Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,401
- 20,661
kwakweli siasa ni kitu very funny... sikutegemea kama JK angesema kuna mgombea amesema anataka kumwaga damu... huu ni uzushi wa hali ya juu
Na wale ''waandishi wa habari'' hawamuulizi huyo mtu alisema ataimwagaje hiyo damu??