Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 22,763
- 27,499
...afya umepima?
Nausea...../
Nausea...../
Tatizo ushafumuliwa marinda. Hakuna mwanaume atakayekukubali
Uliyemuoa/utakayemuoa unafahamu alikuwaje au yupo vipi hadi hivi sass?Teh teh eti nataka niwe na familia unadhani nani anataka mtumba?
Nilivyomaliza kuisoma hii tu nikahisi the same...pm itakuwa inafurika sasa....Ajabu PM ya huyu dada itajaa sana.....!!!
nimependa maelezo yako yanafundisha sana na pia umefikia level yakujitathimini nakuona hakuna jinsi bali urudi katika mstari ulionyooka, karibu kanisani ukatubu dhambi zako upate wokovu Mungu atakusamehe nawe utakuwa kiumbe kipya ndani ya kanisa utapata mme wakuishi nae hadi umauti na ninakuhakikishia ukitubu kwa dhati kutoka moyoni mwako hiyo roho yakutamani uzinzi utapotea kabisa na kuzaliwa upya.. sasa fanya hima uingie kanisa lolote linalohubiri wokovu nenda kwa mchungaji mweleze matatizo yako atakuombea nawe utapona huo ni ugonjwa sio maisha mwisho wa mchezo ni mauti.L
Nilete hadithi ili iweje? Take it or leave it.
O level nimesoma jangwani, A level nimesoma Loleza combination ya HGL na chuo nimesoma BA education hapo DUCE. Mimi sikuwa nafaulu sana, but i always managed to get marks just enough to make me go to the next level.
Shida n huko kuliwa tigo kutakutia aibu kipind cha kujifungua mumeo atachambwa na manesi lakin hayo mengine yote weng wameyapitiaL
Nilete hadithi ili iweje? Take it or leave it.
O level nimesoma jangwani, A level nimesoma Loleza combination ya HGL na chuo nimesoma BA education hapo DUCE. Mimi sikuwa nafaulu sana, but i always managed to get marks just enough to make me go to the next level.
Kiukweli ni wanawake kama mleta mada ndio wananipa hasira sana, yani kila nikiwaza kuwa muadilifu katika mahusiano niliyopo na nikakuta confession kama hizi natamani niendelee kuwa kitombi tuu maana naeza kuwa najifunga kumbe mwenzangu alikuwa anakigawa kama pilau ya msibani.Shida n huko kuliwa tigo kutakutia aibu kipind cha kujifungua mumeo atachambwa na manesi lakin hayo mengine yote weng wameyapitia