Copper Smelters around the World - Capacity less or equal to 100,000 tons per year

Kuwa na sulfur is not a problem. Sijui kama una idea yoyote ya pyrometallurgy. A sulfide concentrate can be easily converted to oxide form by Roasting.
Mkuu upo sahihi, hapo ndio linapokuja jambo la mtaji mkubwa ili kujenga kiwanda. Ukiichoma sulfur unapata gesi ya sulfurdioxide gas ambayo ni hatari balaa. Pyrometallurgy ni metallurgy kutumia moto. Kuhusu met nipo deep zaidi na sipendi tu kujiexpose.
 
mkuu ka wewe hujui mambo ya miamba, ukae kimya tu.
shida wabongo sisi ni wajuaji wa kila kitu.

Ila msikate tamaa, tunaomba mtusaidie kuelewa haya mambo, maana nina uhakika 75% tunaenda kuwalipa ACACIA fidia kutokana na ujuaji wetu.
 
shida wabongo sisi ni wajuaji wa kila kitu.

Ila msikate tamaa, tunaomba mtusaidie kuelewa haya mambo, maana nina uhakika 75% tunaenda kuwalipa ACACIA fidia kutokana na ujuaji wetu.
Ni kweli, tena wameanza kutengeneza mazingira ya kuwa wanapoteza dollar 1m kwa siku.
 
Yaani watu wana akili za ajabu!! Hizo ulizoweka wewe ni teknolojia za wazalishaji wa copper kama Zambia ambapo wanachochimba ni copper na kiasi kikubwa ni kwenye mchanga wao ni copper ambayo haipo embedded na madini mengine!!!

Issue ya hapa ni dhahabu iliyochanganyika na copper!!

Huo mfano wako ni sawa na machimbo ya dhahabu kama vile Mara Gold Mine ambapo wakichimba; dhahabu inakuwa haijachanganyika na other mineral ores kwahiyo hata kuichambua kwake ni rahisi!!
 
Mkuu upo sahihi, hapo ndio linapokuja jambo la mtaji mkubwa ili kujenga kiwanda. Ukiichoma sulfur unapata gesi ya sulfurdioxide gas ambayo ni hatari balaa. Pyrometallurgy ni metallurgy kutumia moto. Kuhusu met nipo deep zaidi na sipendi tu kujiexpose.
Mkuu, sio kujiexpose, unatusaidia tu. Huu uzi mpaka sasa utamvuta JPM kuja kuusoma na sote kwa pamoja tutajua namna ya kusolve issue hii.

Am very sure sote kwa pamoja ktk uzi huu tunania ya kujenga na kuikoa nchi yetu dhidi ya unyonyaji, so plz wewe funguka tu kwa Maslahi mapana ya nchi yetu.

Huenda baada ya kusoma hapa JPM ataghairi kununua zile ndege mbili za bei mbaya akatununulia kinu kimoja kikajengwa Kakola hapo.
 
Tufafanulie zaidi mkuu hizo ni cooper smelters zina uwez huo unaotakiwa kuchenjua dhahabu,fedha na shaba au shaba peke yake. Maana naona kwenye hiyo orodha hakuna hizo za Japan ulizozitzaja.

Smelter
Hizo ni zenye oxide ore na sio sulfide ore

Nimesema one of the first stage of pyrometallurgical operation is ROASTING used to convert sulfide minerals into oxide

eg. CuFeS2 + O2 ==> CuO/Cu2O + Fe2O3 + SO2 + (energy as its exothermic rxn): Do the balancing if you can.

Followed by the next stages ofcourse.
 
zambia wanzalisha makinia 15,000 wanachengua wenyewe tena malori ya hans pope ndio yanayoisomba kuileta dar sisi tunazalisha 25,000 tena tuko bandarini tunasema hatuwezi, hapa lazima tuna upungufu fulani vichwani mwetu.
Mwangalieni mwingine huyu!! Sasa hao Zambia wanazalisha dhahabu ambayo ipo embedded na shaba?!

Kwani hata Tanzania si kuna migodi mingi tu dhahabu ambayo kwavile dhahabu yake haipo embedded na madini mengine; huwa wanasafisha hapa hapa!!!

Mambo mengine kama hamjui muwe mnakaa kimya kuliko kuongea viroja!!!
 
Sio lazima uwe na kiwanda cha tani laki 1.5 kwa mwaka.
Kwani hata ukiangalia parametaters za mitambo ya migodi yote tanzania zinatofautiana. Mfano Geita na Bulyanhulu.

Swala hapa je wakifanya ivo inatija? What ifu wakaweka mtambo ukawa autopilot?
Kama kuna utaratibu wa mtu kulipa kodi ya kila element, je kunaulazima wa kujenga plant ambayo inaweza isirudishe hela/

Mbona gold bar za iyo migodi bado zinaenda nje kuwa refined?
 
Mwangalieni mwingine huyu!! Sasa hao Zambia wanazalisha dhahabu ambayo ipo embedded na shaba?!

Kwani hata Tanzania si kuna migodi mingi tu dhahabu ambayo kwavile dhahabu yake haipo embedded na madini mengine; huwa wanasafisha hapa hapa!!!

Mambo mengine kama hamjui muwe mnakaa kimya kuliko kuongea viroja!!!
Hii nchi inahitaji maombi.
 
Ta
Mimi ile ripoti ya TMAA huwa naipinga, haina weledi.

Lakini pia ikubukwe ule mchanga wa kwenye makontena sio kwa ajili ya ku-extract copper pekee.
tizo ndiyo hilo ............. watu wanachanganya!!

Nilivyoelewa mimi migodi ipo hapa kwa ajili ya dhahabu. Baada ya kuzalisha hiyo dhahabu mchanga unaobaki huwa unakuwa na dhahabu kidogo na madini mengine kama shaba n.k. Sasa kwa technology iliyopo hawawezi kuextract hayo madini hapa ............ ndipo hapo suala la machanga kupelekwa nje linapokuja.

Lakini ukisikiliza sana watu humu kunaupotoshaji mkubwa!!
 
Smelter


Nimesema one of the first stage of pyrometallurgical operation is ROASTING used to convert sulfide minerals into oxide

eg. CuFeS2 + O2 ==> CuO/Cu2O + Fe2O3 + SO2 + (energy as its exothermic rxn): Do the balancing if you can.
Aisee hizo chemical equation zilinifanya nikimbie science nikaenda kusoma B'ness.. Please wewe taja tu Sulpher, Zinc, Copper, Sodium.. Usiwe hizo equation plx
 
Mkuu, sio kujiexpose, unatusaidia tu. Huu uzi mpaka sasa utamvuta JPM kuja kuusoma na sote kwa pamoja tutajua namna ya kusolve issue hii.

Am very sure sote kwa pamoja ktk uzi huu tunania ya kujenga na kuikoa nchi yetu dhidi ya unyonyaji, so plz wewe funguka tu kwa Maslahi mapana ya nchi yetu.

Huenda baada ya kusoma hapa JPM ataghairi kununua zile ndege mbili za bei mbaya akatununulia kinu kimoja kikajengwa Kakola hapo.
Kwa kufahamisha tena, ili kutunza mazingira kutokana na hiyo sumu, lazima hapo hapo kujengwe kiwanda cha kuzalisha sulfuric acid, hapo hapo ilikuzuia vumbi lazima kijengwe kiwanda cha kuzalisha gypsum. Inahitajika mtaji mkubwa sana
 
Huenda baada ya kusoma hapa JPM ataghairi kununua zile ndege mbili za bei mbaya akatununulia kinu kimoja kikajengwa Kakola hapo.
Kabisa!! Kila mmoja angependa tuwe tunachenjua hapa hapa na kwahiyo badala ya pesa kuwekeza kwenye less productive industries; basi wawe wanawekeza huku!!!

Sema najaribu kutafuta data za umeme manake ambazo nimezipata kama ni kweli basi ni tuna kazi ngumu mbele yetu!! Hapa nataka kulinganisha angalau 3 different sources kufahamu actual energy inayohitajika kuchenjua just a tonne!
 
Ta

tizo ndiyo hilo ............. watu wanachanganya!!

Nilivyoelewa mimi migodi ipo hapa kwa ajili ya dhahabu. Baada ya kuzalisha hiyo dhahabu mchanga unaobaki huwa unakuwa na dhahabu kidogo na madini mengine kama shaba n.k. Sasa kwa technology iliyopo hawawezi kuextract hayo madini hapa ............ ndipo hapo suala la machanga kupelekwa nje linapokuja.

Lakini ukisikiliza sana watu humu kunaupotoshaji mkubwa!!
Kweli mkuu, ni kama vile watu wanataka kusema Geita gold hawaiibii serikali kwani hawasafirishi mchanga.
 
Mwangalieni mwingine huyu!! Sasa hao Zambia wanazalisha dhahabu ambayo ipo embedded na shaba?!

Kwani hata Tanzania si kuna migodi mingi tu dhahabu ambayo kwavile dhahabu yake haipo embedded na madini mengine; huwa wanasafisha hapa hapa!!!

Mambo mengine kama hamjui muwe mnakaa kimya kuliko kuongea viroja!!!
Mkuu Ndola Mine wanakiwanda cha kutengeneza sulfuric acid na inawaingizia pesa nyingi kuliko hata hiyo dhahabu tena wana export huko huko china nimefanyakazi pale miaka nane kabla ya kustaafu.
 
Graph hapo chini inaonyesha copper smelters mbali mbali katika nchi tofauti duniani zenye uwezo wa kuchenjua kuanzia 2,000 tons kwa mwaka mpaka zenye uwezo wa 100,000 tons kwa mwaka ambazo zinaoperate mpaka sasa.
Kwahiyo hizi data zinapingana kabisa na conclusion waliyotoa TMAA kuwa smelter lazima iwe na capacity ya 150,000 tons per year to be economically viable. Hii inaonyesha hawakuresearch vya kutosha kuona kama kuna smelters zenye capacity ndogo huenda ilikuwa influenced na migodi yenyewe pamoja na smelters walizotembelea kule japani ( Toyo smelter yenye uwezo wa 300,000 tons per year pamoja na Saganoseki yenye uwezo wa 470,000 tons per year).

Nashauri team ya watalaam wa uchakataji na uchenjuaji makinikia iundwe kuangalia uwezekano wa ku install smelter yenye uwezo kati ya 40, 000 na 60,000 tons per year. Hii ni kutokana na kuwa migodi yetu inazalisha kati ya 50,000 na 60,000 tons per year na huenda production ikashuka zaidi.
uko sahihi wewe mkuu. tujenge smelters zenye capacity ya uzalishaji wa madini yetu. smelter hujengwa kulikana na mahitaji yako, wanaosema hatuwezi kujenga wanatumiwa na wawekezaji ambao wana mapesa mengi ili kupindisha ukweli. Naungana na Rais JPM; Ni afadhali madini hayo yakae ardhini kuliko kuendelea kuibiwa. Tumechoka
 
Mkuu upo sahihi, hapo ndio linapokuja jambo la mtaji mkubwa ili kujenga kiwanda. Ukiichoma sulfur unapata gesi ya sulfurdioxide gas ambayo ni hatari balaa. Pyrometallurgy ni metallurgy kutumia moto. Kuhusu met nipo deep zaidi na sipendi tu kujiexpose.

Ofcourse SO2 ni hatari but concurrently extra facility can be installed to produce sulfuric acid to reduce SO2 emission to the environment
 
Back
Top Bottom