Elections 2010 Congrats JK.... Umeweza Mdahalo/Mahojiano

Mimi nilipata kusikiliza sehemu ya mwisho ya mazungumzo yake, kitu cha kwanza kilichonidistract sana ni kigugumizi. Labda sijamsikiliza sana JK hivi ni kweli anakigugumizi kikali nanmna hiyo?

kwa wenye kusumbuliwa na kigugumizi mara nyingi huongezeka wakiwa wamechoka, wakiwa na stress au wakiwa wanaumwa.

JK anasababu zote za kumfanya kigugumizi chake kiongezeke (kama anacho kikawaida)
 
Jamani kwa mtu, mwenye akili akikaa chini akatafakari kilicho ongelewa jana, na uhakika hawezi kumpa kura JK, kwa sababu zifuatazo.
1. Hakuwa na hoja za msingi
2. Pamoja na maswali yakupandikizwa bado ameshindwa kuyatetea ipasavyo,
3. Amedhihirisha kutokuwa na ujasiri hata wakutetea wananchi wa tanzania,
4. Hana data kamili na ameonyesha kutokuwa makini katika mipango ya kuendeleza taifa hili,
5. Mambo yaliyokuwa na umuhmu ye alikuwa akiya beza kwa vicheko na kejeli,

kwa mimi nasema wazi, huyu jamaa simpi kura yangu.
 
Hivi kwa nini hizi question and answer sessions zinaitwa "mdahalo"? What ze fcuk
agreed NN.... what the fcuk... tumelazimishwa kuamini hivyo.. ile ya slaa na hii ya jk

tko numa mkuu... niliongea na kiongozi mmoja wa chadema nikamuuliza, are you satisfied with mdahalo akasema yes... nikamuuliza what was your primary health strategy? akasema free health czare nikauliza sasa outcome ya hiyo strategy ni nini/... akanipotezea

tuna safari nedfu sana... hatuna "how" kwenye siasa zetu

lakini huu ni mwanzo mzuri 2015 we will be more advcanced... na tunahitaji mdahalo wa kila sector na si kiujumla-jumla
 
kwa wenye kusumbuliwa na kigugumizi mara nyingi huongezeka wakiwa wamechoka, wakiwa na stress au wakiwa wanaumwa.

JK anasababu zote za kumfanya kigugumizi chake kiongezeke (kama anacho kikawaida)

Nlikuwa najua u mtaalam wa lugha tu. Kumbe hata kwenye mambo haya u mjuvi namna hii?.

Ahsante mwalimu. Chagua Slaa kwa maendeleo ya Taifa.
 
Mimi nilipata kusikiliza sehemu ya mwisho ya mazungumzo yake, kitu cha kwanza kilichonidistract sana ni kigugumizi. Labda sijamsikiliza sana JK hivi ni kweli anakigugumizi kikali nanmna hiyo?
kaka... mimi si mtalam sana wa afya but stammering may mean many things ranging from lying, sickness to just stress
 
Nlikuwa najua u mtaalam wa lugha tu. Kumbe hata kwenye mambo haya u mjuvi namna hii?.

Ahsante mwalimu. Chagua Slaa kwa maendeleo ya Taifa.

hiyo sayansi ya kigugumizi inapatikana kwenye mafunzo ya lugha .......usitaharuk!

Kupiga kura ni wajibu wa kila raia........kapige kura yako :)
 
kaka... mimi si mtalam sana wa afya but stammering may mean many things ranging from lying, sickness to just stress

There you are. Of course the guy is sick. And you know it, don't you?

Now......... vote for Dr. Slaa:smile::smile::smile:
 
May be... kheeee kheeee heeeee!

Bia za asubuhi na keyboard ni matatizo tu!
umeanza rafiki... nina siku tano sijanywa nimefunga kuombea uchaguzi....

Ok KIbs, back to the topic... bado tuna safari ndefu sana kuhusu midahalo, facilitators wetu hawako serious kabisa na qualities needed, i saw a glimpse with rose lakini nadhani na yeye alijifunga sana

Sijaona mtu akieleza atafanya vipi jambo... dawa ni kusema ntafanya hiki, kivipi?

Pia JK was given too much time to respond to question adn that ended up to become more of hotuba with mwandishi wa habari kutoa titles tu
 
hiyo sayansi ya kigugumizi inapatikana kwenye mafunzo ya lugha .......usitaharuk!

Kupiga kura ni wajibu wa kila raia........kapige kura yako :)

Yeah! Hujambo lakini? Umejiandikisha kupiga kura? Hebu ongea na Smiles aturudishie ile kitu yetu. JF bila..... HAIWEZEKANI!:nono::nono::nono::nono:
 
Acid

kabla ya yote nafikiri ungeweka maana ya neno 'mdahalo' wazi.
 
Kigugumizi cha kikwete (kama mnaona ana kigugumizi) ni cha asili/ndivyo alivyo! Kwani nyie mmeanza kumfuatilia lini?
 
Jamani kwa mtu, mwenye akili akikaa chini akatafakari kilicho ongelewa jana, na uhakika hawezi kumpa kura JK, kwa sababu zifuatazo.
1. Hakuwa na hoja za msingi
2. Pamoja na maswali yakupandikizwa bado ameshindwa kuyatetea ipasavyo,
3. Amedhihirisha kutokuwa na ujasiri hata wakutetea wananchi wa tanzania,
4. Hana data kamili na ameonyesha kutokuwa makini katika mipango ya kuendeleza taifa hili,
5. Mambo yaliyokuwa na umuhmu ye alikuwa akiya beza kwa vicheko na kejeli,

kwa mimi nasema wazi, huyu jamaa simpi kura yangu.

ni ngumu kuamini kuwa kunawatakao mpigia Kura, lazima kichwani kidoogo uwe unamatatizo tu!
 
Yeah! Hujambo lakini? Umejiandikisha kupiga kura? Hebu ongea na Smiles aturudishie ile kitu yetu. JF bila..... HAIWEZEKANI!:nono::nono::nono::nono:

Nahakikisha nakuwa mtu wa kwanza kwenye chumba changu cha kupigia kura .............:)

sasa Smiles anahusikaje? au ana uhusiano wa karibu na wahusika?
 
Jana ule haukuwa mdahalo. Msitake kunifanya nitoe mhadhara wa isimu hapa. Kile kilikuwa kipindi cha maswali na majibu
 
Acid

kabla ya yote nafikiri ungeweka maana ya neno 'mdahalo' wazi.

Nilitegemea mwalimu wangu ungekuwa wa kwanza kunielewesha kuhusu hili....Kumbe na wewe haipandi.

Anyway, hata kama sijui maana kamili ya mdahalo, ule wa jana, kwa uelewa wangu mdogo, SI mdahalo. Yalikuwa ni maswali marahisi kiwa Raisi, tena ya kupangwa, ambayo hata binti yangu matesha angeulizwa angeyajibu kwa ufasaha na kujizolea maujiko.

Wauliza maswali wote kama uliangalia kwa makini walitoka kwenye vyombo vya habari vyenye maslahi ya CCM....Hata Kibonde naye aliuliza. Sikuwa najua kama Kibonde naye ni MWANDISHI wa habari....Nilijua jana.
 
Acid

kabla ya yote nafikiri ungeweka maana ya neno 'mdahalo' wazi.
kuna sredi ilijadili hili kwa kina sana jumapili iliyopita... na ndio maana kwenye title nimeandika mdahalo/mahojiano... maana nilichoona hakina jina
 
Nilitegemea mwalimu wangu ungekuwa wa kwanza kunielewesha kuhusu hili....Kumbe na wewe haipandi.

Anyway, hata kama sijui maana kamili ya mdahalo, ule wa jana, kwa uelewa wangu mdogo, SI mdahalo. Yalikuwa ni maswali marahisi kiwa Raisi, tena ya kupangwa, ambayo hata binti yangu matesha angeulizwa angeyajibu kwa ufasaha na kujizolea maujiko.

Wauliza maswali wote kama uliangalia kwa makini walitoka kwenye vyombo vya habari vyenye maslahi ya CCM....Hata Kibonde naye aliuliza. Sikuwa najua kama Kibonde naye ni MWANDISHI wa habari....Nilijua jana.

mwalimu lazima amuwache mwanafunzi arekebishe makosa yake mwenyewe ndipo anapojifunza zaidi.

wa kikwete haukuwa mdahalo wala wa Slaa wala wa Lipumba
 
Amebishia kuhusu kura haziwezi kuibiwa, lakini hajakanusha kwamba tunaweza kuwa na ghost/phantom voters
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom