Sikuamini kama Kikwete na CCM wanaweza wakajianika wazi na kuwamfanya kila mtanzania awaone ni watupu.
Hivi kweli inawezekana ukasema eti ni mdahalo wakati umeandaliwa maswali na ukapewa majibu yake tena bila aibu unakuwa na DESA ama kweli kikwete ni Kilaza.
Wauliza maswali wote walikuwa wameandaliwa sijawahi kuona.
Nikuwa nataka kumpa kura sasa simpi ng'o
Hivi kweli inawezekana ukasema eti ni mdahalo wakati umeandaliwa maswali na ukapewa majibu yake tena bila aibu unakuwa na DESA ama kweli kikwete ni Kilaza.
Wauliza maswali wote walikuwa wameandaliwa sijawahi kuona.
Nikuwa nataka kumpa kura sasa simpi ng'o