Utaenda na nani kati ya Hawa?

Utaenda na nani kati ya Hawa?

Boeing787-8

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2018
Posts
1,202
Reaction score
1,295
Kuna two candidates

Candidate A
Ana elimu ya chuo
Ameajiliwa na serikali
Sio mchangamfu
Shape kawaida
Mfupi na mweusi
Kipato kizuri
Unamkubali 50%

Candidate B
Elimu kidato Cha 4
Mdogo kiumri kuliko candidate A
Anafanya bihashara ndogondogo
Mchangamfu
Mweupe
Mrefu ana shape
Kipato kidogo sana
Unamkubali 90%

Tabia kama umalaya,kupiga mizinga wote ni constant Wana good behaviors.

Utaenda na yupi?
 
Nipe mimi huyo candidate no. 2 mweupe, wewe bakia na huyo mwajiriwa wako wa serikali. Lengo ni kukurahisishia mchakato wako.
 
Kuna two candidates

Candidate A
Ana elimu ya chuo
Ameajiliwa na serikali
Sio mchangamfu
Shape kawaida
Mfupi na mweusi
Kipato kizuri
Unamkubali 50%

Candidate B
Elimu kidato Cha 4
Mdogo kiumri kuliko candidate A
Anafanya bihashara ndogondogo
Mchangamfu
Mweupe
Mrefu ana shape
Kipato kidogo sana
Unamkubali 90%

Tabia kama umalaya,kupiga mizinga wote ni constant Wana good behaviors.

Utaenda na yupi?
Candidate B
Elimu ikisha kuwaga Kubwa Kwa Wanawake ujuaji Unakuwa mwingi (Asilimia Kubwa ya Wanawake)
 
Back
Top Bottom