Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 6,406
- 8,893
Mkutano wa mabadiliko ya tabia nchi uliofanyika huko Misri umeisha thank God, na sasa hali kuanzia kurejea kama kawaida hapa Duniani, ukame utaisha na Watanzania wataanza kupata maji (tena), maji yataanza kutoka siku chache zijazo, amini usiamini, ni hivyo, it’s a game, …