Jana wadau nilimuona jk akimfunika vibaya dk slaa. hasa kuzungumzia mambo ya elimu na afya.
tofauti na dk slaa. Jk alikuwa mtulivu. mwenye takwimu halisi, mwenye mchanganuo na mwenye nia nzuri ya kuinua elimu
Heko JK. ndio tegemeo la wanyonge
hahaha. jk bana
kumbe hata huyu jamaa uwezo wake mdogo khaaaaa! HII NCHI NDO MAANA TUTAENDELEA KUWA HIVIHIVI!Cyprian Musiba: Vijana wenzangu na ndugu zangu Watanzania mimi nilikuwa mmojawapo wa waliokuwa katika ule mdahalo,wa Mhe.JK narejea tena umeisha shinda kwa kishindo zaidi ya asilimia 93.9.the way ulivyokuwa unajibu maswali yetu waandishi hauna wa kukuzuia....
musiba huyo alivyo jikomba kwenye facebook ya JK
cyprian musiba: Vijana wenzangu na ndugu zangu watanzania mimi nilikuwa mmojawapo wa waliokuwa katika ule mdahalo,wa mhe.jk narejea tena umeisha shinda kwa kishindo zaidi ya asilimia 93.9.the way ulivyokuwa unajibu maswali yetu waandishi hauna wa kukuzuia....
musiba huyo alivyo jikomba kwenye facebook ya jk
Jana wadau nilimuona jk akihangaika vibaya . hasa kuzungumzia mambo ya elimu na afya.
tofauti na dk slaa. Jk alikuwa mwenye Kigugumizi. huku akibahatisha takwimu sizizo halisi, mwenye kujichanganya na mwenye hila ya kuinua elimu
Heko JK. ndio tegemeo la mambumbumbu kama mimi MS