbali katika nchi tofauti duniani zenye uwezo wa kuchenjua kuanzia 2,000 tons kwa mwaka mpaka zenye uwezo wa 100,000 tons kwa mwaka ambazo zinaoperate mpaka sasa.
Kwahiyo hizi data zinapingana kabisa na conclusion waliyotoa TMAA kuwa smelter lazima iwe na capacity ya 150,000 tons per year to be economically viable. Hii inaonyesha hawakuresearch vya kutosha kuona kama kuna smelters zenye capacity ndogo huenda ilikuwa influenced na migodi yenyewe pamoja na smelters walizotembelea kule japani ( Toyo smelter yenye uwezo wa 300,000 tons per year pamoja na Saganoseki yenye uwezo wa 470,000 tons per year).

Nashauri team ya watalaam wa uchakataji na uchenjuaji makinikia iundwe kuangalia uwezekano wa ku install smelter yenye uwezo kati ya 40, 000 na 60,000 tons per year. Hii ni kutokana na kuwa migodi yetu inazalisha kati ya 50,000 na 60,000 tons per year na huenda production ikashuka zaidi.
TMMA yawezekana kabisa unawaonea. Wao ni utafiti wa 2009 na teknolojia imebadilika sana sasa
 
zambia wanzalisha makinia 15,000 wanachengua wenyewe tena malori ya hans pope ndio yanayoisomba kuileta dar sisi tunazalisha 25,000 tena tuko bandarini tunasema hatuwezi, hapa lazima tuna upungufu fulani vichwani mwetu.
People are paid to say that mkuu ikiwamo mawaziri na makatibu wakuu wa wizara
Unajua uchimbaji wa mafuta TZ uko enzi na enzi lakini waarabu wanawalipa mawaziri wa Nishati ili wasichimbe??
 
Sasa na wewe nawe umeanza kwa mikwara kama "mwanasayansi" kweli, kumbe nawe ni ubishi ubishi tuu. Unazungumzia chemistry za form 2 kwenye mambo serious namna hii?:(:(
Ndiyo ukweli wenyewe. Fungua kitabu chako cha inorganic chemistry cha O- level kama ulisoma mchepuko wa sayansi. Na kujua kiwango cha kila element kwenye huo mchanga wala hatuhitaji kupeleka sampuli nje ya nchi kama tulivyofanya ku analyse DNA za kifaru John. Hata pale UDSM wanaweza kuu analyse huo mchanga. Haya Waziri mkuu akapeleka sampuli kwa mkemia mkuu. Majibu yatatoka very soon na method anayotumia ni hiyo hiyo ya separation by melting ambayo ndiyo the simplest. Wewe unaona ni mambo serious sana. Ni serious kwa maana ndani ya huo mchanga kuna matofali ya pure gold ambayo hayahitaji hata chemical analysis kuyaona. Ndiyo maana tumeambiwa tujiandae kulia siku container hizo zitakapofunguliwa.
 
Ndiyo ukweli wenyewe. Fungua kitabu chako cha inorganic chemistry cha O- level kama ulisoma mchepuko wa sayansi. Na kujua kiwango cha kila element kwenye huo mchanga wala hatuhitaji kupeleka sampuli nje ya nchi kama tulivyofanya ku analyse DNA za kifaru John. Hata pale UDSM wanaweza kuu analyse huo mchanga. Haya Waziri mkuu akapeleka sampuli kwa mkemia mkuu. Majibu yatatoka very soon na method anayotumia ni hiyo hiyo ya separation by melting ambayo ndiyo the simplest. Wewe unaona ni mambo serious sana. Ni serious kwa maana ndani ya huo mchanga kuna matofali ya pure gold ambayo hayahitaji hata chemical analysis kuyaona. Ndiyo maana tumeambiwa tujiandae kulia siku container hizo zitakapofunguliwa.
Hizi ni hadithi. Lab za UDSM haziwezi kufanya MET test yoyote. Usidanganye watu.
 
Graph hapo chini inaonyesha copper smelters mbali mbali katika nchi tofauti duniani zenye uwezo wa kuchenjua kuanzia 2,000 tons kwa mwaka mpaka zenye uwezo wa 100,000 tons kwa mwaka ambazo zinaoperate mpaka sasa.
Kwahiyo hizi data zinapingana kabisa na conclusion waliyotoa TMAA kuwa smelter lazima iwe na capacity ya 150,000 tons per year to be economically viable. Hii inaonyesha hawakuresearch vya kutosha kuona kama kuna smelters zenye capacity ndogo huenda ilikuwa influenced na migodi yenyewe pamoja na smelters walizotembelea kule japani ( Toyo smelter yenye uwezo wa 300,000 tons per year pamoja na Saganoseki yenye uwezo wa 470,000 tons per year).

Nashauri team ya watalaam wa uchakataji na uchenjuaji makinikia iundwe kuangalia uwezekano wa ku install smelter yenye uwezo kati ya 40, 000 na 60,000 tons per year. Hii ni kutokana na kuwa migodi yetu inazalisha kati ya 50,000 na 60,000 tons per year na huenda production ikashuka zaidi.
Hans Poppe nae anatumbia dunia nzima kuna smelters nne tu!Mafisadi na wauza unga wana kampeni chafu sana mtandao wao ukiingiliwa
 
mkuu technologia hiyo ya kuchengua ndio hiyohiyo inayotumiwa na masonara ambayo tunajifunza form two.
Hivi mnajua kweli mnachoongea? Hivi kuyeyusha copper ndo sawa na kuchenjua copper kutoka kwenye miamba iliyochanganyikana na dhahabu na fedha? Kazi tunayo!!
 
Back
Top Bottom